JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
vipi mdau ulichukua hatua gani kurudisha gharama zako?
3 Reactions
16 Replies
206 Views
Mwamba bado ana Fikra za Kuwaletea Jamii maendeleo ya £45,000,000,000,000 wakati Sumu ya Panya ni 100.
1 Reactions
17 Replies
190 Views
Kufanya ngono salama na yenye upendo huongeza maisha ya binadamu badala ya kuyafupisha, kwani tendo hili huboresha afya ya mwili na roho kwa wakati mmoja. Kisayansi, watu wanaoshiriki tendo la...
17 Reactions
74 Replies
750 Views
Wikiendi hii natamani nikatembelee kijiji chochote chenye mandhari mazuri ya kiujamaa. Lengo ni kupumzisha akili na mwili kwa kuona vitu vya asili asili. Kama kwenye hicho kijiji kutakuwa na...
4 Reactions
20 Replies
221 Views
Kuna huyu member mwenzetu Erythrocyte toka JF imefunguliwa sijamuona kabisa akikoment popote na si kawaida yake. Si vibaya kulizana maana shetani ameshika hatam
6 Reactions
22 Replies
699 Views
Niliroga mchana nikaroga usiku, niliroga kushoto nikaroga kulia, niliroga mashariki nikaroga magharibi, niliroga kaskazini nikaroga kusini. Niliroga chini nikaroga juu, niliroga mbele nikaroga...
26 Reactions
99 Replies
1K Views
Wakuu wasalaam, Bwana mimi huwa sipendi kubishana kabisa na mabinti na hata akinikosea huwa siwezi kumfanya chochote namuangalia na kumwacha tu. Kama ni muelewa huwa namkanya aache kitu fulani...
22 Reactions
157 Replies
12K Views
Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Who gonna having battle like this one😂😂...
0 Reactions
18 Replies
97 Views
Kudorora Kudhoofika na hatimaye kupotea kwenye ulimwengu wa umaarufu wa wasanii wa wa mziki wa kisasa Tanganyika ndiko kulikosababisha mauti ya jukwaa la celebrity Hili jukwaa kuna kipindi...
10 Reactions
91 Replies
1K Views
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi. Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani...
67 Reactions
668 Replies
101K Views
Ukipanda daladala za Dar ni vituko, vichekesho na kutamanishana tu. Hebu chek hii video
2 Reactions
7 Replies
220 Views
Nawatakia waislamu wote Eid njema Eid Al Adh
5 Reactions
5 Replies
132 Views
Vodacom inakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA EID EL-FITRI!
6 Reactions
38 Replies
409 Views
Kesi maarufu ya "Wabakaji wa Dodoma" iliyohusisha binti wa miaka 17 kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam, ilihitimishwa kwa watuhumiwa wakuu kupatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela...
2 Reactions
13 Replies
252 Views
Mjue tu mnafanya rehearsal maandalizi siku ikifika mkifa mtalala mazimaa. Fanyeni Kazi! adriz de mbusii
4 Reactions
3 Replies
119 Views
Ukiwa na hela mjomba wako akihojiwa kuhusu wewe atasema: “Huyo? Mtoto wa dada yangu tumbo moja kabisa… damu yangu huyo.” 😭 Lakini ukiwa kapuku: “Ah yule ni mtoto wa dada yangu tu…” Mpaka sauti...
7 Reactions
14 Replies
275 Views
The things that truly matter in life cannot be bought or sold...! they center entirely around health, meaningful connections, time, and personal purpose. When everyday distractions like career...
10 Reactions
51 Replies
415 Views
Oooh Mapenzi hayana umri haya ona sasa. Mtu na akili zake kaamua kuwa Last Born katika familia ambayo yeye mwenyewe ni Baba. Ukumbuke familia hii hajaianzisha yeye bali kajiunganishia juu kwa...
3 Reactions
5 Replies
177 Views
Back
Top Bottom