Kufanya ngono salama na yenye upendo huongeza maisha ya binadamu badala ya kuyafupisha, kwani tendo hili huboresha afya ya mwili na roho kwa wakati mmoja.
Kisayansi, watu wanaoshiriki tendo la...
Wikiendi hii natamani nikatembelee kijiji chochote chenye mandhari mazuri ya kiujamaa. Lengo ni kupumzisha akili na mwili kwa kuona vitu vya asili asili.
Kama kwenye hicho kijiji kutakuwa na...
Kuna huyu member mwenzetu Erythrocyte toka JF imefunguliwa sijamuona kabisa akikoment popote na si kawaida yake.
Si vibaya kulizana maana shetani ameshika hatam
Wakuu wasalaam,
Bwana mimi huwa sipendi kubishana kabisa na mabinti na hata akinikosea huwa siwezi kumfanya chochote namuangalia na kumwacha tu. Kama ni muelewa huwa namkanya aache kitu fulani...
Kudorora
Kudhoofika na hatimaye kupotea kwenye ulimwengu wa umaarufu wa wasanii wa wa mziki wa kisasa Tanganyika ndiko kulikosababisha mauti ya jukwaa la celebrity
Hili jukwaa kuna kipindi...
Sometimes huwa tunafanya mambo kimazoea na kujitia ujuaji mwingi.
Najua mwana JF kuna siku uliaibika Aidha kwa ushamba ulionao, kujitia mjuaji ama kutokuwa na ufahamu juu ya Mambo fulani fulani...
Kesi maarufu ya "Wabakaji wa Dodoma" iliyohusisha binti wa miaka 17 kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam, ilihitimishwa kwa watuhumiwa wakuu kupatikana na hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela...
Ukiwa na hela mjomba wako akihojiwa kuhusu wewe atasema:
“Huyo? Mtoto wa dada yangu tumbo moja kabisa… damu yangu huyo.” 😭
Lakini ukiwa kapuku:
“Ah yule ni mtoto wa dada yangu tu…”
Mpaka sauti...
The things that truly matter in life cannot be bought or sold...!
they center entirely around health, meaningful connections, time, and personal purpose.
When everyday distractions like career...
Oooh Mapenzi hayana umri haya ona sasa.
Mtu na akili zake kaamua kuwa Last Born katika familia ambayo yeye mwenyewe ni Baba.
Ukumbuke familia hii hajaianzisha yeye bali kajiunganishia juu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.