Binti wa zaman she is so amazing?

Binti wa zaman she is so amazing?

Dalili zote unazo kilichobaki ni kuokota makopo dogo
Screenshot_2026-06-20_084147.jpg
 
Asilimia 90 ya Wana JF kwa kipindi kile wala hata hawakufikiriwa kuja Dunia.
Babu yangu akipata kunisimulia mambo mengi ya mzee Nyerere ila nilipokuwa mkubwa nikajua wazee wa zamani si wakuamini sana .

Alikuwa na picha kadha wa kadha na baba wa taifa ila hiyo picha moja usipoaga kuwa unaondoka basi mtamaliza siku nzima kibarazani anakupa matukio hata mia ya hiyo picha .
 
Back
Top Bottom