Ni nani amekwambia kuna mtandao»»»wa JF!?

Ni nani amekwambia kuna mtandao»»»wa JF!?

Kipindi kile Kila nikitaka kujiunga naambiwa lazima niwe na email, nikiangalia natumia kiswaswadu hakikubali kufungua email.
Ikabidi niwe mpole.
Mpaka 2018 niliponunua simu Fulani hivi ilikuwa na email nikaitumia kufungua akaunti yangu hapa jf.
Mpaka Leo email niliyotumia kufungulia hii akaunti yangu si yangu. Maxence Melo hii itaniletea shida baadae?
 
Kipindi kile Kila nikitaka kujiunga naambiwa lazima niwe na email, nikiangalia natumia kiswaswadu hakikubali kufungua email.
Ikabidi niwe mpole.
Mpaka 2018 niliponunua simu Fulani hivi ilikuwa na email nikaitumia kufungua akaunti yangu hapa jf.
Mpaka Leo email niliyotumia kufungulia hii akaunti yangu si yangu. Maxence Melo hii itaniletea shida baadae?
Kwamba simu inasapoti intanet Ila haisapoti kufungua email?

N simu gn hy?
Au n ww tuu ulikuwa hujui namna ya kufungua Email?
 
Kipindi kile Kila nikitaka kujiunga naambiwa lazima niwe na email, nikiangalia natumia kiswaswadu hakikubali kufungua email.
Ikabidi niwe mpole.
Mpaka 2018 niliponunua simu Fulani hivi ilikuwa na email nikaitumia kufungua akaunti yangu hapa jf.
Mpaka Leo email niliyotumia kufungulia hii akaunti yangu si yangu. Maxence Melo hii itaniletea shida baadae?
Du mimi mwenye natumia kiswaswadu lakini imekubali
 
N simu gn hy?
IMG_9164.jpeg
 
Kwamba simu inasapoti intanet Ila haisapoti kufungua email?

N simu gn hy?
Au n ww tuu ulikuwa hujui namna ya kufungua Email?
Zilikuwa zile tecno ndogo za batani, hata Leo zipo simu zinasapoti intaneti ila hauwezi kufungua email.
Kijijini kwetu mimi ndiyo nilikuwa mtundu wa kuchezea simu (kwenye mtandao)
Nilikuwa naingia Google nawaonyesha picha za wanyama basi naonekana jinias.
 
Back
Top Bottom