JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Hello guys, I saw this information dated October 28, 2025, is this true? "Last Sunday, @HEBobiwine was seen at State House where he met with the President of Uganda. During their discussion, he revealed plans of withdrawing from the presidential race and also asked for forgiveness. Kino kilekawa ba foot soldiers"
Nimekutana Na Chapisho Kwenye Mtandao Wa Facebook likielekeza Kuwa Dawa Ya Kufubuza Ukimwi ARV Inaweza Tumika Kutibu Ugonjwa Wa Homa ya Ini.Jamii check je Ukweli wa Hoja Hizo ni zipi. Mfano Wa Chapisho Hilo Ni kama Unavyo onekana... Sio kila anae tumia (ARV) Ni Muhathirika wa virus vya Ukimwi. "HAPANA" Endapo utagundulika na Homa ya ini utatumia ARV vile vile...👇 Dawa kama Tenofovir au Lamivudine, ambazo mara nyingi hutumika kufubaza VVU, Hutumika pia kutibu Homa ya Ini (Hepatitis B).... Hii ni kwa sababu dawa hizi huzuia virusi vya Hepatitis B kujizidisha mwilini, hivyo kulinda ini lisiharibiwe zaidi... Homa ya ini ni hatari kwani huambukizwa hata kwa njia ya jasho kwa kugusana Tu...☠️ PIMA: Hepatitis B, Pata chanjo dhidi ya...
Nanasi ni tunda lenye faida lukuki kwa afya. Miongoni mwa faida za tunda hili ni kuongeza kinga ya mwili, kutibu mafua, kupambana na saratani, kuondoa maumivu pamoja na kulinda moyo. Pamoja na uwepo wa faida hizi kwa afya, nanasi huhusishwa na changamoto ya kuharibika kwa ujauzito kwa wanawake, hivyo baadhi ya jamii huwashauri wasitumie tunda hili kama njia ya kulinda ujauzito wao. Ukweli upoje?
Back
Top Bottom