JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Kuna huu uzi nimukutana nao umenikumbusha nilikua mdogo nilikua naambiwa sana stori za uwezo wa Kondoo kupambana na Radi, Hapa stephot kwenye uzi wake alisema "kuna kipindi nilipokuwa likizo nilitembelea mikoa ya Dodoma, Singida, Manyara na Arusha, nilichokigundua ni kuwa wafugaji karibu wote wa Ng'ombe wanakuwa na kundi la Kondoo, nilipouliza niliambiwa kuwa Kondoo wanasaidia kuzuia Radi. Mwenye ufahamu wa kina naomba anifafanulie utaalamu uliopo nyuma ya hii kitu" Sasa JamiiCheck mtusaidie kuna ukweli hapa?
Kwa kufuatilia press za Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche sijapata kusikia hii taarifa ya Heche kukiri kuwa kuna baadhi ya viongozi wa CHADEMA wanhusika kuchochea kufanya vurugu bali wakati wote CHADEMA na viongozi wake wamekuwa wahanga kwa kukanamizwa na Serikali ya Samia Kama ni kweli basi itakuwa ni kutaka kuchafua na kuharibu imani ya CHADEMA kwa wananchi, hao viongozi kama mnawatambua wafukuzeni
LEMA, SUGU WAMPONGEZA DKT. SAMIA KUUNDA TUME YA KUCHUNGUZA UVUNJIFU WA AMANI Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu wamempongeza Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuunda Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025. Viongozi hao wamesema hatua hiyo inaleta mustakabali mzuri wa Taifa kurudi katika umoja na Rais Samia amejibu kilio cha Wana-CHADEMA na kuwakemea wachache wanaotaka kuvuruga amani. “Alichofanya Rais Samia ni hatua kubwa sana, Jumuiya za Kimataifa zinapaswa kumpongeza. Sisi Chadema tunaona kile tulichokipigania anakifanya kwasababu tunataka...
Back
Top Bottom