JamiiCheck

A citizen-centered approach in countering misinformation and disinformation Online and Offline by JamiiForums

On JF:

Nimekutana na hii video TikTok na maelezo haya, kuna uhalisia wowote wa hili? == Taswira inayozidi kujitokeza ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inazidi kuibua maswali mengi kuliko majibu, huku vitendo vya baadhi ya viongozi vikionekana kukiondoa chama hicho kwenye misingi ya kidemokrasia na kukisogeza karibu na mtindo wa magenge ya kihuni. Katika video inayosambaa kwa kasi, baadhi ya wanachama na viongozi wanaonekana wakizushiana vurugu kufuatia maswali yaliyoibuliwa kuhusu kampeni ya kuchangisha michango inayofahamika kama ‘Tone kwa Tone’. Badala ya kutoa majibu ya kistaarabu na ya uwazi kuhusu matumizi ya fedha hizo za wanachama, baadhi ya viongozi wanatuhumiwa kutoa amri ya kushambuliwa na kupigwa kwa wanachama...
There has been recently post circulation on lines, especially Facebook articulating that the president of the United Republic of Tanzania has been arrested because of crimes against humanity The post further alledgy that This woman killed thousands of innocent Tanzanians during their elections just to stay in power.After her orders, in a few hours lifeless bodies were seen all over the streets of Dar es salaam. According to reports, this deadly crime against humanity was carried out by both the Tanzania government and Uganda’s government led by Museveni and his son. Never forget to call for justice for thousands of innocent people who lost their lives just for one woman to stay in power
Wazee wa chadema wameamua kujitoa sababu Amina viongozi wa chadema wana Mipango michafu nda ya taifa letu, ni dhahiri Mipango waliyonayo ni ya Liguria nchi yetu sababu ya tamaa zao ndio maana hata wazee wa chama wameona hawawezi kuwa sehemu ya uchafu wanaoupanga Pia ukumbuke kuwa ndani ya chadema kuna wizi na upigaji wa pesa za michango ambazo viongozi wa chadema wanagawana na kwenda kuzifanyia anasa night club na madem
Claim A viral post on X by a Manchester United fan account @tweetsesko attributes a quote to Brazil national team coach Carlo Ancelotti stating that he was not familiar with midfielder Éderson before his move to Manchester United, and that the club’s decision to sign him influenced his decision to call him up to the Brazil national team. Tunachokijua: •The X post originates from a Manchester United fan account and not an official/Credible source of information •After Conducting thorough research into this post, Jamiicheck was able to note that; -There are no credible interviews, press conference records, or official statements containing the quoted remarks attributed to Ancelotti. -Searches of reputable sports reporting sources...
A graphic circulating on social media claims that U.S. President Donald Trump warned Kenyans against opposing the establishment of an Ebola isolation centre in Kenya, allegedly stating: “I have ordered the U.S. Army to set up an Ebola quarantine facility in Laikipia, Kenya within one week. My administration will not hesitate to take decisive action against any Kenyan who attempts to oppose or obstruct this project.” The claim is not supported by credible evidence. Although the United States recently announced plans to establish a quarantine facility for U.S. citizens at a military base in Nanyuki, Kenya, and pledged approximately US$13.5 million (about KSh1.7 billion) to support Kenya’s Ebola preparedness efforts, there is no evidence...
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya ziara ya takribani siku tatu nchini Urusi, kumeendelea kusambaa taarifa zinazoeleza kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa sasa linashika nafasi ya 15 au 20 barani Afrika na kwamba halipo miongoni mwa majeshi 100 bora duniani kwa mujibu wa viwango mbalimbali vya tathmini ya kijeshi. JWTZ linatajwa kuwa na uwezo thabiti wa kiulinzi na nidhamu ya hali ya juu. Aidha, jeshi hilo linajulikana kwa mchango wake katika operesheni za kulinda amani katika maeneo mbalimbali, ikiwemo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), pamoja na uwezo wake wa kukabiliana na vitisho vya kiusalama vya ndani na vya mipakani. katika kile ambacho kipo chapisho hilo...
Claim: A Social media post circulating on X by a Ugandan @Humanrights256 alleges that Pastor Aloysius Bugingo is selling olive oil at UGX 100,000 per bottle and claiming it can cure Ebola amid Uganda's current Ebola outbreak. The Post: "UPDATE: Pr. Aloysius Bugingo has introduced olive oil that cures “Ebola” Each bottle costs “100k” at Canan Land House of prayer ministries international." By the time Jamiicheck intervened, the post had attracted over 2,688 views , 7 reposts and 28 likes. Tunachokijua •The pastor: Aloysius Bugingo is a prominent Ugandan born-again pastor, businessman, and founder/leader of House of Prayer Ministries International (HPMI, also known as Canaan Land) in Kampala. He owns Salt Media (radio/TV). He is...
Picha ambayo baadhi ya watu wanadai kuwa inamuonyesha raisi wa Urusi Vladimir Putin akitoa mafunzo kwa wapigania uhuru kusini mwa Afrika ilisambaa na kutumiwa na baadhi ya watu kuhalalisha kuwa nchi za kiafrika zinapaswa kuunga mkono Urusi katika vita vya Ukraine. Picha hiyo ilisambazwa sana mtandaoni baada ya kuchapiswa katika blogu za Zibwabwe mwishoni mwa mwaka 2018, machapisho hayo yalidai yanamuonyesha Putin katika mafunzo ya kijeshi ya Tanzania kwaajili ya harakati za kupigania uhuru katika nchi za Afrika mwaka 1973.
Back
Top Bottom