Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Halafu wale Washamba (Mambugira) ambao kipindi cha nyuma Hans Rafael alipokuwa akiikandia Timu anayoisifia sasa mlikuwa mkifurahi na kumsifu kweli kweli hivyo tunawaombeni kwa sasa baada ya...
2 Reactions
0 Replies
66 Views
Gepu limepungua sana baina ya mataifa yalitokuwa yanatawala soka na mataifa mengine chipukizi katika kusakata kandanda. Tutarajie matokeo yasiyotarajiwa maana kuna vigogo wataadhirika kwa...
10 Reactions
51 Replies
1K Views
Marekani itaanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa kuvaana na Paraguay katika Uwanja wa Los Angeles, moja ya viwanja vya wenyeji wa mashindano hayo. Hata hivyo, rekodi ya Marekani katika...
3 Reactions
12 Replies
382 Views
Timu ya Taifa ya Ubelgiji inaendelea kutifuana na Misri katika mchezo wa Kundi G wa Kombe la Dunia 2026.
0 Reactions
3 Replies
143 Views
Aaaah kubeti ni ussenger kmmk. Nimempa Spain Mazima, nimeweka 1,724,000/= baada ya kuongea na boss Mad Max akaniahidi kupata kigari cha bei nafuu nikaamua nikuze mtaji kwa kuweka mechi za uhakika...
12 Reactions
60 Replies
876 Views
Kama umekuwa ukiangalia mechi za Japan mashindano ya Kimataifa hususan mechi ya kombe la dunia 2026 dhidi ya Uholanzi na kujiuliza ''Hivi huyu kipa mjapan mweusi ni nani?'' basi jua hauko peke...
3 Reactions
6 Replies
352 Views
Timu ya TAIFA ya MOROCCO Kila uchao Inaonesha mabadiliko ya Kasi kubwa SANA katika ugaa wa soka Morocco wanatufundisha nini maana ya UWEKEZAJI katika Soka Angalia viwanja vituo vya kuibua vipaji...
7 Reactions
20 Replies
452 Views
Naangalia match sasa hivi. Huyu kipa wa Cape Verde ni hodari sana. Ameokoa the IMPOSSIBLES! Nadhani ball control ni over 90% for Spain, Lakini kipa wa Verde ameokoa magoli mengi!.... Mimi siyo...
2 Reactions
3 Replies
155 Views
Shirikisho la Soka la Tunisia limeamua kuachana na kocha mkuu Sabri Lamouchi mara moja kufuatia kipigo walichopata dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa ufunguzi. Mipango inaendelea ya kumteua Mondher...
1 Reactions
5 Replies
140 Views
  • Featured
Kiungo fundi bwana mdogo wa miaka 18, Ayyoub Bouaddi, amezitikisa hisia za mashabiki wa soka ulimwenguni kufuatia kiwango bora cha kipekee alichokionesha kwenye mchezo wake wa kwanza wa Kombe la...
8 Reactions
15 Replies
738 Views
Hii ni kauli ya kiongozi wa Simba baada ya mechi Yao MENEJA PATRICK REYEMAMU 🚨 "Kuna namna sisi kama Simba matokeo yetu tunavyoyapata, sidhani kama kuna timu hapa nchini ingeweza kuyapata kwa...
1 Reactions
2 Replies
173 Views
Kwa wapenda soka wa club za hapa nchini. Kama mtakumbuka miaka ya mwanzoni mwa 1990 club ya simba ilikuwa na wafadhili SHAFI BORA na AHMED BORA. Siwasikii siku hizi, WAPO WAPI??? TUJUZANE
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hatimaye Serikali kupitia king'amuzi cha star times wametangaza rasmi kuonesha fainali za mwaka huu za kombe LA dunia. Kwa wale wenye ving'amuzi vya star times na dstv tu ndio wataweza kuona mechi...
0 Reactions
156 Replies
19K Views
Hii ni kweli kabisa na limeonekana wazi kabisa katika mechi ya leo. Ni neema na kudra za Mwenyezi Mungu tu TUMETOKA salama Wana Simba wachezaji wametoka Salama uwanjani. Ilaaniwe timu ya PAMBA...
5 Reactions
14 Replies
361 Views
Matukio ya watu wa Afrika ya kusini kushambulia, kufukuza na kuua wafrika toka nchi zingine za Afrika hsyajaanza mwaka huu. Serikali ya Afrikavya kusini haijawahi kuchukua hatua madhubuti ya...
3 Reactions
13 Replies
275 Views
Pamba United ilikuwa timu iliyokuwa inamilikiwa na chama cha ushirika cha Nyanza Cooperative Union, ambacho kilikuwa kinajihusisha na zao la pamba tu. Timu hii ilipofufuliwa tena chini ya...
7 Reactions
17 Replies
303 Views
hawacheki na nyau. wakifika kwneye 18 ni mafataki tu hawa mbwa. nilikuwa namwonea huruma golie wa team yetu ya Tunisia. nikasema leo mbona kazi ipo. si kwa mawe yale waliyokuwa wkairusha langoni...
1 Reactions
0 Replies
126 Views
Ingawa mimi ni shabiki mkongwe wa Albiceleste, na bado naimani kubwa sana na chama langu kubeba kombe hili (Back to Back) Lakini kwa upande wa Afrika nipo na chama langu The Atlas na mabingwa wa...
1 Reactions
6 Replies
143 Views
Mimi ni Mtanzania mpenda soka. Nafuatilia kwa karibu sana kombe la dunia mwaka huu, kama ilivyo,kila mtu huwa anachagua timu ya kushabikia katika mashindano haya basi hata mimi nimemchagua mkoloni...
2 Reactions
6 Replies
126 Views
Back
Top Bottom