Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

David Eby, Waziri Mkuu wa jimbo la British Columbia nchini Kanada, ametangaza kuwa jimbo lake liko tayari na litafurahi sana kumkaribisha Omar Artan. Alieleza kuwa Artan anapaswa kuruhusiwa...
0 Reactions
1 Replies
202 Views
  • Redirect
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum. 2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano. 🌍 Waandaaji Mashindano...
21 Reactions
Replies
Views
Ni mwana Simba SC mwenzangu lia lia ila katika Uchambuzi wa mpira sitaki kuwa Mnafiki au kumtetea kwakuwa ni Lunyasi mwenzangu ila si tu hajui bali hata Mpira wenyewe tu nao haujui. Basi...
5 Reactions
18 Replies
398 Views
Hiki ndicho kikosi ambacho watu wengi wanasema kuwa ndio kikosi bora kabisa cha Brazil cha muda wote. kikosi hiki ndicho kilichobeba kombe la dunia mwaka 2002 huko korea dhidi ya timu ngumu ya...
1 Reactions
15 Replies
475 Views
  • Redirect
Shirkisho la mpira barani ulaya UEFA limemteuwa Omar artan kusimamia mchezo wa Uefa supercup kati ya PSG na Aston villa uko jijini salzburg
0 Reactions
Replies
Views
Akisoma Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2026/27 Bungeni, Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar amesema Katika Bajeti ya 2026/27, Serikali imefanya matumizi mahsusi kwa ajili ya kugharamia...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Je kwenye soka umri ni namba tu kama ilivyo kwenye mahusiano? Je Ronaldo(41) na Messi(39) bado wana cha kuonesha na kuwakosha mashabiki kiukweli kabisa au watabebwa na majina tu bila kuonesha soka...
2 Reactions
20 Replies
346 Views
Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) bado lina takriban viti 180,000 ambavyo havijauzwa katika miji inayoandaa michuano hiyo Marekani, Canada, na Mexico. Hali hii inazua hofu mpya kwamba viwanja...
3 Reactions
20 Replies
410 Views
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania, umebugi sana! Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote...
7 Reactions
86 Replies
8K Views
Mimi naona Man Utd tusajili Baleba asiame pale kama kiungo mkabaji. Tuachane na wakina Elliot na Eernandes ambao bei zao zimepanda kama mafuta https://youtu.be/9dgybqMhuwQ?si=n9KjnnHPMwqsngQL
1 Reactions
4 Replies
106 Views
Michezo si burudi sasa ni sayansi, technolojia na unawagusa hata watu ambao unawezahisi hawausiki mf mainjinia, maprofesa, madokta kwa ufupi yaani wataalamu wa PCM, PCB wanausika na fulsa zipo kwa...
1 Reactions
2 Replies
106 Views
Aliyekuwa Mtangazaji wa Wasafi Media Diva kaamua Kufunguka makubwa Mimi siyo wakwanza kuacha kazi Wasafi Kisa Mishahara ni wengi pia wanao lalamika lakini ndo hivyo hawana pakwenda.Huyo Aaliya...
15 Reactions
46 Replies
1K Views
World Cup 2026 prize money – how much do teams earn for taking part and winning? THE 2026 FIFA World Cup will reportedly have a record prize pool, a stark increase from the £380million ($440m) up...
1 Reactions
0 Replies
266 Views
Sura nyingi za wachambuzi wa kombe la dunia kupitia Azam TV mwaka huu hazitii moyo wala hazifahamiki. Tutegemee kuwa "bored" au? Tuwachambue hapa! Dr Leakey sawa, Kumwembe sawa, Meena sawa lakini...
0 Reactions
2 Replies
183 Views
  • Featured
Shirikisho la Soka la Iran (FFIRI) limesema kuwa FIFA au mamlaka za Marekani zimeondoa mgao wa tiketi uliokuwa umetengwa kwa mashabiki wa Iran kwa mechi zote tatu za hatua ya makundi...
4 Reactions
26 Replies
850 Views
Sasa sababu ya Trump akalazimisha kinguvu michuano hio ifanyike nchini kwake ili kujipa ujiko usio na maana yoyote , Sasa tunaona michuano imeshakua MIBOVU hata kabla haijaanza...joto Kali...
7 Reactions
17 Replies
416 Views
Mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, amerejea Mogadishu na kulakiwa kama shujaa baada ya kunyimwa idhini ya kuingia nchini Marekani, pigo ambalo litamzuia kuweka historia katika Kombe la Dunia la FIFA...
0 Reactions
7 Replies
262 Views
With the 2026 FIFA World Cup set to kick off, FIFA President Gianni Infantino is facing growing scrutiny as a series of controversies threaten to overshadow the world's biggest football...
0 Reactions
1 Replies
293 Views
Ni miaka 16 toka tumebeba taji letu la kwanza na sasa ni wakati wetu kunyanyua makwapa Kwa mara ya pili Njoo apa tukutane tushauriane kuhusu team yetu na tupeane updates mbali mbali
5 Reactions
17 Replies
214 Views
BREAKING NEWS…!! SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji...
5 Reactions
29 Replies
525 Views
Back
Top Bottom