David Eby, Waziri Mkuu wa jimbo la British Columbia nchini Kanada, ametangaza kuwa jimbo lake liko tayari na litafurahi sana kumkaribisha Omar Artan. Alieleza kuwa Artan anapaswa kuruhusiwa...
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
🌍 Waandaaji
Mashindano...
Ni mwana Simba SC mwenzangu lia lia ila katika Uchambuzi wa mpira sitaki kuwa Mnafiki au kumtetea kwakuwa ni Lunyasi mwenzangu ila si tu hajui bali hata Mpira wenyewe tu nao haujui.
Basi...
Hiki ndicho kikosi ambacho watu wengi wanasema kuwa ndio kikosi bora kabisa cha Brazil cha muda wote.
kikosi hiki ndicho kilichobeba kombe la dunia mwaka 2002 huko korea dhidi ya timu ngumu ya...
Akisoma Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2026/27 Bungeni, Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar amesema Katika Bajeti ya 2026/27, Serikali imefanya matumizi mahsusi kwa ajili ya kugharamia...
Je kwenye soka umri ni namba tu kama ilivyo kwenye mahusiano? Je Ronaldo(41) na Messi(39) bado wana cha kuonesha na kuwakosha mashabiki kiukweli kabisa au watabebwa na majina tu bila kuonesha soka...
Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) bado lina takriban viti 180,000 ambavyo havijauzwa katika miji inayoandaa michuano hiyo Marekani, Canada, na Mexico. Hali hii inazua hofu mpya kwamba viwanja...
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania, umebugi sana!
Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote...
Mimi naona Man Utd tusajili Baleba asiame pale kama kiungo mkabaji. Tuachane na wakina Elliot na Eernandes ambao bei zao zimepanda kama mafuta
https://youtu.be/9dgybqMhuwQ?si=n9KjnnHPMwqsngQL
Michezo si burudi sasa ni sayansi, technolojia na unawagusa hata watu ambao unawezahisi hawausiki mf mainjinia, maprofesa, madokta kwa ufupi yaani wataalamu wa PCM, PCB wanausika na fulsa zipo kwa...
Aliyekuwa Mtangazaji wa Wasafi Media Diva kaamua Kufunguka makubwa
Mimi siyo wakwanza kuacha kazi Wasafi Kisa Mishahara ni wengi pia wanao lalamika lakini ndo hivyo hawana pakwenda.Huyo Aaliya...
World Cup 2026 prize money – how much do teams earn for taking part and winning?
THE 2026 FIFA World Cup will reportedly have a record prize pool, a stark increase from the £380million ($440m) up...
Sura nyingi za wachambuzi wa kombe la dunia kupitia Azam TV mwaka huu hazitii moyo wala hazifahamiki. Tutegemee kuwa "bored" au?
Tuwachambue hapa! Dr Leakey sawa, Kumwembe sawa, Meena sawa lakini...
Shirikisho la Soka la Iran (FFIRI) limesema kuwa FIFA au mamlaka za Marekani zimeondoa mgao wa tiketi uliokuwa umetengwa kwa mashabiki wa Iran kwa mechi zote tatu za hatua ya makundi...
Sasa sababu ya Trump akalazimisha kinguvu michuano hio ifanyike nchini kwake ili kujipa ujiko usio na maana yoyote ,
Sasa tunaona michuano imeshakua MIBOVU hata kabla haijaanza...joto Kali...
Mwamuzi wa Somalia, Omar Artan, amerejea Mogadishu na kulakiwa kama shujaa baada ya kunyimwa idhini ya kuingia nchini Marekani, pigo ambalo litamzuia kuweka historia katika Kombe la Dunia la FIFA...
With the 2026 FIFA World Cup set to kick off, FIFA President Gianni Infantino is facing growing scrutiny as a series of controversies threaten to overshadow the world's biggest football...
Ni miaka 16 toka tumebeba taji letu la kwanza na sasa ni wakati wetu kunyanyua makwapa Kwa mara ya pili
Njoo apa tukutane tushauriane kuhusu team yetu na tupeane updates mbali mbali
BREAKING NEWS…!!
SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO
Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.