Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

  • Featured
Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA) limemteua mwamuzi wa kimataifa kutoka Somalia, Omar Abdulkadir Artan, kuchezesha mchezo wa fainali ya UEFA Super Cup kati ya Paris Saint-Germain na Aston...
5 Reactions
47 Replies
1K Views
Hii pasi imepigwa na Lionel Messi katika mchezo wao wa kirafiki kati ya Argentina na Iceland. Ni mchezo wa maandalizi ya michuano ya kombe la dunia litakalo timua vumbi huko Marekani, Mexico na...
6 Reactions
4 Replies
273 Views
Wakuu salamu, Wakati timu yetu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Boys) ikielekea nchini Morocco kwenye fainali za AFCON U-17, mchambuzi mahiri wa soka nchini, Miraji...
2 Reactions
2 Replies
168 Views
  • Featured
Ndiyo, leo ndiyo siku ya ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026! ⚽🌎 Mexico itafungua Kombe la Dunia dhidi ya Afrika Kusini mjini Mexico City. Hii ni marudio ya mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia 2010...
12 Reactions
78 Replies
2K Views
Salaam to everyone, and Happy World Cup Holiday. Kama ilivyo kawaida ya kwamba kila baya litalipwa hapa hapa duniani. Leo kwenye World Cup mechi ya ufunguzi kati ya Mexico na South Africa...
18 Reactions
119 Replies
2K Views
Hawa hapa wamesheheni silaha za jadi kushambulia waafrika halafu wanategemea tuwashangilie kombe la dunia!
8 Reactions
22 Replies
287 Views
The general odds in betting platforms are set by a combination of algorithms, data analysis, and human expertise. Here's a breakdown of how this process typically works: 1. Oddsmakers...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
There’s no real “role” of drug cartels in the World Cup—officially or in football at all. What people usually mean when they ask this is something more indirect and uncomfortable: how organized...
0 Reactions
4 Replies
532 Views
Hamna siku inayo pita bila kufuatilia chombo cha habari pamoja na social network ila nipo mbali sana na habari za mpira. Mchana niliona instagram shamra sahara za fifa lakini akili yangu najua...
6 Reactions
93 Replies
756 Views
Waangalie hapa walivyosheheni kwa silaha za jadi: pinde, mapanga, fimbo, marungu wakiwa tayari kuwashambulia waafrika wenzao walioko Afrika ya kusini.
1 Reactions
5 Replies
173 Views
Haiti imelazimika kubadilisha jezi zake za Kombe la Dunia Saa chache kabla ya kuanza kwa Kombe la Dunia 2026 baada ya FIFA kubaini kuwa baadhi ya vipengele vya muundo wake vinakiuka kanuni za...
3 Reactions
15 Replies
483 Views
Wabongo wanamua na wao kutuma ujumbe kwa waSouth Africa
2 Reactions
2 Replies
160 Views
Wapiganaji: · Michel Soro (Ufaransa): Rekodi 38-4-2, 27 KOs. Mtaani hujulikana kama "mkongwe", na amewahi kupigania ubingwa wa WBO miaka iliyopita. · Hassan Mwakinyo (Tanzania): Rekodi 25-3-0, 18...
4 Reactions
98 Replies
2K Views
Naona aliyebaki ni Mkwasa pekee, naye ni Kama anajuta kubaki Unadhani kisa gani kinasababisha wachambuzi wa soka kuikimbia TBC?
5 Reactions
16 Replies
361 Views
Kheri zitawale Zilianza taarifa kuwa hakuwa akipewa sapoti za kutosha na baadhi ya watu na media, kama mtanzania wanadai alitakiwa apewe sapoti na media zote nchini binafsi najua hizi media ni...
4 Reactions
42 Replies
807 Views
Kuna kufungwa, kufanga na kutoka sare. Sasa km timu unayoishabikia imefungwa usichukue hisia zako ukawa na hasira kiasi cha kutaka kuvunja mpaka TV. Ilikua hivi mpira umeanza alipofungwa SA...
1 Reactions
2 Replies
113 Views
Mwamuzi mashuhuri wa soka kutoka Somalia, Omar Artan, amezuiwa kuingia Marekani licha ya kuwa miongoni mwa waamuzi 52 walioteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuchezesha mechi za Kombe la...
8 Reactions
32 Replies
808 Views
Anonymous
Nina malalamiko kuhusu mfumo wa cashout wa SportPesa. Haiingii akilini kuona kiasi cha cashout kikiwa chini ya hata pesa niliyoweka, ilhali tayari mechi nyingi kwenye mkeka zimefanikiwa. Kwa...
2 Reactions
19 Replies
248 Views
Hapo vip! Ni wazi yanga wanalijua hili ndio maana huwa wanacheza na marefa na sio kcheza na Simba.Yanga hana uwezo wa kuifunga au kutoka sare na Simba ila refa na waamuzi wa pembeni ndio huwa...
3 Reactions
9 Replies
405 Views
Back
Top Bottom