Lionel andres Messi, is an Argentinian professional footballer who plays as a forward for League One club Paris Saint-Germain and the captain the Argentine national team.
Widely regarded as one...
Aiseeee .... Kunatisha watu wamejaa sana viwanjani. Kombe limevutia sana. Tulisema halitakuwa na watu lakini tumeona hali ilivyo huko USA, Canada na Mexico.
Hongera zao kwa kweli.
Kama USA imemrudisha refa wa Somalia, basi ile ni isue ndogo sana kwa Marekani, hili la Urusi Gen Z na millenia hamjui.
Urusi haishiriki Kombe la Dunia la 2026 kwa sababu FIFA iliweka kizuizi...
Uzi maalumu wa kulinganisha mafanikio
Ya wakongwe hawa
1.Pele
2.Maradona
3.Ronaldinho
4. Messi
Wingi wa makombe
Pele 36
Messi 25
Gaucho 18
Màradona 12
Kwa upande wa makombe makubwa yenye hadhi...
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA...
Weka hapa ratiba matokeo kombe la dunia mana unaweza kuta mechi imewekwa saa saba sasa unakuta huelewi mchana au usiku weka kama ni PM au AM
NAWASILISHA
Klabu ya Real Madrid imethibitisha rasmi kumsajili kiungo wa kimataifa wa Ureno, Bernardo Silva, kwa mkataba wa miaka miwili utakaomuweka Santiago Bernabéu hadi Juni 30, 2028 akitokea Manchester...
Hewe we go afrika mashariki mwakilishi pekee katika ukanda huu akimkabiri mreno pale houston stadium pale texas marekani.
Game itakua saa mbili usiku kwa saa za afrika mashariki .
Mchezo huu...
Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Team za Wanawake umri chini ya Miaka 17, Africa ya Mashariki na Kati kwa mwaka 2026 yanaendelea.
Leo Tanzania inakipiga na jirani Kenya.
Tanzania ilicheza...
Kama unajijua una zamu za Kutangaza na Kuchambua Mechi za Usiku mwingi tafadhali pumzika mapema Kwako na hakikisha kabla hujaenda Studio basi unywe hata Kahawa ili ikusaidie kutokusinzia wakati...
1. Referee sijajua ana tatizo gani na Senegal. Wakiangushwa ni kama haoni kabisa anasonga mbele tu.au anataka mpaka mtu avunjwe shingo ndo iwe foul?
2. Senegal nanyi mpira ni pamoja na akili siyo...
Sikufanikiwa kuangalia mechi hata Moja, Nime download za yassine wapi.
Sijui kombe hili Lina nini
Naomba app yyt niangalie kwenye mobile.
Sitaki za streaming nataka live
Za yaccine sijui...
Mwamuzi wa Womalia, Omar Artan, ambaye alinyimwa visa ya kuingia nchini Marekani kuchezesha Kombe la Dunia linaloendelea la 2026, atalipwa posho yake yote ya mashindano hayo.
Vyanzo vya habari...
Uhispania, ambao ni miongoni mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kutwaa Kombe la Dunia mwezi Julai, wanaanza kampeni yao dhidi ya Cape Verde—timu inayolenga kushtua ulimwengu na kuandika historia...
Nilianza kuangalia world cup toka game ya kwanza
Timu Kama Brazil, German Spain zote mbovu
Brazil hii na Ile ya 2014 hakuna tofauti
German pamoja na kushinda 7 Jana lakini mpira mbovu.
Muda...
Kweli Kama watu wa michezo hasa football hili Jambo la kuunganisha ligi mbili haliingii kichwani kabisa!!
Au ndo mkakati wa kuwapoteza wananchi kwenye October 29?
Ikimbukwe ligi kuu bara Ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.