Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Lionel andres Messi, is an Argentinian professional footballer who plays as a forward for League One club Paris Saint-Germain and the captain the Argentine national team. Widely regarded as one...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Aiseeee .... Kunatisha watu wamejaa sana viwanjani. Kombe limevutia sana. Tulisema halitakuwa na watu lakini tumeona hali ilivyo huko USA, Canada na Mexico. Hongera zao kwa kweli.
8 Reactions
5 Replies
362 Views
Kama USA imemrudisha refa wa Somalia, basi ile ni isue ndogo sana kwa Marekani, hili la Urusi Gen Z na millenia hamjui. Urusi haishiriki Kombe la Dunia la 2026 kwa sababu FIFA iliweka kizuizi...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Uzi maalumu wa kulinganisha mafanikio Ya wakongwe hawa 1.Pele 2.Maradona 3.Ronaldinho 4. Messi Wingi wa makombe Pele 36 Messi 25 Gaucho 18 Màradona 12 Kwa upande wa makombe makubwa yenye hadhi...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Documentary iliyotolewa na FIFA inaonesha kwamba Pele mambo yote aliyofanya Ronaldo de Lima el Phenomenon kayafanya miaka 50 iliyopita, kweli inamaliza ubishi wote wa wanazi kina SHAFY DAUDA...
40 Reactions
290 Replies
34K Views
  • Redirect
Weka hapa ratiba matokeo kombe la dunia mana unaweza kuta mechi imewekwa saa saba sasa unakuta huelewi mchana au usiku weka kama ni PM au AM NAWASILISHA
0 Reactions
Replies
Views
Rashford ni mchezaji wa kiwango cha juu sana. Mchambuzi huyu wa clouds tafadhali hii irudie watu waisikie kuhusu Rashid wa man united
1 Reactions
3 Replies
169 Views
Klabu ya Real Madrid imethibitisha rasmi kumsajili kiungo wa kimataifa wa Ureno, Bernardo Silva, kwa mkataba wa miaka miwili utakaomuweka Santiago Bernabéu hadi Juni 30, 2028 akitokea Manchester...
1 Reactions
0 Replies
100 Views
  • Redirect
Hewe we go afrika mashariki mwakilishi pekee katika ukanda huu akimkabiri mreno pale houston stadium pale texas marekani. Game itakua saa mbili usiku kwa saa za afrika mashariki . Mchezo huu...
2 Reactions
Replies
Views
Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Team za Wanawake umri chini ya Miaka 17, Africa ya Mashariki na Kati kwa mwaka 2026 yanaendelea. Leo Tanzania inakipiga na jirani Kenya. Tanzania ilicheza...
1 Reactions
0 Replies
58 Views
Kama unajijua una zamu za Kutangaza na Kuchambua Mechi za Usiku mwingi tafadhali pumzika mapema Kwako na hakikisha kabla hujaenda Studio basi unywe hata Kahawa ili ikusaidie kutokusinzia wakati...
2 Reactions
0 Replies
70 Views
Kiufupi huyu mtu namtabiria makubwa kwa ufundi wake na ninamu0mbea kwa mungu afike mbali
5 Reactions
10 Replies
868 Views
1. Referee sijajua ana tatizo gani na Senegal. Wakiangushwa ni kama haoni kabisa anasonga mbele tu.au anataka mpaka mtu avunjwe shingo ndo iwe foul? 2. Senegal nanyi mpira ni pamoja na akili siyo...
4 Reactions
20 Replies
257 Views
Sikufanikiwa kuangalia mechi hata Moja, Nime download za yassine wapi. Sijui kombe hili Lina nini Naomba app yyt niangalie kwenye mobile. Sitaki za streaming nataka live Za yaccine sijui...
0 Reactions
2 Replies
155 Views
  • Redirect
Angalia game ya ufaransa na Senegal inayo jaa wamatumbi.
5 Reactions
Replies
Views
  • Featured
Mwamuzi wa Womalia, Omar Artan, ambaye alinyimwa visa ya kuingia nchini Marekani kuchezesha Kombe la Dunia linaloendelea la 2026, atalipwa posho yake yote ya mashindano hayo. Vyanzo vya habari...
7 Reactions
41 Replies
885 Views
Uhispania, ambao ni miongoni mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kutwaa Kombe la Dunia mwezi Julai, wanaanza kampeni yao dhidi ya Cape Verde—timu inayolenga kushtua ulimwengu na kuandika historia...
7 Reactions
64 Replies
1K Views
Nilianza kuangalia world cup toka game ya kwanza Timu Kama Brazil, German Spain zote mbovu Brazil hii na Ile ya 2014 hakuna tofauti German pamoja na kushinda 7 Jana lakini mpira mbovu. Muda...
1 Reactions
7 Replies
158 Views
Kweli Kama watu wa michezo hasa football hili Jambo la kuunganisha ligi mbili haliingii kichwani kabisa!! Au ndo mkakati wa kuwapoteza wananchi kwenye October 29? Ikimbukwe ligi kuu bara Ina...
1 Reactions
3 Replies
133 Views
Back
Top Bottom