Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mfungaji wa bao la Ramin Rezaeian wa timu ya taifa ya Iran na Nyota wa mchezo dhidi ya New Zealand katika michuano ya Kombe la Dunia, alimwambia mwandishi wa habari kuwa kelele za kuzomea kutoka...
3 Reactions
5 Replies
246 Views
Timu ya Taifa ya Misri kutoka Bara la Afrika imepata pointi moja baada ya kupata sare ya Goli 1-1 dhidi ya Ubelgiji kutoka Barani Ulaya katika mchezo wa Kundi G katika michuano ya Kombe la Dunia...
0 Reactions
6 Replies
435 Views
Brazil waliingia mkenge kwa kuachana na staili ya soka lao la samba lenye burudani ya kufa mtu, linalowekeza kwenye vipaji na wakaiga soka la ulaya linalo-base kwenye mpira wa kibiashara zaidi...
4 Reactions
8 Replies
189 Views
Unajua Bwana, niliposikia eti TBC wanadanganya Watu kwamba wataonyesha mechi za kombe la Dunia nikashangaa sana! Kwamba Hawa makapuku wametoa wapi uwezo huo? Nikajua tu kwamba hawana uwezo huo...
13 Reactions
35 Replies
731 Views
Timu zangu ni zile zile na wala sijazibadilisha kwani kama Mtaalam (Mngwena) wa Boli nina uhakika nazo Kimatokeo.. 1. Argentina 2. Germany 3. Mexico 4. Spain 5. Netherland 6. Senegal 7. Ghana...
2 Reactions
5 Replies
132 Views
Na huyu Mtangazaji Ibrahim Ambokile kwa Utangazi wake wa Kinafiki na kuichukia Simba SC ipo siku atakuja kuchezea Kichapo hatoamini. Napenda sana Watu ambao hawarembi, hawapendi ujinga...
0 Reactions
1 Replies
116 Views
Halafu wale Washamba (Mambugira) ambao kipindi cha nyuma Hans Rafael alipokuwa akiikandia Timu anayoisifia sasa mlikuwa mkifurahi na kumsifu kweli kweli hivyo tunawaombeni kwa sasa baada ya...
2 Reactions
0 Replies
66 Views
Gepu limepungua sana baina ya mataifa yalitokuwa yanatawala soka na mataifa mengine chipukizi katika kusakata kandanda. Tutarajie matokeo yasiyotarajiwa maana kuna vigogo wataadhirika kwa...
10 Reactions
51 Replies
1K Views
Marekani itaanza kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 kwa kuvaana na Paraguay katika Uwanja wa Los Angeles, moja ya viwanja vya wenyeji wa mashindano hayo. Hata hivyo, rekodi ya Marekani katika...
3 Reactions
12 Replies
382 Views
Timu ya Taifa ya Ubelgiji inaendelea kutifuana na Misri katika mchezo wa Kundi G wa Kombe la Dunia 2026.
0 Reactions
3 Replies
142 Views
Aaaah kubeti ni ussenger kmmk. Nimempa Spain Mazima, nimeweka 1,724,000/= baada ya kuongea na boss Mad Max akaniahidi kupata kigari cha bei nafuu nikaamua nikuze mtaji kwa kuweka mechi za uhakika...
12 Reactions
60 Replies
876 Views
Kama umekuwa ukiangalia mechi za Japan mashindano ya Kimataifa hususan mechi ya kombe la dunia 2026 dhidi ya Uholanzi na kujiuliza ''Hivi huyu kipa mjapan mweusi ni nani?'' basi jua hauko peke...
3 Reactions
6 Replies
351 Views
Timu ya TAIFA ya MOROCCO Kila uchao Inaonesha mabadiliko ya Kasi kubwa SANA katika ugaa wa soka Morocco wanatufundisha nini maana ya UWEKEZAJI katika Soka Angalia viwanja vituo vya kuibua vipaji...
7 Reactions
20 Replies
451 Views
Naangalia match sasa hivi. Huyu kipa wa Cape Verde ni hodari sana. Ameokoa the IMPOSSIBLES! Nadhani ball control ni over 90% for Spain, Lakini kipa wa Verde ameokoa magoli mengi!.... Mimi siyo...
2 Reactions
3 Replies
155 Views
Shirikisho la Soka la Tunisia limeamua kuachana na kocha mkuu Sabri Lamouchi mara moja kufuatia kipigo walichopata dhidi ya Sweden kwenye mchezo wa ufunguzi. Mipango inaendelea ya kumteua Mondher...
1 Reactions
5 Replies
140 Views
  • Featured
Kiungo fundi bwana mdogo wa miaka 18, Ayyoub Bouaddi, amezitikisa hisia za mashabiki wa soka ulimwenguni kufuatia kiwango bora cha kipekee alichokionesha kwenye mchezo wake wa kwanza wa Kombe la...
8 Reactions
15 Replies
738 Views
Hii ni kauli ya kiongozi wa Simba baada ya mechi Yao MENEJA PATRICK REYEMAMU 🚨 "Kuna namna sisi kama Simba matokeo yetu tunavyoyapata, sidhani kama kuna timu hapa nchini ingeweza kuyapata kwa...
1 Reactions
2 Replies
173 Views
Kwa wapenda soka wa club za hapa nchini. Kama mtakumbuka miaka ya mwanzoni mwa 1990 club ya simba ilikuwa na wafadhili SHAFI BORA na AHMED BORA. Siwasikii siku hizi, WAPO WAPI??? TUJUZANE
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hatimaye Serikali kupitia king'amuzi cha star times wametangaza rasmi kuonesha fainali za mwaka huu za kombe LA dunia. Kwa wale wenye ving'amuzi vya star times na dstv tu ndio wataweza kuona mechi...
0 Reactions
156 Replies
19K Views
Back
Top Bottom