Nani kawapaka hawa wazungu wa ufaransa masizi?!
Inclusion, equity and diversity
Some from AmericaDifferent colour one people
Jidanganye tu mkuuHa ha haa ufaransa ni chama langu lazima tubebe ndoo
NB France hakunaga ubaguzi wa rangi jamaa wapo peace sana!
kivipi au mkuu hujui historiaJidanganye tu mkuu
Na bado hamjaona maajabu makubwa. Congo DR kutawazwa mabingwa
France blacks ni wengi mno na wamejikita zaidi kwenye sports, music and films kama namna ya ku-survive na tusisahau kwenye crime pia ni wabobezi waliotukuka.kivipi au mkuu hujui historia
Slave trade ni nchi gani za ulaya zilianza kupiga marufuku utumwa?
France kwani blacks ni wengi?
Katika nchi za ulaya ushawahi kuishi uingereza?China au Asia
Yaani kuna nchi moja sihitaji jina mtu mweusi (black) wanakusugua ngozi
Mambo mengine yanafikirisha ujue!Hahahaaa. Lol.
Sijui ndo nimeanza kujizowesha iwe hivyo yaani kila comment yako lazima nijikute nacheka tu Mkuu.
adriz
Ana madini sana inabidi Jf wamlipe mshahara, hata akiandika siriaz bado anachekesha , Mimi kabla ya kuona comment yake nikifkiria tu secretarybird atakuja kuComment huwa nachekaHahahaaa. Lol.
Sijui ndo nimeanza kujizowesha iwe hivyo yaani kila comment yako lazima nijikute nacheka tu Mkuu.
adriz
Hahahaaa. Hatari sana ndugu yangu.Ana madini sana inabidi Jf wamlipe mshahara, hata akiandika siriaz bado anachekesha , Mimi kabla ya kuona comment nikifkiria tu secretarybird atakuja kuComment huwa nacheka