Nahodha wa Morocco, Achraf Hakimi, atafikishwa mahakamani kujibu shtaka la ubakaji, waendesha mashtaka wa Ufaransa wamethibitisha.
Mwanamke mmoja alimshutumu beki huyo wa klabu ya Paris...
Hakuna siri ya kushinda Aviator — lakini kuna njia za busara za kudhibiti bankroll yako na kufurahia sessions ndefu zaidi.
Utafute "mikakati ya Aviator" na utapata kurasa mamia zinazoahidi...
He's not Humanbieng Jana namsikia commentator anasema Leo anafanya mpira wa miguu uonekane ni kitu rahisi kukicheza
Anachukua mpira kuanzia kati ya uwanja anaipandisha team na hapo hapo anapiga...
Wenyeji wenza wa Kombe la Dunia, Marekani (USA), na washiriki waliofuzu kutoka Asia, Australia, watachuana jijini Seattle. Mshindi wa mechi hii ana nafasi kubwa ya kujihakikishia nafasi ya kwanza...
Mashabiki wa timu ya taifa ya Scotland wanajulikana kama Tartan Army ambayo iko kwenye group C na wanatarajiwa kupambana na Morocco leo kwenye Boston Stadium (Gillette Stadium) walivamaia jiji la...
Tunaoumia ni mashabiki wa Ureno. Ronaldo anapaswa kukubali kwamba huenda asiifikie rekodi anayoiwinda, na wakati umefika kuipa nafasi kizazi kipya kuibeba timu. Ureno ni kubwa kuliko mchezaji...
Kiungo wa Canada, Ismaël Koné, amepata jeraha kubwa la kuvunjika mguu kufuatia rafu mbaya aliyofanyiwa na mchezaji wa Qatar, Assim Madibo.
Baada ya tukio hilo, Madibo alionyeshwa kadi nyekundu...
Msimu mpya wa Ligi Kuu ya Uingereza (Premier League) 2026/2027 utaanza rasmi Ijumaa, Agosti 21, ambapo Arsenal watakuwa wenyeji wa Coventry saa 20:00 usiku. Siku ya Jumamosi, Agosti 22, Manchester...
Japan ndiyo timu ambayo itaenda kuishangaza dunia Kwa mara ya Kwanza usiku wa July 19 Kwa kubeba world cup.
Nimeangalia mechi Yao moja Tu waliocheza na uholanzi nikapata jibu kuwa hawa jamaa...
Mchezaji wa Singida Black Stars Mossi Nduwumwe amefikisha mabao 12 msimu huu baada ya kufunga hat-trick yake ya kwanza, ambayo pia ndiyo ya pekee hadi sasa katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wengi...
Leo Simba wapo tena uwanjani dhidi ya Mbeya City
Simba kwa mara ya kwanza kwenye msimu huu wanacheza mechi ya mchana tena jua kali na hili jua kali liwawakie tu
Mbeya City VS Simba SC | Ligi Kuu...
Pamoja na kufunga goli la kuongoza katika dakika ya 59 kwenye mchezo wao wa kwanza wa hatua ya makundi dhidi ya Korea Kusini, Jamhuri ya Cheki (Czech Republic) walipoteza mwelekeo na hatimaye...
Yanga Bingwa. Tena na Tena. Leo tunawachapa hawa mashupaa... Maana si mashujaa...
Tunazidi kukaa kileleni. Tunaamua wenyewe tuwachape baos ngapi. Mbwa hawa.
Mechi inachezwa Seattle Marekani kati ya Ivory Coast vs Equador....
Mimi mtazamaji nipo wilayani Kiteto, Manyara Tanzania......nafuatilia mechi live kwenye TV. Mtangazaji wa chanel ninayotazama...
Klabu ya Yanga imeendelea kuonyesha ubora wake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Foutanegate katika mchezo wa ligi uliochezwa leo.
Mabao ya Yanga yamefungwa na Stephane Aziz Ki...
Wana Yanga SC wenzangu naamini Uwanja wetu tulioahidiwa na Rais wetu mpendwa Injinia Hersi Said umeshaanza kujengwa na karibuni utazinduliwa?
Pia soma Juni 6, 2022 Injinia Hersi Said aliahidi...
England imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Croatia katika mchezo wa Kundi L uliokuwa na ushindani mkubwa.
England ilionyesha ubora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.