Utapeli: TBC haionyeshi kombe la Dunia

Utapeli: TBC haionyeshi kombe la Dunia

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,153
Reaction score
282,885
Unajua Bwana, niliposikia eti TBC wanadanganya Watu kwamba wataonyesha mechi za kombe la Dunia nikashangaa sana! Kwamba Hawa makapuku wametoa wapi uwezo huo?

Nikajua tu kwamba hawana uwezo huo, Leo nimejaribu kuuliza wadau Kama hicho walichoropoka wametimiza, majibu yake yamenifanya nijipongeze

Ama kweli Mbwa ukimjua jina hakung'ati, Hamna kitu

Poor TBC!

Muhimu: Lengo la kuleta Uzi huu ni kukomesha uongo Tanzania
 
Unajua Bwana, niliposikia eti TBC wanadanganya Watu kwamba wataonyesha mechi za kombe la Dunia nikashangaa sana! Kwamba Hawa makapuku wametoa wapi uwezo huo?

Nikajua tu kwamba hawana uwezo huo, Leo nimejaribu kuuliza wadau Kama hicho walichoropoka wametimiza, majibu yake yamenifanya nijipongeze

Ama kweli Mbwa ukimjua jina hakung'ati, Hamna kitu

Poor TBC!
Achana na TBCCM, tumia Azam channels
 
Mkuu mbona sie wengine tunacheki tu tena HD.. Hapo Japan kasawazisha
FB_IMG_1781471717902.jpg
 
Back
Top Bottom