Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Juzi tumeona Davido nyota wa mziki wa Nigeria aki protest jukwaani utekaji na mauaji ya raia nchini mwake. Ni kawaida kwa ma star wanaojielewa. Kijana Pele akiwa na miaka 29 alishinda kombe la...
6 Reactions
4 Replies
194 Views
Muda mfupi ujao Misri itacheza na Ubelgij. Japo Ubelgij ndio favourite lakini kwa upande wangu niko pamoja na Misri the Pharaoh na hakika watashinda nakutupaisha wa Africa jins Morocco...
6 Reactions
11 Replies
165 Views
Mechi ya ufunguzi wa Kundi K kwenye Kombe la Dunia 2026 kati ya Portugal na DR Congo imekwisha kwa sare ya 1–1, mchezo ukiwa na mvuto mkubwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Portugal walitangulia...
3 Reactions
88 Replies
2K Views
Netherlands wameweka rekodi mpya kwenye World Cup baada ya kufikisha unbeaten run ya mechi 14 bila kupoteza ndani ya 90 minutes + extra time🔥 Rekodi hiyo imevunja ya: - Brazil waliokuwa na mechi...
6 Reactions
37 Replies
445 Views
Baada ya Lionel Messi kupiga show lingine la hatari World Cup, legends mbalimbali wamejikuta wakimmiminia sifa La Pulga mfululizo kama mafuriko. Ronaldo Nazário “De Lima”, "The Real Ronaldo"...
11 Reactions
106 Replies
913 Views
Naomba kwa mwenye kujua free website nazoweza kupata chanel za azam sport ama app
0 Reactions
0 Replies
74 Views
  • Featured
Japan kwa mara nyingine wameacha chumba chao cha kubadilishia nguo kikiwa katika hali ya usafi wa hali ya juu baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Uholanzi, Moja ya mila na desturi bora...
20 Reactions
40 Replies
1K Views
Kwa sasa naona kabisa mapenzi yameshanishinda ila napata shida Sana kuwaambia hawa mabinti kuwa siwahitaji Kwa sasa napata shida Sana kuwaambia ukweli. Naombeni ushauri wenu aisee nataka niachane...
5 Reactions
41 Replies
443 Views
Mwaka wa 1950 timu dhaifu ya USA ilipanda mtumbwi na kuvuka bahari ya Atantic kuingia nchini Brazil kushiriki kombe la dunia la tatu. SIku chache kabla ya kwenda baharini kocha wa Marekani...
3 Reactions
9 Replies
219 Views
Nlimwambia kuwa haya mashindano yatadorora sana. Watu watakosekana viwanja vitakuwa tupu sababu wamarekani si wapenzi wa mpira. Ila mpaka leo hii tayari. Nimeshamtumia Mil 1,000,000 yake...
4 Reactions
9 Replies
311 Views
Mbunge wa Jimbo la Bumbwini Unguja, Zanzibar Mwinyi Jamal Ramadhani ameuliza swali la Nyongeza kwa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo juu ya mpango wa serikali kuunganisha Ligi kuu Bara...
0 Reactions
3 Replies
195 Views
Baada ya kutupia mabao mawili jana dhidi ya Croatia, Harry Kane sasa amefikisha mabao 10 ya World Cup na kumuacha Cristiano Ronaldo mwenye mabao 8 😅🔥 Kabla ya World Cup hii kuanza wote walikuwa...
14 Reactions
88 Replies
1K Views
Leo kivumbi kingine kwa Morroco baada ya kumkalia kooni Brazil mechi ya kwanza. Sina wakumshabikia hapa. Ila nataka wafungane mkeka wangu uendelee kupumua tu
2 Reactions
4 Replies
292 Views
Nevada authorities have charged boxer Floyd Mayweather with two felony counts stemming from allegations that he passed a bad check to make a $200,000 purchase. Mayweather, 49, is facing charges...
2 Reactions
8 Replies
197 Views
He deserve aisee. Na kama haitoshi kama the most rated player 8.5/10
12 Reactions
15 Replies
314 Views
Nahodha wa Morocco, Achraf Hakimi, atafikishwa mahakamani kujibu shtaka la ubakaji, waendesha mashtaka wa Ufaransa wamethibitisha. Mwanamke mmoja alimshutumu beki huyo wa klabu ya Paris...
1 Reactions
23 Replies
455 Views
Hakuna siri ya kushinda Aviator — lakini kuna njia za busara za kudhibiti bankroll yako na kufurahia sessions ndefu zaidi. Utafute "mikakati ya Aviator" na utapata kurasa mamia zinazoahidi...
2 Reactions
11 Replies
523 Views
He's not Humanbieng Jana namsikia commentator anasema Leo anafanya mpira wa miguu uonekane ni kitu rahisi kukicheza Anachukua mpira kuanzia kati ya uwanja anaipandisha team na hapo hapo anapiga...
33 Reactions
172 Replies
2K Views
Wenyeji wenza wa Kombe la Dunia, Marekani (USA), na washiriki waliofuzu kutoka Asia, Australia, watachuana jijini Seattle. Mshindi wa mechi hii ana nafasi kubwa ya kujihakikishia nafasi ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
139 Views
Mashabiki wa timu ya taifa ya Scotland wanajulikana kama Tartan Army ambayo iko kwenye group C na wanatarajiwa kupambana na Morocco leo kwenye Boston Stadium (Gillette Stadium) walivamaia jiji la...
2 Reactions
0 Replies
164 Views
Back
Top Bottom