Mjomba Malume
JF-Expert Member
- Apr 8, 2025
- 903
- 1,317
Baada ya kutupia mabao mawili jana dhidi ya Croatia, Harry Kane sasa amefikisha mabao 10 ya World Cup na kumuacha Cristiano Ronaldo mwenye mabao 8 😅🔥
Kabla ya World Cup hii kuanza wote walikuwa sawa na mabao 8 lakini Hurricane mwenyewe kaamua kutemana na Penaldo fasta tu ⚽🔥
Captain Kane, Goal Machine wa England, Sniper wa Bavarians, Number 9 wa Three Lions,The Hurricane anaendelea kufanya mambo kimya kimya huku records zikiongezeka 😅🔥
Kane kafikisha mabao hayo ndani ya:
-World Cup 3 tu
-Mechi 12 pekee 🔥
Wakati huo Cristiano Ronaldo:
Cha kuogopesha zaidi:
Kwa sasa Cristiano Camel anaonekana kujivunia zaidi kuwa mtu mwenye followers wengi zaidi mitandaoni 😅🔥
Kabla ya World Cup hii kuanza wote walikuwa sawa na mabao 8 lakini Hurricane mwenyewe kaamua kutemana na Penaldo fasta tu ⚽🔥
Captain Kane, Goal Machine wa England, Sniper wa Bavarians, Number 9 wa Three Lions,The Hurricane anaendelea kufanya mambo kimya kimya huku records zikiongezeka 😅🔥
Kane kafikisha mabao hayo ndani ya:
-World Cup 3 tu
-Mechi 12 pekee 🔥
Wakati huo Cristiano Ronaldo:
- Amecheza World Cup 6
- Zaidi ya mechi 25
- Lakini bado amebaki mabao 8 😅🔥
Cha kuogopesha zaidi:
- Kane bado ana miaka 32 tu
- Anaendelea kufunga
- Na bado ana nafasi kubwa ya kuongeza numbers zake 🔥
Kwa sasa Cristiano Camel anaonekana kujivunia zaidi kuwa mtu mwenye followers wengi zaidi mitandaoni 😅🔥