Uholanzi Yaweka Rekodi Kali World Cup 🔥

Uholanzi Yaweka Rekodi Kali World Cup 🔥

Mjomba Malume

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2025
Posts
903
Reaction score
1,317
Netherlands wameweka rekodi mpya kwenye World Cup baada ya kufikisha unbeaten run ya mechi 14 bila kupoteza ndani ya 90 minutes + extra time🔥

Rekodi hiyo imevunja ya:

- Brazil waliokuwa na mechi 13 bila kupoteza (1958–1966)

📌 Muhimu:Rekodi hii haijumuishi penalty shootouts.

Yaani:Mechi zinahesabiwa kama draw ikiwa zimeenda penalties.

Netherlands mara ya mwisho kupoteza World Cup ndani ya 90 mins + extra time ilikuwa 2010 fainali dhidi ya Spain (1–0).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom