Kila heri Misri nawatakia ushindi mkubwa

Kila heri Misri nawatakia ushindi mkubwa

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,263
Reaction score
5,172
Muda mfupi ujao Misri itacheza na Ubelgij. Japo Ubelgij ndio favourite lakini kwa upande wangu niko pamoja na Misri the Pharaoh na hakika watashinda nakutupaisha wa Africa jins Morocco ilivyotupaisha dhidi ya Brazil.

Kila la kheri Al-Masr.

adriz de mbusii
 
Baada ya kuona ujinga wa black South Africans niliacha kushabikia timu sababu ni waafrica wenzetu
 
Salah yupo free yanga mara wanamfukuzia🤣🤣🤣
 
Misri wamecheza mpira mzuri ndani ya dakika 45 zilopita,tegemeo la Afrika ni kuona Misri washinda hii game.

Baada ya kuwaona Cape Verde wakiwatoa jasho Hispania na sasa Misri kuongoza kwa goli 1, yatosha kuamini kuwa moja ya timu za afrika itafika nusu fainali ingine.

Jambo jingine nilojifunza ni kwamba safari hii mabeki wa timu za Afrika ni mabeki mshahara na hawapo Marekani kutalii, kwani Lamine kawekwa mfukoni na mabeki wa Cape Verde.

Jeremy Doku wa Ubelgiji nae kawekwa mfukoni na mabeki mshahara watatu wa Misri.

Ivory Coast nao wameshinda mechi yao ya kwanza.

Hivyo timu za Afrika nguvu mojawapo itayowasaidia ni kuwa na mabeki mshahara wanotekeleza majukumu yao vilivyo.

Kila la kheri timu za Afrika.
 
Muda mfupi ujao Misri itacheza na Ubelgij. Japo Ubelgij ndio favourite lakini kwa upande wangu niko pamoja na Misri the Pharaoh na hakika watashinda nakutupaisha wa Africa jins Morocco ilivyotupaisha dhidi ya Brazil.

Kila la kheri Al-Masr.

adriz de mbusii
morocco walishasema wao sio Africa
 
Muda mfupi ujao Misri itacheza na Ubelgij. Japo Ubelgij ndio favourite lakini kwa upande wangu niko pamoja na Misri the Pharaoh na hakika watashinda nakutupaisha wa Africa jins Morocco ilivyotupaisha dhidi ya Brazil.

Kila la kheri Al-Masr.

adriz de mbusii
Upo kama mimi, hivyo subiri uchambwe kwanini unashabikia waarabu 😄
 
Back
Top Bottom