Aliyekuwa beki machachari wa Bayern Munich na Real Madrid na beki wa timu ya taifa ya Austria David Alaba baba yake ni Mnaigeria na mama yake ni Mfilipino.
Wachezaji wengine asili ya Nigeria...
England na Ghana zinalenga kukata tiketi ya hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia mapema iwezekanavyo kwa kushinda mtanange huu wa Kundi L utakaopigwa huko Boston.
Fomu ya Timu na Habari Zilizopo...
Timu ya Taifa ya Senegal imekubali kichapo hicho katika Kundi I, licha ya kuanza kucheza vizuri kipindi cha kwanza cha mchezo huo, kipindi cha pili mbinu za Ufaransa zikawa bora na kupata magoli...
Wakuu hii sasa imekuwa historia rasmi
Lionel Messi amefikisha mabao 16 kwenye FIFA World Cup na kumfikia Miroslav Klose kama mfungaji bora wa muda wote wa World Cup.
Messi kafanya hivyo baada ya...
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr., hatarajiwi kurejea uwanjani hadi michuano ya Kombe la Dunia itakapofikia hatua ya mtoano. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 bado hajaanza...
Kombe la Dunia linaendelea tena leo ambapo Ufaransa watakuwa uwanjani dhidi ya Iraq
Naamini chama langu France litamkana sana mpenda vita Iraq
Soma Pia: FT: Ufaransa 3-1 Senegal | World Cup 2026...
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limejikuta katikati ya lawama nzito baada ya kashfa ya uchaguzi wa wachezaji wa kuwakilisha taifa katika mashindano ya eFootball World Cup 25.
Yaani badala ya...
Kama kuna maajabu nahisi dunia itayashuhudia leo ni Cape Verde kumkomalia Hispania!! Ķuna uwezekano mkubwa sana (90%) Cape Verde akaibuka kidedea mechi ya leo kombe la dunia!! Huu uzi ukisinzia...
Ujerumani na Ivory Coast zinaingia katika mchuano huu wa Kundi E huko Toronto zikijua kwamba ushindi utawahakikishia nafasi katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia zikiwa zimesalia na mechi moja...
Ukiona kitu chochote hadi ' Purely Talented and Charismatic Fella ' Mimi GENTAMYCINE nakipenda / nakikubali basi juu ya kwamba hata Malaika wa Mbinguni na Mwenyezi Mungu nae anakipenda na yupo...
Leo Mabingwa watetezi Yanga wapo uwanjani tena dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Nusu Fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB Bank katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza
Msimu uliopita Yanga na Azam...
Kipa mkongwe wa Cape Verde, Vozinha (40), aliokoa michomo 7, ikiwemo 6 ya ndani ya boksi, na kuwa shujaa na kuisaidia timu yake kutoka sare ya 0-0 dhidi ya mabingwa wa Ulaya, Uhispania, katika...
Tumeshajiandaa kwa lolote hasa msimu huu mpya unaweza kuwa mgumu sana kwa kushindwa kuchangia chochote ccm walioenea kila idara za michezo. hata tukose kombe misimu kadhaa ijayo haitakuwa jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.