Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Aliyekuwa beki machachari wa Bayern Munich na Real Madrid na beki wa timu ya taifa ya Austria David Alaba baba yake ni Mnaigeria na mama yake ni Mfilipino. Wachezaji wengine asili ya Nigeria...
2 Reactions
5 Replies
191 Views
England na Ghana zinalenga kukata tiketi ya hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia mapema iwezekanavyo kwa kushinda mtanange huu wa Kundi L utakaopigwa huko Boston. Fomu ya Timu na Habari Zilizopo...
0 Reactions
1 Replies
204 Views
Timu ya Taifa ya Senegal imekubali kichapo hicho katika Kundi I, licha ya kuanza kucheza vizuri kipindi cha kwanza cha mchezo huo, kipindi cha pili mbinu za Ufaransa zikawa bora na kupata magoli...
6 Reactions
190 Replies
3K Views
Wakuu hii sasa imekuwa historia rasmi Lionel Messi amefikisha mabao 16 kwenye FIFA World Cup na kumfikia Miroslav Klose kama mfungaji bora wa muda wote wa World Cup. Messi kafanya hivyo baada ya...
14 Reactions
40 Replies
904 Views
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr., hatarajiwi kurejea uwanjani hadi michuano ya Kombe la Dunia itakapofikia hatua ya mtoano. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 bado hajaanza...
3 Reactions
16 Replies
469 Views
Kombe la Dunia linaendelea tena leo ambapo Ufaransa watakuwa uwanjani dhidi ya Iraq Naamini chama langu France litamkana sana mpenda vita Iraq Soma Pia: FT: Ufaransa 3-1 Senegal | World Cup 2026...
1 Reactions
4 Replies
231 Views
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limejikuta katikati ya lawama nzito baada ya kashfa ya uchaguzi wa wachezaji wa kuwakilisha taifa katika mashindano ya eFootball World Cup 25. Yaani badala ya...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
Kama kuna maajabu nahisi dunia itayashuhudia leo ni Cape Verde kumkomalia Hispania!! Ķuna uwezekano mkubwa sana (90%) Cape Verde akaibuka kidedea mechi ya leo kombe la dunia!! Huu uzi ukisinzia...
14 Reactions
120 Replies
2K Views
Ujerumani na Ivory Coast zinaingia katika mchuano huu wa Kundi E huko Toronto zikijua kwamba ushindi utawahakikishia nafasi katika hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia zikiwa zimesalia na mechi moja...
4 Reactions
28 Replies
613 Views
Ukiona kitu chochote hadi ' Purely Talented and Charismatic Fella ' Mimi GENTAMYCINE nakipenda / nakikubali basi juu ya kwamba hata Malaika wa Mbinguni na Mwenyezi Mungu nae anakipenda na yupo...
23 Reactions
260 Replies
49K Views
Naomba aliyeona mchezaji kipaji kilichoibuka Hadi leo hii tulizoea kule Brazil, ila mambo hubadilika. Au anabaki Lamine Yamal? Naomba kiwasilisha
0 Reactions
5 Replies
178 Views
Ukiangalia goli la Simba dhidi ya Pamba halina utofauti kabisa na goli lililofungwa na mechi ya Iran dhidi ya Ubeligiji.n
0 Reactions
3 Replies
162 Views
  • Redirect
Ukiangalia goli la Simba dhidi ya Pamba halina utofauti kabisa na goli lililofungwa na mechi ya Iran dhidi ya Ubeligiji.n
0 Reactions
Replies
Views
Leo Mabingwa watetezi Yanga wapo uwanjani tena dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Nusu Fainali ya kombe la Shirikisho la CRDB Bank katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza Msimu uliopita Yanga na Azam...
7 Reactions
163 Replies
4K Views
  • Featured
Kipa mkongwe wa Cape Verde, Vozinha (40), aliokoa michomo 7, ikiwemo 6 ya ndani ya boksi, na kuwa shujaa na kuisaidia timu yake kutoka sare ya 0-0 dhidi ya mabingwa wa Ulaya, Uhispania, katika...
19 Reactions
31 Replies
1K Views
Wadau mtapata mrejesho usio na kelele. Mrejesho utakuwa wa kimya ila mwangwi wake mtausikia. German vs ivory Coast
1 Reactions
4 Replies
99 Views
Tumeshajiandaa kwa lolote hasa msimu huu mpya unaweza kuwa mgumu sana kwa kushindwa kuchangia chochote ccm walioenea kila idara za michezo. hata tukose kombe misimu kadhaa ijayo haitakuwa jambo...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Hivi Azam na yanga wanacheza lini?
2 Reactions
9 Replies
460 Views
Nchi za Japan na Ivory Coast zitaishangaza dunia kwenye hii michuano ya kombe la dunia.
2 Reactions
8 Replies
241 Views
Back
Top Bottom