Wakongwe wadatishwa na kiwango cha Messi

Wakongwe wadatishwa na kiwango cha Messi

Mjomba Malume

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2025
Posts
903
Reaction score
1,317
Baada ya Lionel Messi kupiga show lingine la hatari World Cup, legends mbalimbali wamejikuta wakimmiminia sifa La Pulga mfululizo kama mafuriko.

Ronaldo Nazário “De Lima”, "The Real Ronaldo" mwenyewe amesema muda umefika dunia ikubali kuwa Messi ndiye GOAT wa kweli🔥

Bingwa huyo wa zamani wa World Cup alisema anashangazwa na jinsi Messi anavyoendelea kukiwasha kila msimu na kwenye World Cup licha ya umri kusogea 🔥

Thierry Henry gwiji la soka la Ufaransa naye alisema:
“ Leo yuko kwenye kiwango kingine kabisa ” 🔥
Henry akaendelea kusifia uwezo wa Mchawi wa Rosario kuona mapana ya uwanja, kuamua mechi kubwa na consistency yake ya kutisha 🔥

Alan Shearer mkali wa mabao wa England yeye baada ya kuona goli la 16 la Messi akaishia kusema tu:
“ Oh my God Messi ”

Hata Miroslav Klose ambaye record yake imefikiwa na Messi alisema hana shida kabisa kumuona La Pulga akiivunja.

Captain wa Albiceleste, Flea Genius, Football Alien, Little Magician na GOAT wa Argentina anaendelea kufanya mpaka legends washindwe kuficha hisia zao.
 
Mimi nakubali messi ni bora, kwangu ni namba 2 baada ya pele, kisha cr7 anaweza akawa wa 7 hivi ama wa 5..

Swali je, kwanini kuna matukio messi hapewi kadi, naikumbuka ile na holland alidaka mpira, kuna ile akiwa inter miami, mbaya zaidi juzi alimkanyaga mcjezaji wa algeria ile aio bahati mbaya, sababu marudio yanaonesha wakati anaemda kukanyaga macho yake yalikuwa kwenye miguu ya mwenzir, kwanini isiwe kadi nyekundu, je FIFA wanalinda heshima ya mwamba?
 
Mimi nakubali messi ni bora, kwangu ni namba 2 baada ya pele, kisha cr7 anaweza akawa wa 7 hivi ama wa 5..

Swali je, kwanini kuna matukio messi hapewi kadi, naikumbuka ile na holland alidaka mpira, kuna ile akiwa inter miami, mbaya zaidi juzi alimkanyaga mcjezaji wa algeria ile aio bahati mbaya, sababu marudio yanaonesha wakati anaemda kukanyaga macho yake yalikuwa kwenye miguu ya mwenzir, kwanini isiwe kadi nyekundu, je FIFA wanalinda heshima ya mwamba?
Makosa ya waamuzi hayo
 
Back
Top Bottom