Kuna mambo ya kusikitisha, na mengine yanayoumiza. Ni matukio yanayokufanya ujiulize maswali mengi bila kupata majibu hasa ukiwaza mwelekeo kesho kwenye mambo muhimu yanayogusa ustawi wa jamii...
Wana-jamvi, mambo si shwari hata kidogo kwenye kambi ya timu ya taifa ya Senegal ("Teranga Lions") inayoshiriki Kombe la Dunia 2026 nchini Marekani. Pamoja na sifa zote na ukweli kwamba walitwaa...
Senegal na Iraq Zatafuta Ushindi wa Kwanza Kombe la Dunia 2026
Senegal na Iraq zitashuka dimbani zikiwa na lengo la kumaliza hatua ya makundi ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwa ushindi, katika...
Mambo yanazidi kupamba moto katika Kundi A huko Estadio Monterrey! Hali ilivyo sasa inalazimisha timu zote mbili kuingia uwanjani zikiwa na mipango thabiti ili kujihakikishia nafasi ya kusonga...
Ecuador na Ujerumani wanashuka kwenye dimba la New York New Jersey Stadium, huku Waamerika Kusini hao (Ecuador) wakipambana kufa na pona kupata nafasi ya kutinga hatua ya mtoano dhidi ya Wazungu...
Miguel Almirón amekuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa kwa kadi nyekundu baada ya kufunika mdomo wake katika Kombe la Dunia, huku Paraguay wakibaki na matumaini ya kusonga mbele licha ya kucheza...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua kuhakikisha Uwanja wa Ndege wa Mwanza unaboreshwa na kujengwa katika hadhi ya kimataifa ili kuendana na hadhi ya jiji...
“Dear Roxane,
Remember when somebody bought me a fake United jersey, and I wrote Ronaldo 7 on the back with the black marker?
Remember 25 people sleeping in one house back in Abidjan?
We didn’t...
Dah huyu jamaa anaandika historia mapema sana.
Baada ya mechi ya jana dhidi ya Senegal, Kylian Mbappe amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya France baada ya kufikisha mabao...
Tofauti na wenzake kama Mbape na Messi ambao wao huwa ndiyo target ya pass za mwisho, kwa Cristiano Ronaldo yeye kwa sasa si kipaumbele kwa pass ya mwisho. Wachezaji wenzake naona kama wanamwonea...
Mechi ya Simba na Azam refa alikuwa Aragija, Simba walikataliwa penati mbili za wazi lakini pamoja na viongozi kulalamika hadharani hawakuchukua hatua yoyote baada ya kamati ya masaa 72 kukaa...
Mchezo wa leo wa nusu fainali ya CRDB CUP, Kiungo Stephen Azizi Ki utakuwa mchezo wake wa mwisho ndani ya kikosi cha Yanga SC.
Azizi Ki anaondoka Yanga SC baada ya mchezo wa leo dhidi ya JKT...
Vinícius Jr ameendelea kuandika historia yake taratibu ndani ya kikosi cha Brazil baada ya kuweka rekodi mpya kwenye World Cup kufuatia ushindi wa Brazil dhidi ya Haiti June 19, 2026 (Friday)...
Wakuu leo mechi nane zitapigwa za NBC Premeir league lakini Jambo kubwa ni kati ya Yanga dhidi ya Azam FC. Je, Yanga wataweza kujishikilia dhidi ya utofauti wa point mbili kati yake na Mnyama...
Leo Goat CR7 Lazima atupie kamba 2, tupunguze hizi kelele za mji. Kila la Kheri mwamba
================
Mtanange wa kweli wa "David dhidi ya Goliath" (mnyonge dhidi ya jitu) unatarajiwa kurindima...
Djed Spence mchezaji mweusi wa Uingereza na muislam wa kwanza kuichezea timu ya taifa ya Uingereza hakuonesha kitendo cha kiungwana kabisa kwa kukataa kumsalimia Thomas Partey Beki kiungo wa Ghana...
Raundi ya 28 ya Ligi Kuu NBC inaendelea leo kwa mchezo wa kusisimua kati ya Mtibwa Sugar na Simba SC utakaopigwa saa 10:00 jioni katika Uwanja wa Jamhuri. Simba SC ikisaka pointi 3 katika mbio za...
Kama washindi pekee wa Kundi K katika michezo ya kwanza, Colombia watakuwa wanatafuta nafasi ya kujihakikishia ushiriki wao katika hatua ya 32 bora watakapochuana na DR Congo kwenye Uwanja wa...
Captain wa timu ya taifa ya Irana lipokuwa akihojiwa amedai, wanafuraha kubwa kuwa hapa Mexico kwenye kombe la dunia hili, kwani wameambiwa wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, cartel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.