Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kuna mambo ya kusikitisha, na mengine yanayoumiza. Ni matukio yanayokufanya ujiulize maswali mengi bila kupata majibu hasa ukiwaza mwelekeo kesho kwenye mambo muhimu yanayogusa ustawi wa jamii...
2 Reactions
19 Replies
294 Views
Wana-jamvi, mambo si shwari hata kidogo kwenye kambi ya timu ya taifa ya Senegal ("Teranga Lions") inayoshiriki Kombe la Dunia 2026 nchini Marekani. Pamoja na sifa zote na ukweli kwamba walitwaa...
7 Reactions
33 Replies
917 Views
Senegal na Iraq Zatafuta Ushindi wa Kwanza Kombe la Dunia 2026 Senegal na Iraq zitashuka dimbani zikiwa na lengo la kumaliza hatua ya makundi ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwa ushindi, katika...
1 Reactions
6 Replies
323 Views
Na je, Yanga Africa ataenda kumkanda chuma ngapi mnyana fainali CRDB Cup?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
3 Reactions
19 Replies
370 Views
Mambo yanazidi kupamba moto katika Kundi A huko Estadio Monterrey! Hali ilivyo sasa inalazimisha timu zote mbili kuingia uwanjani zikiwa na mipango thabiti ili kujihakikishia nafasi ya kusonga...
1 Reactions
4 Replies
256 Views
Ecuador na Ujerumani wanashuka kwenye dimba la New York New Jersey Stadium, huku Waamerika Kusini hao (Ecuador) wakipambana kufa na pona kupata nafasi ya kutinga hatua ya mtoano dhidi ya Wazungu...
1 Reactions
6 Replies
307 Views
Miguel Almirón amekuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa kwa kadi nyekundu baada ya kufunika mdomo wake katika Kombe la Dunia, huku Paraguay wakibaki na matumaini ya kusonga mbele licha ya kucheza...
2 Reactions
9 Replies
240 Views
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua kuhakikisha Uwanja wa Ndege wa Mwanza unaboreshwa na kujengwa katika hadhi ya kimataifa ili kuendana na hadhi ya jiji...
1 Reactions
5 Replies
176 Views
“Dear Roxane, Remember when somebody bought me a fake United jersey, and I wrote Ronaldo 7 on the back with the black marker? Remember 25 people sleeping in one house back in Abidjan? We didn’t...
5 Reactions
4 Replies
281 Views
Dah huyu jamaa anaandika historia mapema sana. Baada ya mechi ya jana dhidi ya Senegal, Kylian Mbappe amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya France baada ya kufikisha mabao...
15 Reactions
141 Replies
2K Views
Tofauti na wenzake kama Mbape na Messi ambao wao huwa ndiyo target ya pass za mwisho, kwa Cristiano Ronaldo yeye kwa sasa si kipaumbele kwa pass ya mwisho. Wachezaji wenzake naona kama wanamwonea...
11 Reactions
86 Replies
868 Views
Mechi ya Simba na Azam refa alikuwa Aragija, Simba walikataliwa penati mbili za wazi lakini pamoja na viongozi kulalamika hadharani hawakuchukua hatua yoyote baada ya kamati ya masaa 72 kukaa...
2 Reactions
7 Replies
433 Views
Mchezo wa leo wa nusu fainali ya CRDB CUP, Kiungo Stephen Azizi Ki utakuwa mchezo wake wa mwisho ndani ya kikosi cha Yanga SC. Azizi Ki anaondoka Yanga SC baada ya mchezo wa leo dhidi ya JKT...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Vinícius Jr ameendelea kuandika historia yake taratibu ndani ya kikosi cha Brazil baada ya kuweka rekodi mpya kwenye World Cup kufuatia ushindi wa Brazil dhidi ya Haiti June 19, 2026 (Friday)...
6 Reactions
89 Replies
1K Views
Wakuu leo mechi nane zitapigwa za NBC Premeir league lakini Jambo kubwa ni kati ya Yanga dhidi ya Azam FC. Je, Yanga wataweza kujishikilia dhidi ya utofauti wa point mbili kati yake na Mnyama...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Leo Goat CR7 Lazima atupie kamba 2, tupunguze hizi kelele za mji. Kila la Kheri mwamba ================ Mtanange wa kweli wa "David dhidi ya Goliath" (mnyonge dhidi ya jitu) unatarajiwa kurindima...
2 Reactions
73 Replies
1K Views
Djed Spence mchezaji mweusi wa Uingereza na muislam wa kwanza kuichezea timu ya taifa ya Uingereza hakuonesha kitendo cha kiungwana kabisa kwa kukataa kumsalimia Thomas Partey Beki kiungo wa Ghana...
2 Reactions
15 Replies
394 Views
Raundi ya 28 ya Ligi Kuu NBC inaendelea leo kwa mchezo wa kusisimua kati ya Mtibwa Sugar na Simba SC utakaopigwa saa 10:00 jioni katika Uwanja wa Jamhuri. Simba SC ikisaka pointi 3 katika mbio za...
0 Reactions
12 Replies
520 Views
Kama washindi pekee wa Kundi K katika michezo ya kwanza, Colombia watakuwa wanatafuta nafasi ya kujihakikishia ushiriki wao katika hatua ya 32 bora watakapochuana na DR Congo kwenye Uwanja wa...
1 Reactions
4 Replies
255 Views
Captain wa timu ya taifa ya Irana lipokuwa akihojiwa amedai, wanafuraha kubwa kuwa hapa Mexico kwenye kombe la dunia hili, kwani wameambiwa wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, cartel...
3 Reactions
12 Replies
424 Views
Back
Top Bottom