Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Kwanza kabisa natoa pongezi zangu za dhati kwa muheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania kwa kufanya maamuzi yha busara ya kumuongezea Maximo mkataba mpya wa mwaka mmoja.I think he is well deserve...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Iraqi footballer shot dead by fan An Iraqi football player has been shot dead by a spectator as he was about to score an equalising goal. The shooting happened in the last minute of a...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Uwanja unaochezewa mechi kati ya Yanga na Alhaly ni mbovu. Matokeo si mazuri kwa Yanga mpaka sasa. Yanga wameshazoea kucheza mechi zao kwenye uwanja wenye hali ya juu; uwanja wa kimataifa wa Dar...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
This folding flat screen TV under the bed is amazing but I bet you were expecting something else from that title. Ok seriously, I want one of these things but I know I couldn't afford it...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
- Naomba kutoa heshima zangu za dhati sana na za kutoka moyoni kwangu kwa wachezaji wote na viongozi wa timu yetu ya Manyema FC, kutoka Kariakoo kwa kuweza kushinda hivi karibuni na kurudi tena...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam waungwana, Naomba mwenye maelezo/matokeo ya mechi hii atupe hapa jamvini..
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Yapata miezi miwili tangu kampuni ya GTV kufunga matangazo yao ya television, wateja wao wa hapa Tanzania mpaka sasa hawajui hatima yao je TCRA na mamlaka zingine za serikali naona zimekaa kimya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Police offer apology to Anichebe BBC Sports Online Victor Anichebe said in a statement he was embarrassed and humiliated Cheshire Police have apologised to Premier League striker...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sir Alex Ferguson says his poor record against Jose Mourinho is ample evidence Manchester United are not certain to reach the Champions League last eight. Ferguson's United face Mourinho's Inter...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mabingwa wa soka nchini leo wamewanyuka mabingwa wa America ya kaskazini Vancouver white caps kwa mabao 3-0, kwenye uwanja wa Taifa. Mabao ya wababe hao wa jangwani yaliwekwa kimiani na Jerry...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
VIUNGO wazoefu wa ushambuliaji wa timu ya soka ya taifa 'Taifa Stars', Athuman Idd 'Chuji' na Haruna Moshi �Boban� wamejitoa katika kikosi hicho kinachofundishwa na kocha Mbrazili...
0 Reactions
66 Replies
12K Views
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana uteuzi wa mchezaji bora Duniani katika mabara mbalimbali ila mpka sasa nashindwa kuelewa ni vigezo gani wanavitumia wenzetu wa mabara mengine kwani uteuzi wao...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Arsenal/Hull vs Chelsea Man U vs Everton Mwaka huu kama isingekuwa Villa na Liverpool kutolewa na everton, tungekuwa tunaongelea top 4 wote kuwa kwenye robo fainali, its getting serious now. Man...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
DRC wenzetu ktk vita mda mrefu leo wamewatangwa Ghana 2-0! Nawapongeza sana jirani zetu wa Kabila! Mapedeshee wote wa Mujini karibuni tusherehekee!!! BBC SPORT | Football | African | DR...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Damn these guys rock, after new zealand now Fiji. They now automatically qualify for the Rugby world cup in 2013, go kenya go kenya go kenya Kenya stun Fiji in day of World Sevens upsets...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu naombeni kujua ukweli kuhusu brand name ya jezi za timu ya taifa ( taifa stars) ina michirizi ya adidas lakini nasikia sio adidas ila ni adidas feki. wakuu wa adidas walikuja kwaajili ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mungu ibariki taifa stars leo na ktk mechi zote ili turudi na kombe letu inshaallah
0 Reactions
587 Replies
52K Views
Anyone got pictures of Tanzanian stadiums, like StadiumZone The national football stadium looks impressive! What's the oldest stadium in the country?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kutokana na matokeo ya jana ya mechi kati ya Taifa stars na Zambia. naomba kuuliza yafuato; 1. Je bao la kusawazisha la Zambia ambalo walilipata katika dakika za nyongeza lilisababishwa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Date::2/26/2009 Taifa Stars waliwatoroka polisi Abidjan kimya kimya Na Saleh Ally, Abidjan Mwananchi UAMUZI wa kikosi cha Taifa Stars kuamua kutokula chakula kwenye hoteli ya Golf ya...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom