Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Mabingwa wa soka nchini leo wamewanyuka mabingwa wa America ya kaskazini Vancouver white caps kwa mabao 3-0, kwenye uwanja wa Taifa. Mabao ya wababe hao wa jangwani yaliwekwa kimiani na Jerry Tegete mabao mawili na Mike Barasa bao moja. Ushindi huo ni dalili nzuri kabla ya kukipiga na Ally Alhy ama National ya Misri Ijumaa hii.
Dokezo; Team kama hii inafaa kweli kujipima nguvu na timu yetu ya taifa??
Dokezo; Team kama hii inafaa kweli kujipima nguvu na timu yetu ya taifa??