Nilitarajia kuwa waziri wa utamaduni............. Angejikita katika kuhakikisha vyombo vyetu vya habari (television, radio, magazeti nk.) vinathamini utamaduni wetu hasa katika kutuhabarisha...
Naomba msaada wa kilipo chama cha riadha,binafisi naishi maeneo ya kimara si shabiki wa michezo lakini nimuomavyo msichana wetu wa kazi ni mutu ambaye itakuja kuwa lulu kubwa ya taifa hili,mutu...
My fellow artists, am looking for shops where they sell painting stuffs like brushes, boards, oil paints and so forth here in DSM. If anyone knows, pls PM me.
Hii ni timu ambayo nimekuwa nikiipenda tangu udogo, bila kushurutishwa na yeyote na bila shinikizo lolote. Inaitwa Texas Dume, inapatika Mikocheni 'A' kuanzia mtaa wa Masjid Nawal mpaka Kidosho...
Mchezaji mkorofi wa Manchester City,Mario Balotteli amefungiwa na chama cha soka Uingereza kucheza mechi nne baada ya kumpiga/kumchezea faulo mchezaji wa Tottenham Scot Parker. Uamuzi huo...
Mchezaji alieingiza botswana kwenye mashindano ya afrika leo anacheza na ghana
ajawahi kucheza ligi yoyoyte botswana zaidi ya kucheza michezo ya mchangani
kwa kukodishwa ..kijana huyu ndie...
Vitendo vinaongea kuliko maneno . Ni maajabu kbc ni kama tbc lakini mkwr naona ame relax hailewi hata jirani yake kibaki anafanya nini. Ee mungu mrehemu huyu kiumbe mapema maana haisaidii dunia yako
Sofapaka and Harambee Stars defender John Njoroge has been awarded Sh1million by world football governing body Fifa after a legal tussle against Tanzanian club, Yanga.
The Tanzanian club was...
...Zikiwa zimebaki siku mbili kuanza kwa mashindano ya kombe la Afrika,masikio na akili za watanzania zimetegemee kusikia uchambuzi wa kijinga na kinazi toka kwa hawa wachambuzi wa kitanzania...
SANTA ANA, Calif. (AP)
Reports: Kobe's wife files for divorce
Kobe and Vanessa Bryant have been married for more than 10 years.
Kobe Bryant's wife, Vanessa, filed for...
CAF will bring you a LIVE coverage of the Orange CAN 2012 matches
Gabon news - Orange Africa Cup of Nations 2012 - CAF
Referees
No
NAME
COUNTRY
1
Maillet Eddy Allen
Seychelles...
Tanzanian Basketball Super Star, Alphaeus David Kisusi 19 years old, National team and Vijana "City Bulls" Basketball player left on tuesdya 17th Jan, 2012 for Canada.
Alpha will be studying...
Friday, 20 January 2012
Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga (kulia) akibadilishana hati na Mkurugenzi Mtendaji wa NEDCO, Dk. Ambwene Mwakyusa kwa ajili ya makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa...
the game z over and madrid has been defited in her home ground.....carles puyol scored an equalized goal and then in 70's minute abidal scored the wining goal.....vamos barca
Leo kwa mara ya kwanza tumeweza kuona Live game ya BARCELONA NA REAL MADRID kupitia ving'amuzi vya StarTimes
sisi mambo kama haya ndo tunayataka hatutaki kwenda baa!!!
afu nasikia from next...
Nimeshangazwa na gazeti hili leo kuna na habari waliyoipa uzito wa juu kabisa ya Milovan apata kikosi Simba lakini habari yenyewe fupi mno na waliyoandika ni maelezo ya kawaida na mahojiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.