Mkuu hii si kama 17Mil au?
tena ubabaishaji usio hata na macho,Ni habari nzuri kwani klabu zetu zimezidi ubabaishaji, watu wanaendesha klabu kisanii acha washikishwe adabu. oa
tena ubabaishaji usio hata na macho,
huwezi kukataa kumlipa mtu pesa yake eti kwa kuwa hakutuonyesha vyeti vyake,na ilikuwaje kuifundisha timu kwa kipindi choote hicho? baada ya kuona yapo shingoni ndio watu wanakuja na visingizio kibao
watoe tu hiyo pesa,kwani ubabaishaji umezidi
Hiyo Miloni 1 ni Tshs au Kshs?Mkuu hii si kama 17Mil au?
Sawa sawa tu tumezidi ujanja ujanja wa kifara na kutojua sheria.