jamani tambo zote za mourno zinazidi kugonga mwamba!leo baada ya dk 13 christiano ronaldo kufunga bao la kuongoza,nikajua tu ndio staili yao ya siku zote kutangulia na baiskeli ya miti,wazee wa...
wakuu habari zenu, nataka kujua ntapata wapi laptop skins za club za Uingereza Liverpool, Arsenal, Chelsea na Manchester United kama hizo katika picha hapo kwa hapa Dar na Arusha??,,,nashkuru...
timu ya Azam FC
Baada ya kufanikiwa kutwaa Kombe la Mapinduzi uongozi wa timu ya Azam FC umesema kwamba zama za Simba na Yanga kuongoza soka la Tanzania zimepitwa na wakati na sasa wanaelekeza...
Hizi game balaaa piga ua lazima afe mtu napredict watoto wa London kutoka kidedea...
Sunday, 22 January 2012
Man City v Tottenham, 13:30
Arsenal v Man Utd, 16:00
Inside Thomas and Rose Barwuah's third-floor council flat above a row of shops in Bagnolo Mella, on the outskirts of Brescia in northern Italy, photographs of their family adorn the walls.
There...
Rivaldo has chosen to play in some unexpected destinations since leaving Milan in 2004, having spent two years with FC Bunyodkor of Uzbekistan from 2008 Brazilian World...
Kwa hili vyema sana SAF. Kwani huu ndio mtazamo wa mtu anajua na kufahamu soka vilivyo. SAF amekiri hayo wakati wa mahajiano katika kuelekea kutangazwa kwa washindi mbalimbali wa tuzo za soka...
kocha wa real madrid amehapa kuwa zamu hii ni zamu yake kutoa kipigo kitakatifu kitakacho iduwaza dunia kwa barca!ktk mechi ya kwanza ya kombe la mfalme itakayo chezwa j.tano ijayo ktk wa uwanja...
Muslim brothers behind Tim Tebow Movement10:01 PM, Jan 9, 2012 | 12 comments
- A A A +
Written byEric Kahnert
FILED UNDER
Denver Broncos
Home
Local News
Sports
As Seen on...
Bofya hapa kuona video ya tukio hilo Goalkeeper suffers epic nightmare
Angalia video hapo juu ambayo makipa wengi wasipokuwa waangalifu wanaweza kuisababishia timu magoli ya kizembe...
Jana thierry alifunga bao dhidi ya Leeds akiwa amevaa jezi no 12, zikiwa zimesalia dakika 12 mchezo kwisha, likiwa ni bao la 12 dhidi ya Leeds United, na ni Mara ya 12 kukutana na Leeds, na huu ni...
jaman me hapa hata cjielew,naona kama kesho ndio mwisho wetu na hao liva walivyo na usongo na ushindi tutakoma ukizingatia wanatufungaga na kikosi chetu hakipo sawa basi dah...nipeni mahope jaman..
Katika mechi kati ya Arsenal na Leeds,Thiery Henry alivaa jezi namba 12,alifunga bao dakika 12 kabla ya mchezo kuisha,lile lilikuwa ni bao lake na 12 kufunga dhidi ya leeds>na huu ni mwaka 2012.
Nyilawila aukana ubingwa WBF
Monday, 09 January 2012 21:01
Imani Makongoro, Mwananchi.
BINGWA wa dunia wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa duniani (WBF), Karama Nyilawila ametangaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.