Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Wadau, ninakumbuka marefarii wetu waliovuma miaka ya nyuma. 1. Mohamed Nyama- Lindi. Huyu alikuwa mnazi mkubwa sana wa SImba nakumbuka kuna mechi moja ya Simba Vs Yanga aliivuruga kutokana na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Huyu jamaa ananiua sana.alivokua mwandishi pale Mwanaspoti alikuwa kinara wa kuiponda sana TFF katika makala zake za gazetini.Lakini alivoingia Tff sasa amekua kinala wa kuboronga, kujikanyaga na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Arsene Wenger hits back in war of words with President of RwandaArsene Wenger Arsene Wenger has faced a barrage of criticism for Arsenal’s poor performances in 2012 from fans and journalists...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Game between Al-masri and Ally more than 70 killed
0 Reactions
27 Replies
4K Views
...Nilikuwa na wazee wa Simba uwanja wa Jamuhuri hapa Dodoma siku za karibuni,mzee mmoja wa Simba akasema ni bora ubingwa uende kwa Yanga au Villa Squad kuliko Azama FC.Lakini pia wa Yanga nao...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mpaka half time,1-1.Puyol akisawazisha kwa kichwa kutokana na mpira wa kona!COPA DEL REY SEMI FINAL FIRST LEG!
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Inatupasa wana JF wote kujumuika na kuweka tofauti zetu kando na kwenda kuishabikia Manchester united itakapokwaana na Stoke city katika dimba la old traford mida ya saa tano usiku kwa saa za...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Aiseeee....
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Barcelona have completed the signing of Wayne Rooney for a world record transfer fee of £83 million. After weeks of speculation, the world and European champions held off a...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Mr. Marcio Maximo Barcellos, Brazilian Professional Football Coach is serious, competent and has coaches always with good results as one may check on his honest "Curriculum" and had his capacity...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa klabu ya Simba yuko hatarini kufungiwa maisha kwa kujihusisha na rushwa katika pambano la watani wa jadi hapo Oktoba 2011.Alinaswa na viongozi wa Yanga akiwasiana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya Twiga Stars kuwaondoa wa-Namibia kwa jumla ya mabao 7-2, watavaana na Ethiopia iliyowatoa Egypt kwa jumla ya mabao 6-4.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni dakika ya 26 sasa Twiga Stars 1-0 Namibia Goli limefungwa na Mwanahamis Omar
0 Reactions
93 Replies
7K Views
Haya kwa wale wapenda tennis. Msimu wa 2011 kijana djokoviv aliwapelekesha kiina Nadal na Federer. Federer Umri unaonekana umekwenda lakini bado yumo yumo Msimu ndio Umeanza kwa AUSTRALIAN...
1 Reactions
72 Replies
5K Views
NI AJABU MNO KUONA/KUSIKIA VYOMBO VYETU VYA HABARI KUONA UFAHARI KUONESHA 'LIVE' MECHI ZA SOKA LA KLABU ZA ENGLAND NA KUACHA KUFANYA HIVO KWENYE KOMBE HILI LA AFRIKA ACHILIA MBALI LIGI YETU. KAMA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hongereni sana Manchester united kwa kutoa dozi ya kipigo cha mabao mawili kwa moja dhidi ya Arsenal tena kwenye uwanja wao wa Nyumbani,ninaimani mna uchu wa magoli.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
No one loves you manchester city also Azam FC!! may be wale wanafiki wasiopenda timu flani ichukue tena ubingwa safari hii na ambao timu yao imepoteza matumaini kabisa!!!
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Spanish football Cup slips, falls under bus Spain's most treasured football trophy, the King's Cup, slipped from the hands of a Real Madrid player, fell under the team bus and was...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Hawa miamba wawili kwanini hawatwangani tujue nani mbabe zaidi maana kila mtanange ukipangwa upande mmoja unazingua. Mimi naamini Mayweather ni mkali kuliko Pacquiao ninachosubiri ni raundi 12 tu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nijue web site ya matokeo ya ligi ya uk na pia uefa ni ipi? natamani kupata matokeo mpira unapoendelea
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom