mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Je mchezaji Athman Idd(Chuji) alikuwemo katika kikosi kilichocheza na Azam Jumamosi March 10? Chuji amekuwa akitajwa mara kadhaa kuwa mtovu wa nidhamu, katika vurugu zilitokea kwenye mchezo huo sijasikia popote akitajwa kuhusika. Hakuwemo katika kikosi au alikuwemo isipokuwa kabadilika na kaacha vitendo vya vurugu vurugu kama zamani?