yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Kocha wa yanga kostad papic amebwaga manyanga kuifundisha yanga.hii imetokana na uongozi wa yanga kumhoji kuhusu mahusiano yake na wachezaji kwani ilionekana anaendekeza chuki na baadhi ya wachezaji kiasi cha kuwapiga benchi ,hadi kusahaulika kama wanachezea yanga huku wachezaji hao wakipokea mishahara kama kawa.ndipo papic akaamua kususa na kurudi kwao.
Soarce: clouds a.k.a simba tv ,a.k.a kamati ya nidham ya tff.a.k.a tawi la simba ,
Soarce: clouds a.k.a simba tv ,a.k.a kamati ya nidham ya tff.a.k.a tawi la simba ,