Uhakika wa Tanzania kuvuna medali za dhahabu umekuwa mkubwa sana baada ya kujitokeza wanandondi (Boxers) wa ridhaa wenye kiwango cha hali ya juu. TOC kushirikiana na TFF wamekubaliana wachezaji wa Yanga watuwakilishe katika michezo ya Olympic ya London. Hakuna wasi wasi maana vijana wale ni wataalamu wa kurusha masumbwi.
Hongera Yanga kuwakilisha Taifa letu
Hongera Yanga kuwakilisha Taifa letu