yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Baada ya kuzindua kituo cha tv (simba tv) kinachurushwa na clouds tv, sasa club ya simba inazidi kuchanja mbuga na kuzipiga bao club nyingine za africa na sasa ipombioni kuzindua redio yao binafsi itakayoitwa Simba sc fm, na redio hiyo itakua inarushwa kupitia radio clouds.