Simba vs JKT Ruvu

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
Mpira una endalea Simba 1 na JKT Ruvu 0...

========
Simba 3 na JKT Ruvu 0
Kagera Sugar 1 na Yanga 0
Coatal 1 na Polisi 0
Toto 2 na African Lyno 0
 
Heshima yako mkuu Crashwise asante kwa updates kwa kweli nimefurahi mnyama kuongoza mpaka sasa
 
Heshima yako mkuu Crashwise asante kwa updates kwa kweli nimefurahi mnyama kuongoza mpaka sasa
Mkuu hawa jamaa mwaka jana ndiyo walio tunyima ubingwa na ilikuwa mechi za mwisho wisho hivi tuka toka sare ya 2-2 huku wachezaji wao wawili wakipewa kadi nyekundu....
 
Mkuu hawa jamaa mwaka jana ndiyo walio tunyima ubingwa na ilikuwa mechi za mwisho wisho hivi tuka toka sare ya 2-2 huku wachezaji wao wawili wakipewa kadi nyekundu....
Yes nakumbuka mkuu huku yebo yebo wakiachiwa na wototo wao magoli mengi na kuchukua ubingwa haki ya Mungu iliniuma sana mwaka huu tusifanye uppuzi kama ule
 
Back
Top Bottom