Mkuu hawa jamaa mwaka jana ndiyo walio tunyima ubingwa na ilikuwa mechi za mwisho wisho hivi tuka toka sare ya 2-2 huku wachezaji wao wawili wakipewa kadi nyekundu....Heshima yako mkuu Crashwise asante kwa updates kwa kweli nimefurahi mnyama kuongoza mpaka sasa
Yes nakumbuka mkuu huku yebo yebo wakiachiwa na wototo wao magoli mengi na kuchukua ubingwa haki ya Mungu iliniuma sana mwaka huu tusifanye uppuzi kama uleMkuu hawa jamaa mwaka jana ndiyo walio tunyima ubingwa na ilikuwa mechi za mwisho wisho hivi tuka toka sare ya 2-2 huku wachezaji wao wawili wakipewa kadi nyekundu....
Kagera 1 na Yanga 0
kama dakika ya 22
hahahahaha yanga 0 na kagera 1
kama dakika ya 22
hahahahaha yanga 0 na kagera 1