Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Huyu si mtu. Ila ni ndege aina ya mwewe, mali ya timu ya soka ya SL Benfica, yenye maskani yake katika uwanja wa Luz mjini Lisboa, Ureno. Yeye huruka kuzunguka uwanjani na kuja kutua katika nembo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sijui kwa nini marefa wanapokosea ktk mechi wachezao man utd kila mtu anadai wanapendelewa, lakini makosa kama hayo yanapotokea 'to the advantage of teams other than man utd', watu wana-mute 'as...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hakuna pressure bado tuna advantage ya kuchukua la liga na uefa mechi ya valencia bahati haikuwa kwetu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba mnijuze ilivyokuwa mpaka mwamuzi alivyoamua kumshushia kipondo mchezaji ktk ligi ya DRFA hii inasikitisha sana kama sio kuchekesha wa Tanzania tuna vijimambo sana
0 Reactions
2 Replies
763 Views
Wakuu leo j3 ya pasaka niko nyumbani nikiwa napitia gazeti la mwananchi nimekutana na habari iliyo nifanya niandike hapa. Katikati ya gazeti kuna jarida la mwananch 2 ambalo ni maalum kwa habari...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa yeyote mwenye taarifa za mapokezi ya wanamsimbazi leo alfajiri atujuze hali imekuwaje
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Antonio Cassano anamfanyani tena Strasser?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kesho ndo kesho ni kivumbi kikali kati ya Arsenal(the gunners) na matajiri wa jiji la manchester (manchester city) unafikiri hii mechi itaishaje?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mikel Arteta: "Well, the result was so important, Chelsea won yesterday against Wigan while Newcastle have been very consistent over the last few games as well and Tottenham are still there, so...
0 Reactions
2 Replies
935 Views
MWANAMICHEZO na mfanyabiashara maarufu nchini, Azim Dewji hivi karibuno alielezwa kukunwa na mafanikio ya timu ya Soka ya Taifa ya Zambia`Chipolopolo', na kuthibitisha furaha yake kwa kumpatia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
What do Kenenisa Bekele, Tirunesh Dibaba, Derartu Tulu and Fatuma Roba have in common, apart from being Olympic gold medal-winning runners? They all come from Bekoji in Ethiopia – and they...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Balotelli akiri kutoka na changudoa wa Rooney Mario Balotelli LONDON, ENGLAND NYOTA mtukutu wa Manchester City, Mario Balotelli, wiki hii ameibuka na kuanika hadharani kwamba aliwahi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samahani sana kwa wale wenye kutawaliwa na jaziba. naomba nijibiwe swala langu hili linalonisumbua. Toka nizaliwe mpaka leo kila nionapo picha ya Bikra maria huwa naona vazi lake ni Hijabu, lakini...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Full time Simba 1 Setif 3 aggregate 3-3 Simba wamesonga mbele kwa faida ya goli la ugenini angalia goli la okwi hapa (mods mnaweza kunisaidia kuiweka hiyo video clip hap)...
0 Reactions
233 Replies
18K Views
majumuhisho ya mijadala yetu katika forums mbalimbali juu ya mwendo wa kusuasua kwa maendeleo ya soka nchini ni udhaifu kt uongozi wa vilabu na siasa, naombeni mawazo yenu wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hongera Simba na watanzania wote
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Juma Nyoso dk3 amepewa kadi nyekundu.Fitna zimeanza,huko hakuna wapinzani wakuwapa suport kwani waarab wote wako kitu kimoja. source:RFA
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Simba 3: setif 3 au simba 1: setif 3 haitoshi semeni simba imewafurusha waalgeria/setif ili Yanga waelewe maana wanaamini hadi sasa Simba haitoki
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wazee japo soka la bongo linanikera sana.....leo nitaufuatilia hu mtanange....nawaombea simba washinde......mji wa setif ni baridi kali kwa sasa ni 9°C ambayo itawaathiri sana wana simba.....
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Akuna raha kama mtu anaejua ajui akajitapa na kuamini akuna mwingine kama yeye kama vile niliota jana nikamwambia rafiki wangu shafii wa clouds simba watarudi kwa aibu dar kama uamini ni dk ya 79...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom