Mkuu Yahoo Simba na Clouds wamekukosea nini? Maana wewe mabandiko yako karibia yote ama ni kuwaponda Simba na Clouds ama kuwakejeli, tatizo lako na wao ni nini? najua wewe ni mshabiki wa Yanga hiyo inaweza kuwa ni kwa sababu unaikandia Simba, kwa Clouds inakuwaje kila siku hukosi kuwakandia?Sababu siskii clouds wakipromote mechi ya simba na al ahl shandy.Nashangaa maana hawa jamaa ni marafiki wakuzikana iweje leo wanatosana au simba "wameshtuka"?!
Sababu siskii clouds wakipromote mechi ya simba na al ahl shandy.Nashangaa maana hawa jamaa ni marafiki wakuzikana iweje leo wanatosana au simba "wameshtuka"?!
Mkuu Yahoo Simba na Clouds wamekukosea nini? Maana wewe mabandiko yako karibia yote ama ni kuwaponda Simba na Clouds ama kuwakejeli, tatizo lako na wao ni nini? najua wewe ni mshabiki wa Yanga hiyo inaweza kuwa ni kwa sababu unaikandia Simba, kwa Clouds inakuwaje kila siku hukosi kuwakandia?
Mkuu Yahoo Simba na Clouds wamekukosea nini? Maana wewe mabandiko yako karibia yote ama ni kuwaponda Simba na Clouds ama kuwakejeli, tatizo lako na wao ni nini? najua wewe ni mshabiki wa Yanga hiyo inaweza kuwa ni kwa sababu unaikandia Simba, kwa Clouds inakuwaje kila siku hukosi kuwakandia?
alafu sina tatizo na simba.simba inashinda uwanjani kihalali na hata uwezo wao unaonekana ,wapo vizuri, tena nitafurahi kama wakiwa mabingwa kuliko Azam wanaohonga marefa na kusababisha vurugu michezoni