SuperSport hawajawapa udhamini kama nchi ulizotaja.Kwa sababu hapa kwetu mfumo wa ligi unaendeshwa na chama za soka TFF badala ya kutumia kampuni,kama kwa nchi zingine zinavyofanya!!
Tatizo ni Viongozi wa hili soka letu la bongo,kuanzia TFF wenyewe mpaka wa Club...wanaona wakitengeneza mipango ya Ligi kuonyeshwa kwenye runinga watu wengi hawatakwenda viwanjani kwahiyo watakosa mapato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.