Mapinduzi yanga!

Mapinduzi yanga!

Kombo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
1,812
Reaction score
511
Yanga imekabidhiwa kwa Baraza la Wazee katika kile kinachoelekea kuwa Mapinduzi Baridi kufuatia mwenendo mbaya wa TIMU hiyo.
 
Yanga imekabidhiwa kwa Baraza la Wazee katika kile kinachoelekea kuwa Mapinduzi Baridi kufuatia mwenendo mbaya wa TIMU hiyo.

Hao wazee wa Yanga ni wajinga sana kwanza hawana hela za kuendeshea club halafu wanang'ang'ania timu.

Hawana lolote zaidi ya kuamini katika ushirikina hasa wakiifunga Simba.
 
Wazee wanalalamika kupokwa Ubingwa na kitendo cha baadhi ya viongozi wa Yanga kuwekwa dhamana baada ya kushindwa kulipa gharama za malazi na chakula huko Arusha.
 
Wazee wanalalamika kupokwa Ubingwa na kitendo cha baadhi ya viongozi wa Yanga kuwekwa dhamana baada ya kushindwa kulipa gharama za malazi na chakula huko Arusha.
Hili la viongozi wawili wa yanga kuwekwa rehani kwenye hotel walio fikia yanga ni kweli...lakini watani jiandaeni kichapo tarehe 5-5-12
 
Hao wazee wa Yanga ni wajinga sana kwanza hawana hela za kuendeshea club halafu wanang'ang'ania timu.

Hawana lolote zaidi ya kuamini katika ushirikina hasa wakiifunga Simba.
Tuambiane black and white sasa... Wale wazee wa vibalaghashia ndo sababu migogoro yote Simba na Yanga
 
Soka ya Tz haiwezi kuendelea kwa mikakati ya hovyo hovyo kama hii. Hao wazee wana utaalamu wa kuendesha soka? Mimi ni mpenzi wa Yanga lakini nakerwa sana na jinsi timu hii inavyoendesha mambo yake.
 
Hao wazee wa Yanga ni wajinga sana kwanza hawana hela za kuendeshea club halafu wanang'ang'ania timu.

Hawana lolote zaidi ya kuamini katika ushirikina hasa wakiifunga Simba.

Wanazitolea macho pesa zitakazopatikana kwenye mechi yao na Simba, bila shaka.

Wanadai kuanza kulipa madeni yanayoikabili Timu hiyo kuanzia leo.

Namshangaa Nchunga kukabidhi Timu bila kujiuzulu U-enyekiti kwa kushindwa kuongoza Club...au pengine nina makengeza?
 
ndio maana sisi wengine tupo ki epl zaidi sababu ya upuuzi huu timu tunaipenda lakini haipendeki.
 
Soka ya Tz haiwezi kuendelea kwa mikakati ya hovyo hovyo kama hii. Hao wazee wana utaalamu wa kuendesha soka? Mimi ni mpenzi wa Yanga lakini nakerwa sana na jinsi timu hii inavyoendesha mambo yake.

No wonder Rais akiwa na jambo gumu huwaona na kuongea na Wazee!
 
Yeah hiyo ipo ata barcelona wazee wanapanga kufanya mapinduzi kumrudisha pep!
 
Back
Top Bottom