CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Habari za hivi punde kutoka tff zinasema kwamba waamuzi wa mechi ya Azam na Mtibwa iliyovunjika wameondolewa kwenye list ya waamuzi wa tff.Lakini pia kamati ya nidhamu imeipa Azam point3 na magoli3,pia imeipiga faini mtibwa sugar kwa kutia mpira kwapani.
Chanzo radio uhuru kipindi cha michezo.
Chanzo radio uhuru kipindi cha michezo.