Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ukistaajabu ya arsenal wa nairobi utaona ya manchester wa nigeria, huo ndio msemo rahisi na wenye msingi kwamba dunia hii ina mambo na wingi wa vioja, miaka iliyopita tulishuhudia watu wakiuwawa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika hali inayoonesha kukerwa na mfumo mzima wa uendeshaji wa timu ya taifa na maandalizi ya timu ya taifa kwa ajili ya mechi dhidi ya new zealand, ilikuwa ni tafrani katika uwanja wa karume...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ligi ya vilabu vya wanawake mkoani dar, imeanza kwa kishindo huku mashabiki wa soka wakipata burudani isiyo kifani katika uwanja wa karume jijini, timu kama sayari,jkt,mburahati na mdela queen's...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Football Feed Article | Football | guardian.co.uk Nigerian Man Utd fan kills 4 Barca fans with bus[/SIZE] PORT HARCOURT, Nigeria, May 28 (Reuters) - A Manchester United fan in Nigeria...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nakumbuka kuna wakati wanamuziki wa kizazi kipya walikuwa wakilalamika kwamba watangazaji (presenters) wa vituo vya redio walikuwa wanataka kulipwa pesa nyingi ili waweke nyimbo zao kwenye vipindi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Newcastle na Middlesbrough zashuka daraja ligi ya Uingereza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi ni kweli matokeo ya mechi za NBA yanakuwaga yamepangwa? Nimesikia mtu anasema hapa kwa vile jana Nuggets wameshinda basi na leo Cavaliers watashinda ili kuongeza pizzazz na hivyo kutengeneza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kibaka Ajaribu Kuchomoka na Zawadi za Harusi ya Mtoto wa Sumaye Wananchi wenye hasira wakijaribu kumuadhibu kibaka aliyejaribu kuchomoka na zawadi za harusi ya mtoto wa SumayeMonday, May 25, 2009...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
http://http://www.youtube.com/watch?v=mBbQeW8AwsE&feature=related
0 Reactions
19 Replies
3K Views
I loved watching CON AIR again. Tell me what do you guys think of it? It's one of the best movies i watched...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nikiwa mshabiki wa Gunners mwaka huu naona excitement ya ligi iko mkiani kuliko ilivyo juu, you can understand why I guess! So far kuna timu kama 8 ambazo zinaweza kushuka daraja, na kwenye...
0 Reactions
76 Replies
9K Views
Mganga kumrejesha Kaseja, Simba Burhani Yakub,Tanga. MWANAMICHEZO maarufu nchini na mpenzi wa klabu ya Simba,Profesa Maji Marefu amejitolea kumlipa mshahara wa Sh 1.5 milioni kwa mwezi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni mnitajie japo mchezaji mpira leo hii ana kiwango cha wachezaji hawa YANGA AFRICAN (1)HAMISI KINYE/JOSEPH FUNGO (2)AHMED AMASHA (3)ATHUMAN JUMA(CHAMA) (4)ALLAN SHOMARI (5)CHARLES...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
  • Poll
Je ni ligi ipi kati ya hizi ina kuvutia zaidi? Kwa nini?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 4th May 2009 Beki wa zamani wa Simba ya Dar es Salaam, Victor Costa anayechezea timu ya Agasebe De Songo inayoshiriki Ligi Kuu nchini Msumbiji, amesema...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii taarifa ndio imedondoka sasa hivi (breaking News) kwenye www.goal.com. mechi ilishachezwa mwanzoni mwa mwaka huu jamani ni nini hiki? kweli bado tupo nyuma kiasi hiki?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KLABU ya soka ya Simba imesema itatumia jumla ya Sh. Milioni 900 kuweza kusajili kikosi imara kitakachoiwakilisha timu hiyo katika Ligi Kuu na michuano mbalimbali ya Kimataifa. Mwenyekiti wa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Mbwana Matumla Adundwa kwa Knockout Philippines...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kuna issue mimi kama mwanaharakati inaniuma sana, mikoa mingi wasanii wake wamejitahidi kuipa support mpaka ikaonekana kimuziki, mfano ARUSHA, DODOMA, DAR, lakini hapa MWANZA tunawasanii ambao...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Bonyeza hapo chini Video: EDubb - Whooty
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…