Reincarnation (kuzaliwa mara pili) ni ile imani/filosofia kuwa mtu anapofariki, basi roho yake inazaliwa upya kuwa mtu mwingine au mnyama mwingine au kiumbe cha kiroho (mzimu,malaika etc.)...
Hii ni thread maalumu kwa ajili ya kukufahamisha/kufahamishana juu ya siri na hazina, bila kusahau mambo mbali mbali ya mamlaka ya mji wa Vatican nchini Italia. Kwa wakristu VATICAN ni mji...
Ukipewa uenyekiti wa chama kaa ukijua chama chote sio chako, ukipewa suti sio kila kona unaweza kuivaa na ukipewa Gwanda sio kila patuni ni yako!
Lakini kuna Mnazareth wa Black African alipingana...
Hili eneo lajulikana kama area 51 linapatikana katika jimbo la nevada uko Marekani, eneo hili ndiko kulipo na kituo kikuu cha ujasusi cha Marekani, na inaaminika kwamba Majajusi wa Marekani...
Za mchana wana JF.
Natumaini mu wazima wa afya.
Leo nataka kuongelea ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu ni wakutisha sana. Historia ya ukatili huo imefichwa watu wachache...
Amahoro?
Kwa waliosomoa general chemistry au atomic physics au molecular biology watakuwa walishasikia mahali kutoka kwa ticha mwenye manywele machafu akisema kuwa kila kitu kilichopo kwenye huu...
Miaka ya 70’s 80’s Tanzania kutokana na sera yake ya ujamaa ilikuwa ana urafiki mkubwa na nchi ya Urusi, katika urafiki huo uliwezesha wanafunzi wengi wa Kitanzania kwenda kupata masomo kwenye...
Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya...
Kuna uhusiano gani kati ya cable tow (hii kamba ya utamburisho wa Freemason) na Spiritual chills kwa watu ambao sio freemasonry.
Tafadhali soma hili na nisaidie kuelewa kinachotokea kwangu. Mimi...
Ndugu wanaJF siku chache nimekuwa nikiwaza na kuchambua mambo kadha wa kadha kuhusu nguvu ya kiuchumi ya nchi ya china na watu wake kusambaa karibia kona zote za dunia. Nimekuwa nikiwaza sana...
Get off X kwa tafsiri nyepesi unaweza kusema ni kuwa nje ya x, lakini katika ujasusi haina maana hiyo.
Katika ujasusi ukisikia Get off the X, maana yake uwe nje ya tukio, shari au viashiria vya...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la hojaji kuhusu uhusiano kati dini ya mtu na IQ yake, dini ya mtu na longevity?, dini ya mtu na udikiteta, na IQ ya mtu na elimu yake, na mwisho ni IQ ya mtu na...
Moja kati ya sekta nyeti katika taifa ni ile tunaita "think tank".
Sijajua kwa taifa letu watu hawa wanatoka angle ipi,ni aidha ni watu wa sili sana ama wanatoka mbele ya vyombo tunavyoviona ama...
Heri ya Pasaka?
Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU.
Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima?
JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka...
Miaka ya nyuma kipindi cha mediaval na reformation of church, kanisa katoliki lilikumbwa na misuko suko mbali mbali iliyolitikisa kanisa kweli kweli. Mojawapo ikiwa ni kuanzishwa kwa kanisa la...
Hakuna kitu kimefanya nimuamini Mungu wangu kama maneno yake yaliyonenwa na yeye huyo huyo mungu kwenye moja ya vitabu vyake vitakatifu karne nyingi zilizopita na kwa uwezo wake usio kifani...
Kuna vyanzo vingi vinavyo elezea kuwepo kwa freemasonry Kabla ya 1717, vyanzo hivyo ni vingi, vinahitaji muda na uyakinifu ilikuweza kutofautisha baina ya almasi na vipande vya vioo. Kuna vilivyo...
Tunaingia kwenye ulimwengu wa akili bandia (AI)kwa kasi mno isiyozuilika.. Kila kitu kinabadilika hakuna kinachoachwa nyuma, ni mabadiliko ya pamoja
Zile sinema za Matrix zilizodhaniwa ni za...
Kitabu bora cha UJASUSI na USALAMA kiitwacho "IJUE HISTORIA" chenye kurasa 470 kinachoongelea historia za UJASUSI, UPELELEZI, SIRI ZA DUNIA, UGAIDI na UHALIFU kimeshatoka na kinapatikana kwa sh...
Je ulishawahi kuwaza kuwa labda jamii ya watu ambayo ilikuwa na watu maarufu duniani kama Yesu, mfalme Daudi na mfalme Sulemani walikuwa na ngozi nyeusi?
nakuletea taarifa kuwa jamii ya Wayahudi...