Reincarnation (kuzaliwa mara ya pili) ni pointless

Mcqueenen

JF-Expert Member
Nov 2, 2019
6,818
11,542
Reincarnation (kuzaliwa mara pili) ni ile imani/filosofia kuwa mtu anapofariki, basi roho yake inazaliwa upya kuwa mtu mwingine au mnyama mwingine au kiumbe cha kiroho (mzimu,malaika etc.) Kulingana na ubora wa maadili aliyoishi mtu huyo.

Yani kwa mfano kama alikuwa mzuri sana anakuwa malaika au mzimu, na akiwa mbaya sana anazaliwa kama nguruwe, akiwa kawaida tu ndo anazaliwa binadamu


Kwahyo sasa, kama hiyo imani ni kweli, inamaana unaweza ukafa mwafrika mfupi na ukazaliwa mchina tajiri au mzungu masikini. Na inawezekana hata wewe hapo unayesoma haya maandishi na unayeenda kusoma hizi herufi hapa mbele DUHDLSCI ulishawahi kuwa mtu fulani huko zamani. labda wewe ndiyo Hitler umezaliwa Tanzania kwa mara ya pili kama mtu masikini asiye na madaraka/mamlaka yoyote kama adhabu ya hitler kuanzisha vita etc.

Wafuasi wa imani/filosofia hii hutumia hii imani kuwaasa watu waishi maisha mazuri hapa duniani ili wazaliwe wazuri zaidi kama matajiri/Viongozi/Malaika nk. Kulingana na desire ya kila mtu.

Huu ni kama msingi (foundation) wa maisha yao hapa duniani.

Moral base/Morality yao yote nzima hapa duniani ni kama mti uliochipukiza kutoka kwenye mzizi mkuu huu wa imani hii ya reincarnation.

Kila tamaduni,desturi,mila,mwiko,katiba,Sheri, amri,tabia,haiba,mwenendo,protocol,sifa,mazoea,matendo ya mtu yamejengwa na msingi huu wa imani hii.

Maana imani hii inamuaminisha muumini aishi maisha mazuri ili afanikiwe kato
Ika yajayo, kwahyo atafanya Matendo mema ambayo matendo hutengeneza mazoea na mazoea hutengeneza sifa za mtu (mfano maezoea kunywa bia kila usiku yanakuletea sifa ya ulevi au tabia ya kuvadilisha wanaume yanakuletea sifa ya.

Hizi sifa ndiyo huleta mwenendo Na mwenendo huwa haiba na haiba tabia nk. Nk.

Kwa wakristo na waislam msingi sio reincarnation bali ni imani ya kuwa kuna Mungi/Allah/Yesu au muhamad hakuwa mhuni fulani kama Zumaridi nk.

Sasa mimi leo nmekuja kusema hii imani ya reincarnation ni pointless kwakuwa A)hatuna ushahidi wa hili na B) hata kama tukiamini kuwa ni kweli watu wanareincarnate na sisi tulishawahi kuishi zamani--kitendo cha kuwa hatuna kumbukumbu ya maisha yetu ya zamani na hata watu wanaozaliwa leo hawasemi wao ni watu wa zamani, kinaonesha kuwa hakuna reincarnation.

Nawajua ni wabisho hawa watu wa reincarnation..lazima watajitetea kwa kusema kuwa: reincarnation ipo, ila ukizaliwa kama mtu mwingine unafutwa kumbukumbu zote za maisha ya zamani..Roho ni ileile ila unakuwa hauna kumbukumbu kwakuwa kumbukumbu zinatunzwa kwenye ubongo unaokufa na kuoza, lakini roho haipo kwenye ubongo Maana yenyewe ni spiritual(ya kiroho) sio physical (ya kimwili) kwahyo inabaki hai na kuchukua mwili mwingine. Kwahyo roho yako haifi.

Mimi nitawajibu kuwa; Roho ndiyo identity ya mtu fulani, Yani Roho ya mtu ndio utambulisho mkuu wa mtu husika. Na Identity ya mtu kuwa huyu ni mtu fulani inatokana na A)kumbukumbu zake alizonazo kichwani kuhusu yeye ni nani, anaitwa nani amezaliwa wapi, anaishi wapi, ndugu zake marafiki na majirani zake ni kina nani na yeye anafanya kazi gani,anajua nini kuhusu anachofanyia kazi (kama ujuzi wa biology kwa daktari), ujuzi wake nk.

na B)kumbukumbu zetu tunaomzunguka na kumjua kuhusu yeye. Maana kwa mfano wewe ulivyo bossi hivyo, uamke kesho kwenda kazini halafu ukute watu wote wa kazini wamesahau kila kitu kuhusu wewe na nafasi ya sifa zako kazini wanakumbuka kama ni za yule mlinzi wako ndiyo ana sifa hizo.

Basi wewe ukifika kazini utaanza kujiita boss na kuagiza watu halafu wanakucheka a kukuona kama kichaa na kuita walinzi wakufukuze. Na yule mlinzi watamtetemekea.

Look the Point is, Sisi watu/Roho zetu/nafsi zetu ziko defined (zinafasiliwa) kunatokana na sifa, tabia, status, tamaduni, zetu. Na hivyo vyote vimeundwa na kumbukumbu zetu. Màana bila kumbukumbu hakuna sifa/mazoea/tabia. Hivo Kama kumbukumbu zako na za watu wanaokuzunguka zikifa ni sawa na tu na wewe umekufa

Sasa kama unazaliwa na mwili mwingine, bila kumbukumbu zako ni sawa tu na umekufa na huyo aliyezaliwa ni mwingine maana atakuwa na maisha yake mengine.

Na kama ni hivyo, ni upuuzi kuweka morality yako yote kwa msingi wa kipuuzi wa reincarnation.

Kuna faida gani ya kuishi kwa shida na kujinyima maisha ya sasa ili uje uzaliwe tajiri wakati hata ukizaliwa tajiri hautajikumbuka.? Hautajua kuwa uliwahi kuwa wewe?

Kuna mtu ananipigia simu saivi ngoja niongee naye, nikimaliza nakuja kuwaelezea kwanini pia ni upuuzi kuweka misingi ya morals/ morality kutoka kwenye imani ya kwenye kitabu (Biblia/Quran/Vedas/Gitas/Torah/Tripitaka/Gurus etc.)
 
Asante kwa mada nzuri kaka.

Ukifa umekufa.
UKIINGIA kaburini hujui Neno LOLOTE.
(Wafu HAWAJUI Neno lolote).Ayubu

Tutengeneze mapito yetu mapema tungali tunaishi.

Tukitegemea kufufuliwa siku ya mwisho na Yesu kristo akija na Utukufu mwingi.
Tukiwa wenye kwenda KUMLALI MAWINGUNI.

Yesu kristo ndie njia, na kweli na uzima mtu haji kwa baba ila kwa NJIA ya Mimi.
YOHANA 14:6.
 
Asante kwa mada nzuri kaka.

Ukifa umekufa.
UKIINGIA kaburini hujui Neno LOLOTE.
(Wafu HAWAJUI Neno lolote).Ayubu

Tutengeneze mapito yetu mapema tungali tunaishi.

Tukitegemea kufufuliwa siku ya mwisho na Yesu kristo akija na Utukufu mwingi.
Tukiwa wenye kwenda KUMLALI MAWINGUNI.

Yesu kristo ndie njia, na kweli na uzima mtu haji kwa baba ila kwa NJIA ya Mimi.
YOHANA 14:6.
Tofauti ya Anayeamini reincarnation na Mungu wa dini za Abraham ni kuwa
Anayeamini reincarnation anaamini ukifa unarudi na ukifa tena utarudi tena na tena. wakati wanaoamini dini za Abraham ni kuwa tukifa tunalala kidogo halafu baadae wote tunarudi kwa mara moja.
.
Tofauti ni ndogo sana lakini wote wanafana kwakuwa wanaamini kuwa tukifa tutarudi bila uthibitisho wowote.
 
Mimi mwenyewe naamini katika nadhari hii,na ukifikiri kwa kina unaweza kubalianana nadharia hii,hebu jiulize tangu dunia iwepo hadi sasa ni miaka bilioni kadhaaa,na dunia imekaliwa na watu wengi sana tangu kuumbwa,je nao hao wafu wa miaka ya nyuma wanasubiri ufufuo huu wa yesu!? Maana yesu kaja hivi karibuni,hivyo ni kweli ukifa unazaliwa kiumbe kingine tena,and that is how life goes in rotation sababu nature inafaidika na uwepo wa binadamu katika dunia
 
Mimi mwenyewe naamini katika nadhari hii,na ukifikiri kwa kina unaweza kubalianana nadharia hii,hebu jiulize tangu dunia iwepo hadi sasa ni miaka bilioni kadhaaa,na dunia imekaliwa na watu wengi sana tangu kuumbwa,je nao hao wafu wa miaka ya nyuma wanasubiri ufufuo huu wa yesu!? Maana yesu kaja hivi karibuni,hivyo ni kweli ukifa unazaliwa kiumbe kingine tena,and that is how life goes in rotation sababu nature inafaidika na uwepo wa binadamu katika dunia
Hata kama reincarnation ni kweli bado ni pointless na haifai kuitumia kama msingi wa maadili kwakuwa hata kama ukifa unazaliwa kama mtu mwingine haupati hasara au faida yoyote maana hautakuwa na kumbukumbu zako.

Kwahyo at the very least Imani ya reincarnation ni pointless na haina faida yoyte hata kama ni kweli na at the very best ni kuwa hii ni imani ya uongo
 
Mkuu m
Hata kama reincarnation ni kweli bado ni pointless na haifai kuitumia kama msingi wa maadili kwakuwa hata kama ukifa unazaliwa kama mtu mwingine haupati hasara au faida yoyote maana hautakuwa na kumbukumbu zako.

Kwahyo at the very least Imani ya reincarnation ni pointless na haina faida yoyte hata kama ni kweli na at the very best ni kuwa hii ni

Hata kama reincarnation ni kweli bado ni pointless na haifai kuitumia kama msingi wa maadili kwakuwa hata kama ukifa unazaliwa kama mtu mwingine haupati hasara au faida yoyote maana hautakuwa na kumbukumbu zako.

Kwahyo at the very least Imani ya reincarnation ni pointless na haina faida yoyte hata kama ni kweli na at the very best ni kuwa hii ni imani ya uongo
Mimi nakumbuka nimewahi kuwepo somewhere as kabula ya kuwa hapa nilipo
 
Katika hili mifano ya walio zaliwa upya ipo una weza gugo na kujielimisha

Wame zaliwa na wakiwa na kumbukumbu za matukio waliyo kuwa waishi na kutokea huko nyuma
 

Kamsome DR Ian Ana likitabu amefanya researchs katika hili upate kujielimisha

Usipinge tu kwa kubuni hadithi, ingia chimbo fanya tafiti ya kumpinga Dr Ian na wengine kibao
 
Asante kwa mada nzuri kaka.

Ukifa umekufa.
UKIINGIA kaburini hujui Neno LOLOTE.
(Wafu HAWAJUI Neno lolote).Ayubu

Tutengeneze mapito yetu mapema tungali tunaishi.

Tukitegemea kufufuliwa siku ya mwisho na Yesu kristo akija na Utukufu mwingi.
Tukiwa wenye kwenda KUMLALI MAWINGUNI.

Yesu kristo ndie njia, na kweli na uzima mtu haji kwa baba ila kwa NJIA ya Mimi.
YOHANA 14:6.
huwa najiuliza mtu akifa na ndani ya ule muda amekufa hadi itakapofikia siku ya kufufuliwa, roho inakuwa wapi muda huo imesubili?
 
"If we both believe in Reincarnation ,Maybe we will have a chance in the next life" - Luck Dube 1995
 
Reincarnation (kuzaliwa mara pili) ni ile imani/filosofia kuwa mtu anapofariki, basi roho yake inazaliwa upya kuwa mtu mwingine au mnyama mwingine au kiumbe cha kiroho (mzimu,malaika etc.) Kulingana na ubora wa maadili aliyoishi mtu huyo.

Yani kwa mfano kama alikuwa mzuri sana anakuwa malaika au mzimu, na akiwa mbaya sana anazaliwa kama nguruwe, akiwa kawaida tu ndo anazaliwa binadamu


Kwahyo sasa, kama hiyo imani ni kweli, inamaana unaweza ukafa mwafrika mfupi na ukazaliwa mchina tajiri au mzungu masikini. Na inawezekana hata wewe hapo unayesoma haya maandishi na unayeenda kusoma hizi herufi hapa mbele DUHDLSCI ulishawahi kuwa mtu fulani huko zamani. labda wewe ndiyo Hitler umezaliwa Tanzania kwa mara ya pili kama mtu masikini asiye na madaraka/mamlaka yoyote kama adhabu ya hitler kuanzisha vita etc.

Wafuasi wa imani/filosofia hii hutumia hii imani kuwaasa watu waishi maisha mazuri hapa duniani ili wazaliwe wazuri zaidi kama matajiri/Viongozi/Malaika nk. Kulingana na desire ya kila mtu.

Huu ni kama msingi (foundation) wa maisha yao hapa duniani.

Moral base/Morality yao yote nzima hapa duniani ni kama mti uliochipukiza kutoka kwenye mzizi mkuu huu wa imani hii ya reincarnation.

Kila tamaduni,desturi,mila,mwiko,katiba,Sheri, amri,tabia,haiba,mwenendo,protocol,sifa,mazoea,matendo ya mtu yamejengwa na msingi huu wa imani hii.

Maana imani hii inamuaminisha muumini aishi maisha mazuri ili afanikiwe kato
Ika yajayo, kwahyo atafanya Matendo mema ambayo matendo hutengeneza mazoea na mazoea hutengeneza sifa za mtu (mfano maezoea kunywa bia kila usiku yanakuletea sifa ya ulevi au tabia ya kuvadilisha wanaume yanakuletea sifa ya.

Hizi sifa ndiyo huleta mwenendo Na mwenendo huwa haiba na haiba tabia nk. Nk.

Kwa wakristo na waislam msingi sio reincarnation bali ni imani ya kuwa kuna Mungi/Allah/Yesu au muhamad hakuwa mhuni fulani kama Zumaridi nk.

Sasa mimi leo nmekuja kusema hii imani ya reincarnation ni pointless kwakuwa A)hatuna ushahidi wa hili na B) hata kama tukiamini kuwa ni kweli watu wanareincarnate na sisi tulishawahi kuishi zamani--kitendo cha kuwa hatuna kumbukumbu ya maisha yetu ya zamani na hata watu wanaozaliwa leo hawasemi wao ni watu wa zamani, kinaonesha kuwa hakuna reincarnation.

Nawajua ni wabisho hawa watu wa reincarnation..lazima watajitetea kwa kusema kuwa: reincarnation ipo, ila ukizaliwa kama mtu mwingine unafutwa kumbukumbu zote za maisha ya zamani..Roho ni ileile ila unakuwa hauna kumbukumbu kwakuwa kumbukumbu zinatunzwa kwenye ubongo unaokufa na kuoza, lakini roho haipo kwenye ubongo Maana yenyewe ni spiritual(ya kiroho) sio physical (ya kimwili) kwahyo inabaki hai na kuchukua mwili mwingine. Kwahyo roho yako haifi.

Mimi nitawajibu kuwa; Roho ndiyo identity ya mtu fulani, Yani Roho ya mtu ndio utambulisho mkuu wa mtu husika. Na Identity ya mtu kuwa huyu ni mtu fulani inatokana na A)kumbukumbu zake alizonazo kichwani kuhusu yeye ni nani, anaitwa nani amezaliwa wapi, anaishi wapi, ndugu zake marafiki na majirani zake ni kina nani na yeye anafanya kazi gani,anajua nini kuhusu anachofanyia kazi (kama ujuzi wa biology kwa daktari), ujuzi wake nk.

na B)kumbukumbu zetu tunaomzunguka na kumjua kuhusu yeye. Maana kwa mfano wewe ulivyo bossi hivyo, uamke kesho kwenda kazini halafu ukute watu wote wa kazini wamesahau kila kitu kuhusu wewe na nafasi ya sifa zako kazini wanakumbuka kama ni za yule mlinzi wako ndiyo ana sifa hizo.

Basi wewe ukifika kazini utaanza kujiita boss na kuagiza watu halafu wanakucheka a kukuona kama kichaa na kuita walinzi wakufukuze. Na yule mlinzi watamtetemekea.

Look the Point is, Sisi watu/Roho zetu/nafsi zetu ziko defined (zinafasiliwa) kunatokana na sifa, tabia, status, tamaduni, zetu. Na hivyo vyote vimeundwa na kumbukumbu zetu. Màana bila kumbukumbu hakuna sifa/mazoea/tabia. Hivo Kama kumbukumbu zako na za watu wanaokuzunguka zikifa ni sawa na tu na wewe umekufa

Sasa kama unazaliwa na mwili mwingine, bila kumbukumbu zako ni sawa tu na umekufa na huyo aliyezaliwa ni mwingine maana atakuwa na maisha yake mengine.

Na kama ni hivyo, ni upuuzi kuweka morality yako yote kwa msingi wa kipuuzi wa reincarnation.

Kuna faida gani ya kuishi kwa shida na kujinyima maisha ya sasa ili uje uzaliwe tajiri wakati hata ukizaliwa tajiri hautajikumbuka.? Hautajua kuwa uliwahi kuwa wewe?

Kuna mtu ananipigia simu saivi ngoja niongee naye, nikimaliza nakuja kuwaelezea kwanini pia ni upuuzi kuweka misingi ya morals/ morality kutoka kwenye imani ya kwenye kitabu (Biblia/Quran/Vedas/Gitas/Torah/Tripitaka/Gurus etc.)
Mkuu umewahi kuiona filamu ya Coco? Ni animation film ya huko Mexico inahusu watu kufa na kurudi duniani iwapo ndugu zako wanaweka picha Ila zikitoweka ndo basi tena unakufa tena huko kwenye aridhi ya wafu...?? Nadhani ni swala la imani
 
Katika hili mifano ya walio zaliwa upya ipo una weza gugo na kujielimisha

Wame zaliwa na wakiwa na kumbukumbu za matukio waliyo kuwa waishi na kutokea huko nyuma
Hapa duniani hata ukitangaza unatafuta watu waliowahi kufika pluto na kurudi huwezi kuwakosa.

Ishu ni statistics, Ni wangapi wanaodai hivyo kutoka kwenye population yote?

Tuseme duniani saivi tupo watu bilioni 8
Lakini watu waliowahi kuishi na kufa inakadiriwa ni zaidi ya bilioni 117
inamaana waliokufa tu ni wengi mara 109 ya wale tulio hai.

Kila siku watu zaidi ya laki na nusu wanakufa.

Ingetakiwa kila anayezaliwa awe ni reincarnation.

Na sio hao wawili watatu wanaojitokeza kwenye population ya mabillioni.

Hata kama kila mtu duniani akikuambia kuwa yeye ana kumbukumbu za maisha yake ya zamani enzi za kinjektile na Hitler.

Kitendo cha WEWE kutokumbuka chochote inabidi kikufanye udout kama uliwahi kuwepo mahali popote na kama ukifa utarudi sehemu yoyote.
Usiamini sana watu.
Binadamu ni kifaa kikubwa namba moja cha kuzalisha uongo.
 
Mkuu umewahi kuiona filamu ya Coco? Ni animation film ya huko Mexico inahusu watu kufa na kurudi duniani iwapo ndugu zako wanaweka picha Ila zikitoweka ndo basi tena unakufa tena huko kwenye aridhi ya wafu...?? Nadhani ni swala la imani
Yeah nmeiona. Ni swala la imani.
ila mimi nimekuja kuipuuzia hii imaani kuwa hata kama ni ya kweli haina maana yoyote kwasababu tunasahau kila kitu cha maisha yaliyopita.

Hivyo hainq haja kujitesa kwa dhiki maisha haya ili uje uishi vizuri yajayo wakati hautakumbuka chochote kuhusu maisha yako haya ya leo.
 
Yeah nmeiona. Ni swala la imani.
ila mimi nimekuja kuipuuzia hii imaani kuwa hata kama ni ya kweli haina maana yoyote kwasababu tunasahau kila kitu cha maisha yaliyopita.

Hivyo hainq haja kujitesa kwa dhiki maisha haya ili uje uishi vizuri yajayo wakati hautakumbuka chochote kuhusu maisha yako haya ya leo.
Kuna kisa niliwahi kusoma kua baadhi ya watu hua wanakumbuka Maisha Yao ya awali baada ya kuzaliwa tena so wanadai reincarnation is real....

Nadhani hiyo story ipo Google unaweza kuipitia
 
Reincarnation (kuzaliwa mara pili) ni ile imani/filosofia kuwa mtu anapofariki, basi roho yake inazaliwa upya kuwa mtu mwingine au mnyama mwingine au kiumbe cha kiroho (mzimu,malaika etc.) Kulingana na ubora wa maadili aliyoishi mtu huyo.

Yani kwa mfano kama alikuwa mzuri sana anakuwa malaika au mzimu, na akiwa mbaya sana anazaliwa kama nguruwe, akiwa kawaida tu ndo anazaliwa binadamu


Kwahyo sasa, kama hiyo imani ni kweli, inamaana unaweza ukafa mwafrika mfupi na ukazaliwa mchina tajiri au mzungu masikini. Na inawezekana hata wewe hapo unayesoma haya maandishi na unayeenda kusoma hizi herufi hapa mbele DUHDLSCI ulishawahi kuwa mtu fulani huko zamani. labda wewe ndiyo Hitler umezaliwa Tanzania kwa mara ya pili kama mtu masikini asiye na madaraka/mamlaka yoyote kama adhabu ya hitler kuanzisha vita etc.

Wafuasi wa imani/filosofia hii hutumia hii imani kuwaasa watu waishi maisha mazuri hapa duniani ili wazaliwe wazuri zaidi kama matajiri/Viongozi/Malaika nk. Kulingana na desire ya kila mtu.

Huu ni kama msingi (foundation) wa maisha yao hapa duniani.

Moral base/Morality yao yote nzima hapa duniani ni kama mti uliochipukiza kutoka kwenye mzizi mkuu huu wa imani hii ya reincarnation.

Kila tamaduni,desturi,mila,mwiko,katiba,Sheri, amri,tabia,haiba,mwenendo,protocol,sifa,mazoea,matendo ya mtu yamejengwa na msingi huu wa imani hii.

Maana imani hii inamuaminisha muumini aishi maisha mazuri ili afanikiwe kato
Ika yajayo, kwahyo atafanya Matendo mema ambayo matendo hutengeneza mazoea na mazoea hutengeneza sifa za mtu (mfano maezoea kunywa bia kila usiku yanakuletea sifa ya ulevi au tabia ya kuvadilisha wanaume yanakuletea sifa ya.

Hizi sifa ndiyo huleta mwenendo Na mwenendo huwa haiba na haiba tabia nk. Nk.

Kwa wakristo na waislam msingi sio reincarnation bali ni imani ya kuwa kuna Mungi/Allah/Yesu au muhamad hakuwa mhuni fulani kama Zumaridi nk.

Sasa mimi leo nmekuja kusema hii imani ya reincarnation ni pointless kwakuwa A)hatuna ushahidi wa hili na B) hata kama tukiamini kuwa ni kweli watu wanareincarnate na sisi tulishawahi kuishi zamani--kitendo cha kuwa hatuna kumbukumbu ya maisha yetu ya zamani na hata watu wanaozaliwa leo hawasemi wao ni watu wa zamani, kinaonesha kuwa hakuna reincarnation.

Nawajua ni wabisho hawa watu wa reincarnation..lazima watajitetea kwa kusema kuwa: reincarnation ipo, ila ukizaliwa kama mtu mwingine unafutwa kumbukumbu zote za maisha ya zamani..Roho ni ileile ila unakuwa hauna kumbukumbu kwakuwa kumbukumbu zinatunzwa kwenye ubongo unaokufa na kuoza, lakini roho haipo kwenye ubongo Maana yenyewe ni spiritual(ya kiroho) sio physical (ya kimwili) kwahyo inabaki hai na kuchukua mwili mwingine. Kwahyo roho yako haifi.

Mimi nitawajibu kuwa; Roho ndiyo identity ya mtu fulani, Yani Roho ya mtu ndio utambulisho mkuu wa mtu husika. Na Identity ya mtu kuwa huyu ni mtu fulani inatokana na A)kumbukumbu zake alizonazo kichwani kuhusu yeye ni nani, anaitwa nani amezaliwa wapi, anaishi wapi, ndugu zake marafiki na majirani zake ni kina nani na yeye anafanya kazi gani,anajua nini kuhusu anachofanyia kazi (kama ujuzi wa biology kwa daktari), ujuzi wake nk.

na B)kumbukumbu zetu tunaomzunguka na kumjua kuhusu yeye. Maana kwa mfano wewe ulivyo bossi hivyo, uamke kesho kwenda kazini halafu ukute watu wote wa kazini wamesahau kila kitu kuhusu wewe na nafasi ya sifa zako kazini wanakumbuka kama ni za yule mlinzi wako ndiyo ana sifa hizo.

Basi wewe ukifika kazini utaanza kujiita boss na kuagiza watu halafu wanakucheka a kukuona kama kichaa na kuita walinzi wakufukuze. Na yule mlinzi watamtetemekea.

Look the Point is, Sisi watu/Roho zetu/nafsi zetu ziko defined (zinafasiliwa) kunatokana na sifa, tabia, status, tamaduni, zetu. Na hivyo vyote vimeundwa na kumbukumbu zetu. Màana bila kumbukumbu hakuna sifa/mazoea/tabia. Hivo Kama kumbukumbu zako na za watu wanaokuzunguka zikifa ni sawa na tu na wewe umekufa

Sasa kama unazaliwa na mwili mwingine, bila kumbukumbu zako ni sawa tu na umekufa na huyo aliyezaliwa ni mwingine maana atakuwa na maisha yake mengine.

Na kama ni hivyo, ni upuuzi kuweka morality yako yote kwa msingi wa kipuuzi wa reincarnation.

Kuna faida gani ya kuishi kwa shida na kujinyima maisha ya sasa ili uje uzaliwe tajiri wakati hata ukizaliwa tajiri hautajikumbuka.? Hautajua kuwa uliwahi kuwa wewe?

Kuna mtu ananipigia simu saivi ngoja niongee naye, nikimaliza nakuja kuwaelezea kwanini pia ni upuuzi kuweka misingi ya morals/ morality kutoka kwenye imani ya kwenye kitabu (Biblia/Quran/Vedas/Gitas/Torah/Tripitaka/Gurus etc.)
Nimeacha kusoma uliposema Roho ndio identity.

Hii si kweli.

Nafsi (soul) ndio identity ya mtu husika. Roho ni just a power of the life kwa kiumbe chochote kile chenye pumzi...like a fuel..kama mafuta.

So, roho haibebi chochote.

Huenda ikawa kweli reincarnation ipo..kwa sababu mtu akifa memory zote zinabaki kwenye mwili (brain) na Soul (nafsi)

Nafsi na yenyewe ni spiritual lakini ikipata tuu mwili na roho inakua na uhai.

Ndio maana vitabu vya dini vinaelezea uwepo wa peponi, motoni, etc wakimaanisha kuwa...mtu akifa anaacha mwili wa duniani (flesh) na kupewa mwili mwingine.

So, kama ukienda motoni means unapewa mwili unaoendana na motoni..kama ambavyo alivyokuwa anaelezea zumaridi kwenye ile interview yake na Millard Ayo...

Na kama ukienda mbinguni unapewa mwili ambao ni wa huko mbinguni..

So, mwili wa mbinguni haufanyi kazi duniani wala kuzimu..na ndio maana ni vigumu ukienda motoni kwenda mbinguni..and vice versa.

Hata hao wanaokuja duniani hawawezi kuishi hapa mpaka wapate mwili wa duniani..ndio maana unaona watu wanapandishaga..na kadhalika..na kadhalika.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom