Je ulishawahi kuwaza kuwa labda jamii ya watu ambayo ilikuwa na watu maarufu duniani kama Yesu, mfalme Daudi na mfalme Sulemani walikuwa na ngozi nyeusi?
nakuletea taarifa kuwa jamii ya Wayahudi walikuwa na ngozi nyeusi na mpaka leo wayahudi ni watu weusi na kwa maana hii wewe unayesoma uzi huu unaweza ukawa Myahudi
Naanza na historia fupi ya Wayahudi, kipindi cha mfalme Rehoboamu taifa la Israeli liligawanyika kwenye falme mbili ulikuwa mwaka 930 kabla ya kristo ilikuwa ni kipindi baada utawala wa mfalme Sulemani.. hizo falme mbili ni ufalme wa Israeli (shekemu na Samaria) ufalme huu ulikuwa na makabila kumi kwanzia kabila la Rubeni mpaka kabila Efraimu na ufalme wa kusini ambao ni ufalme wa Yuda ufalme huu ulikuwa na makabila matatu ambayo ni kabila la Yuda, Benjamin na Lawi.... huu ufalme wa Yuda ndo Wayahudi...
mnamo mwaka 587 kabla ya kristo mfalme Nebukadneza alivamia Yerusalemu kipindi hicho ufalme wa Yuda ulikuwa China ya mfalme Sedekia, mfalme Nebukadneza aliiteka Yerusalemu na akawachukua Wayahudi wengi walikuwa na vyeo vya juu na pia wakazi wengine ndani ya mji na kuwapeleka Babeli kama watumwa na kisha akawaacha Wayahudi wachache sana Yerusalemu ambao walikuwa ni manikini aliwaacha chini ya uangalizi wa amiri jeshi wake aliyeitwa Nebuzaradani.. miaka kadhaa baadae hawa Wayahudi wachache masikini waliokuwa wamebaki Yerusalemu waliamua kukimbilia Misri hiyo ndo safari ya kwanza ya Wayahudi kulowea Misri na hapo ndo tunaanza kupata ule uhalisia wa kuwa wayahudi ni watu weusi.....
baada ya hapo mnamo mwaka 167 kabla ya kristo mfalme wa ugiriki aliyetawala Syria alitambulika kwa jina la Antiochus (IV) Epiphanes alivamia Jerusalem na kuingia hadi kwenye hekalu la Mungu wa Israeli na kuweka sanamu la mungu zeus na kutoa kafara ya nguruwe kipindi hiki Wayahudi wengi sana pia walikimbilia Africa na kulowea huku nia yao ilikuwa ni kukimbia kuwa watumwa wa wagiriki na kipindi hiki wayahudi walikimbilia Libya, Morocco na Algeria na wakajenga himaya kubwa sana huko Africa ya kaskazini iliyoitwa Carthage, hii himaya ya kiyahudi ilikuwa na mfalme maarufu aliyeitwa Hannibal
Huyu jamaa alikuwa maarufu kwa sababu ya mbinu yake ya kupigana vita kwa kutumia tembo, alipigana vita nyingi na Roman empire na warumi walimjua vizuri na kumuogopa sana Hannibal.
baada ya himaya ya wagiriki kuanguka warumi walianza kutawala dunia, mpaka kipindi cha Yesu na baada kufa kwa Yesu warumi walikuwa wakitawala dunia, na warumi walitawala mpaka Yerusalemu na Yudea na mmoja kati ya magavana wa kirumi ndani ya Yudea na Yerusalemu alikuwa ni Pontio pirate, kabla Yesu hajafa aliwapa unabii Wayahudi kuwa Yerusalemu ungezungukwa na majeshi ya Roman empire... twende kwenye huo unabii wa Yesu Luka 21: 20- 21 "lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia"
"Ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani, na walio katikati yake wakimbilie nje, na walio katika mashamba wasiuingie" huu unabii aliotoa Yesu ulitimia mwaka 70 AD ambapo majeshi ya Roman empire yalivamia Yerusalemu chini ya Jenerali wa jeshi la kirumi aliyeitwa Vespasian na mwanae Titus kipindi cha military campaigns za huyu jenerali Vespasian kuanzia mwaka 68AD hadi mwaka 70 AD... kwenye kitabu kiitwacho From Babylon to Timbuktu professor Rudolf Windsor anasema kuwa takribani Wayahudi milioni moja walikimbilia Afrika ...itaendeleaa
nakuletea taarifa kuwa jamii ya Wayahudi walikuwa na ngozi nyeusi na mpaka leo wayahudi ni watu weusi na kwa maana hii wewe unayesoma uzi huu unaweza ukawa Myahudi
Naanza na historia fupi ya Wayahudi, kipindi cha mfalme Rehoboamu taifa la Israeli liligawanyika kwenye falme mbili ulikuwa mwaka 930 kabla ya kristo ilikuwa ni kipindi baada utawala wa mfalme Sulemani.. hizo falme mbili ni ufalme wa Israeli (shekemu na Samaria) ufalme huu ulikuwa na makabila kumi kwanzia kabila la Rubeni mpaka kabila Efraimu na ufalme wa kusini ambao ni ufalme wa Yuda ufalme huu ulikuwa na makabila matatu ambayo ni kabila la Yuda, Benjamin na Lawi.... huu ufalme wa Yuda ndo Wayahudi...
mnamo mwaka 587 kabla ya kristo mfalme Nebukadneza alivamia Yerusalemu kipindi hicho ufalme wa Yuda ulikuwa China ya mfalme Sedekia, mfalme Nebukadneza aliiteka Yerusalemu na akawachukua Wayahudi wengi walikuwa na vyeo vya juu na pia wakazi wengine ndani ya mji na kuwapeleka Babeli kama watumwa na kisha akawaacha Wayahudi wachache sana Yerusalemu ambao walikuwa ni manikini aliwaacha chini ya uangalizi wa amiri jeshi wake aliyeitwa Nebuzaradani.. miaka kadhaa baadae hawa Wayahudi wachache masikini waliokuwa wamebaki Yerusalemu waliamua kukimbilia Misri hiyo ndo safari ya kwanza ya Wayahudi kulowea Misri na hapo ndo tunaanza kupata ule uhalisia wa kuwa wayahudi ni watu weusi.....
baada ya hapo mnamo mwaka 167 kabla ya kristo mfalme wa ugiriki aliyetawala Syria alitambulika kwa jina la Antiochus (IV) Epiphanes alivamia Jerusalem na kuingia hadi kwenye hekalu la Mungu wa Israeli na kuweka sanamu la mungu zeus na kutoa kafara ya nguruwe kipindi hiki Wayahudi wengi sana pia walikimbilia Africa na kulowea huku nia yao ilikuwa ni kukimbia kuwa watumwa wa wagiriki na kipindi hiki wayahudi walikimbilia Libya, Morocco na Algeria na wakajenga himaya kubwa sana huko Africa ya kaskazini iliyoitwa Carthage, hii himaya ya kiyahudi ilikuwa na mfalme maarufu aliyeitwa Hannibal
Huyu jamaa alikuwa maarufu kwa sababu ya mbinu yake ya kupigana vita kwa kutumia tembo, alipigana vita nyingi na Roman empire na warumi walimjua vizuri na kumuogopa sana Hannibal.
baada ya himaya ya wagiriki kuanguka warumi walianza kutawala dunia, mpaka kipindi cha Yesu na baada kufa kwa Yesu warumi walikuwa wakitawala dunia, na warumi walitawala mpaka Yerusalemu na Yudea na mmoja kati ya magavana wa kirumi ndani ya Yudea na Yerusalemu alikuwa ni Pontio pirate, kabla Yesu hajafa aliwapa unabii Wayahudi kuwa Yerusalemu ungezungukwa na majeshi ya Roman empire... twende kwenye huo unabii wa Yesu Luka 21: 20- 21 "lakini, hapo mtakapoona mji wa Yerusalemu umezungukwa na majeshi, ndipo jueni ya kwamba uharibifu wake umekaribia"
"Ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie milimani, na walio katikati yake wakimbilie nje, na walio katika mashamba wasiuingie" huu unabii aliotoa Yesu ulitimia mwaka 70 AD ambapo majeshi ya Roman empire yalivamia Yerusalemu chini ya Jenerali wa jeshi la kirumi aliyeitwa Vespasian na mwanae Titus kipindi cha military campaigns za huyu jenerali Vespasian kuanzia mwaka 68AD hadi mwaka 70 AD... kwenye kitabu kiitwacho From Babylon to Timbuktu professor Rudolf Windsor anasema kuwa takribani Wayahudi milioni moja walikimbilia Afrika ...itaendeleaa