Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,463
- 113,533
Wanabodi,
Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.
Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.
Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote!.
Denominations zao
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.
Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Ismailia, Ahamadia, Answasumna, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.
Uhai wao
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?!.
Elimu Zao
kuna High IQ, Average IQ na Low IQ
hii classification kwa IQ, naomba nisiifanye kwasababu...
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.
Matumizi ya Busara
Dhana ya Udikiteta
NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!
Paskali
Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors.
Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina.
Tanzania tumebahatika kuwa na marais 6.
- Julius Kambarage Nyerere
- Ali Hassan Mwinyi
- Benjamin William Mkapa
- Jakaya Mrisho Kikwete
- John Pombe Magufuli
- Samia Suluhu Hassan
- Mkiristu
- Muislamu
- Mkiristu
- Muislamu
- Mkiristu
- Muislamu
Hapa kwenye Dini zao, naona kama kuna kupokezana kati ya Mkiristu na Muislamu, jee is it planned au imetokea tuu?. Kama ni planned, then anayefuata ni lazima atoke upande wa pili. If it just happened, then anaweza kufuatiwa na wa kutoka upande wowote!.
Denominations zao
- Mkiristu RC
- Muislamu
- Mkiristu RC
- Muislamu
- Mkiristu RC
- Muislamu
If it's planned ni nani anayepanga?. Hivi Wakristu wa dominions nyingine kama Lutherans, Anglicans, Wasabato, Walokole etc hawawezi?.
Kwa Waislamu, Tanzania tuna Sunni, Ismailia, Ahamadia, Answasumna, wale Mabohora, jee nao kuna siku watapata zamu?.
Uhai wao
- Amekufa
- Yuko Hai
- Amekufa
- Yuko Hai
- Amekufa
- Yuko Hai
Jee kuna uhusiano wa dini fulani na longevity?. Kwanini ni marais wa dini moja tuu ndio wametangulia, lakini wa dini nyingine wote wapo?!.
Elimu Zao
- Straight to University Masters Level
- Aliunga Unga ila alipata Masters
- Straight to University Masters Level
- Japo ni straight to University Ila alipata Bachelor ya GPA fulani hivi!
- Aliunga unga to University hadi Ph.D iliotiliwa shaka humu JF, (mtia shaka just vanished into thin air!)
- Aliunga Unga to Masters!.
kuna High IQ, Average IQ na Low IQ
hii classification kwa IQ, naomba nisiifanye kwasababu...
Jee kuna uhusiano wa IQ na dini ya mtu?.
Kwa nini watu wa dini fulani shule imesimama, halafu wa dini nyingine ni shule za kuunga Unga?.
Matumizi ya Busara
- Busara Sana
- Busara Sana na ustaatarabu
- Hakuna Busara Ila Ustaatabu
- Muungawana, Busara, Ustaarabu
- Hakuna Busara, Uungwana wala Ustaarabu
- Busara, Uungwana, Ustaarabu Ila na Mipasho!.
Dhana ya Udikiteta
- Dikiteta
- Hakuwa Dikiteta
- Dikiteta
- Hakuwa Dikiteta
- Dikiteta
- Sio Dikiteta
NB. Ni wakati naliandika bandiko hili ndio nikaisikia hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!
Paskali