Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

Artificial intelligence

JF-Expert Member
Jan 28, 2021
1,262
2,191
Hii ni thread maalumu kwa ajili ya kukufahamisha/kufahamishana juu ya siri na hazina, bila kusahau mambo mbali mbali ya mamlaka ya mji wa Vatican nchini Italia. Kwa wakristu VATICAN ni mji mtakatifu(holy city) na ndiyo makao makuu ya kanisa katoliki duniani na pia makao makuu ya kiongozi mkuu (Papa) wa kanisa katoliki duniani.
1651583846332.png



1651583958394.png



Vatican ndiyo mji pekee duniani wenye mamlaka na utawala wake ndani ya nchi(Italy) unao ongozwa na kiongozi mkuu wa kanisa katoliki ambaye anaitwa Pope(Papa).

Mkataba wa lateran treaty ndiyo ulioufanya mji mtakatifu wa kanisa katoliki duniani kuwa mji pekee wenye mamlaka na utawala wake ndani ya nchi ya Italy, huku kiongozi mkuu wa mamlaka hiyo akiwa Papa. Baada ya majadiliano yaliyochukua miaka mingi, hatimaye mnamo tarehe 11 february 1929, cardinal Pietro Gaspari akimuwakilisha pope Pius XI na Benito Mussolini akimuwakilisha mfalme wa Italy wakati huo Emanuele III walisaini mkataba wa LATERAN TREATY kwenye chumba cha Papa katika makao ya Papa(lateran palace) mjini Roma(Rome) Italy. Mkataba huu ulitengeneza "the world's smallest sovereight state" yaani Vatican city, huku mji huu ukiwa na ukubwa wa 44 hectares.


THE LATERAN TREATY OF 1929
Katika mkataba huu ulioufanya mji wa Vatican kuwa sovereight state ndani ya mji mkuu wa Italy yaani Roma una articles 27, ila hapa nimeweka articles 4 zenye mambo ya muhimu sana kati ya pande mbili yaani serikali ya Italy na Vatican.

Article 1: Italy recognizes and reaffirms the principle established in the first Article of the Italian Constitution dated 4 March 1848, according to which the Catholic Apostolic Roman religion is the only State religion.

Article 2: Italy recognizes the sovereignty of the Holy See in international matters as an inherent attribute in conformity with its traditions and the requirements of its mission to the world.

Article 3: Italy recognizes the full ownership, exclusive dominion, and sovereign authority and jurisdiction of the Holy See over the Vatican as at present constituted, together with all its appurtenances and endowments, thus creating the Vatican City.

Article 4: The sovereignty and exclusive jurisdiction over the Vatican City, which Italy recognizes as appertaining to the Holy See, forbid any intervention therein on the part of the Italian Government, or that any authority other than that of the Holy See shall be there acknowledged.


1651584063688.png

Mussolini akishuhudia Cardinal Gaspari akitia sahihi mkataba Lateran Treaty wa mwaka 1929. Mkataba huu uliipa mamlaka kamili Vatican na kufanya utawala wa Papa uliokuwa ukitengwa na serikali ya Italy Zaidi ya miaka 60 kufika mwisho.

1651586008316.png

Katika picha hii kushoto ni Mussolini akitoa heshima na kusalimiana na mfalme Emanuele III(kulia) Roma 1922


Katika thread hii vyanzo vikuu vya taarifa na habari ntakazozileta kwenye uzi huu ni Padre MICHAEL COLLINS & BRENDA RAIPH LEWIS. Thread hii ina muendelezo kutokana na habari zinazohusu siri, utajiri na hazina ya Vatican kuwa nyingi sana , hivyo ningependa tuzijadili zote.

Vile vile katika thread hii kila mtu anaweza kushare na wana JF anachokijua au kukisikia kuhusu Vatican, lakini itapendeza zaidi ikiwa kile utakachokiandika hapa kitakuwa na uthibitisho.

Kama ulikuwa unasikia tetesi au habari za Vatican juu juu tu basi nikukaribishe katika thread hii ufahamu kinagaubaga kuhusu VATICAN (the Holy City).
 
Holy city/Holy see. Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu(Biblia ) Yerusalemi ndio mji Mtakatifu. Tumeona hata Ezra na Nehemia wakirudi kutoka utumwani walikokua uhamishoni kujenga Hekalu Takatifu la Yerusalemi Mji Mtakatifu. Mji Mtakatifu kwa Waumini/ Wafuasi wa Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ni Yerusalem.

Ndio na uliza Vatican na hata Makka ni miji mitakatifu kwa mujibu wa nini?
 
Holy city/Holy see. Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu(Biblia ) Yerusalemi ndio mji Mtakatifu. Tumeona hata Ezra na Nehemia wakirudi kutoka utumwani walikokua uhamishoni kujenga Hekalu Takatifu la Yerusalemi Mji Mtakatifu. Mji Mtakatifu kwa Waumini/ Wafuasi wa Mungu ya Ibrahimu, Isaka na Yakobo ni Yerusalem. Ndio na uliza Vatican na hata Makka ni miji mitakatifu kwa mijibu wa nini?
Vatican kuwa mji mtakatifu pia kwa wakatoliki ni kutokana na sababu kuu mbili, moja, Wakati muanzilishi wa dini na kanisa katoliki duniani mtakatifu Peter (ST Peter) aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu anaanza mafundisho juu ya ukatoliki mwaka 32-67 alifikia Vatican akitokea Jerusalem mara baada ya kifo cha Yesu, hivyo hili kumuenzi mji huo wa Vatican umepewa heshima hiyo ya holy city.

Sababu ya pili ni makao makuu ya kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani.
 
Holy city/Holy see. Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu(Biblia ) Yerusalemi ndio mji Mtakatifu. Tumeona hata Ezra na Nehemia wakirudi kutoka utumwani walikokua uhamishoni kujenga Hekalu Takatifu la Yerusalemi Mji Mtakatifu. Mji Mtakatifu kwa Waumini/ Wafuasi wa Mungu ya Ibrahimu, Isaka na Yakobo ni Yerusalem. Ndio na uliza Vatican na hata Makka ni miji mitakatifu kwa mijibu wa nini?
Sasa we mfuasi wa ibrahim na yakobo unafanya nn uku bongo badala ungekuwa zako yerusalem
 
CALENDAR: MWAKA WA VATICAN

Katika kipindi cha mwaka mzima, kanisa utazama na kuazimisha vipindi tofauti tofauti vya majira na matamasha mbali mbali ya kusherekea maisha, kifo na ufufuko wa Yesu.

Akiwa kama askofu mkuu wa diocese ya Roma, Papa uongoza sherehe zote hizo ndani ya Vatican ambazo zinahuzuriwa na waroma pamoja na wageni mbali mbali kutoka sehemu tofauti duniani.

Majira ya mwaka uanza December katika kipindi cha advent, ambacho kanisa ukumbuka;
1. Ufufuko wa mwokozi Yesu na ahadi yake ya kurejea tena siku ya mwisho duniani.
2. Christimas, kuzaliwa kwa Yesu.

Wageni uongozeka sana na kuwa wengi katika kipindi cha Kwaresima(season of lent), ambacho uanza siku 40 kabla ya siku kubwa ya Pasaka katika majira ya spring.

katika majira ya joto Papa uondoka Vatican na kuelekea kwenye makazi yake nje ya Rome, katika kipindi hiki sherehe chache sana ufanyika.

Papa urudi Vatican tena kwenye kipindi cha vuri (autumn), tayari kwa kumbukizi ya watakatifu wote mapema kabisa mwanzoni mwa mwezi November.

Katika sherehe za christmas maelfu ya waumini wakiongozwa na Papa ukusanyika usiku mbele ya St Peters Basilica Vatican kusherekea sherehe hizo.








Screenshot_20220504-143620_1.jpg
Screenshot_20220504-143639_1.jpg
 
THE CHRISTMAS SEASON: KUSHEREKEA KUZALIWA KWA MWOKOZI YESU.

Christimas Homily
Katika siku hii Papa utoa hotuba yake christmas mbele ya madhabahu kubwa iliyopa katikati ya St Peters Basilica, hii ufanyika kwenye mkesha wa christmas, huku maelfu ya watu wakiwa wamehudhuria mkesha huo.
Screenshot_20220504-143734_1.jpg
 
Vatican kuwa mji mtakatifu pia kwa wakatoliki ni kutokana na sababu kuu mbili, moja, Wakati muanzilishi wa dini na kanisa katoliki duniani mtakatifu Peter (ST Peter) aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu anaanza mafundisho juu ya ukatoliki mwaka 32-67 alifikia Vatican akitokea Jerusalem mara baada ya kifo cha Yesu, hivyo hili kumuenzi mji huo wa Vatican umepewa heshima hiyo ya holy city.

Sababu ya pili ni makao makuu ya kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani.
Hizi sababu hazina mashiko
 
Midnight Mass at the Vatican
Huu ni mkusanyiko wa watu wengi sana ambao ufanyika kila tarehe 24 December nje ya jengo la St Peters kama mkesha wa sikukuu ya Christmas, mkesha huu uongozwa na kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa mtakatifu.

Mark 1:10"Immediately coming up from the water, he saw the heavens parting and the spirit descending him like a dove"
Screenshot_20220504-143802_1.jpg
Screenshot_20220504-143748_1.jpg
 
Feast of the Epiphany
Hii ni sikukuu ya Epifania. Katika sikukuu hii pilgrims (wanaosafiri kuelekea sehemu/eneo takatifu) uvalia kama Magi(Watu watatu waliyoifuata nyota kuelekea Bethlehem alipozaliwa Yesu). Sikukuu hii uazimishwa kila tarehe 6 January ya mwaka.

Picha hii chini inaonyesha Pilgrims wanavyo valia kwenye kumbukizi ya sikukuu ya Epifania.
Screenshot_20220504-144555_1.jpg
 
Feast of the Baptism of the Lord.
Hii ni sikukuu ya ubatizo wa Yesu. Katika siku hii Papa ubatiza watoto na ufanyika jumapili ya kwanza baada ya sikukuu ya Epifania. Huu ni utamaduni wa Vatican ulioanzishwa na Papa John Paul II. Sikukuu hii ni kumbukizi ya ubatizo wa Yesu na mtakatifu John katika mto Jordan.

Hapa chini ni picha ikimuonyesha Papa akimbatiza mtoto siku ya kumbukizi ya ubatizo wa Yesu.
Screenshot_20220504-143816_1.jpg
 
Hii ni thread maalumu kwa ajili ya kukufahamisha/kufahamishana juu ya siri na hazina, bila kusahau mambo mbali mbali ya mamlaka ya mji wa Vatican nchini Italia. Kwa wakristu VATICAN ni mji mtakatifu(holy city) na ndiyo makao makuu ya kanisa katoliki duniani na pia makao makuu ya kiongozi mkuu (Papa) wa kanisa katoliki duniani.
View attachment 2209915


View attachment 2209918


Vatican ndiyo mji pekee duniani wenye mamlaka na utawala wake ndani ya nchi(Italy) unao ongozwa na kiongozi mkuu wa kanisa katoliki ambaye anaitwa Pope(Papa).

Mkataba wa lateran treaty ndiyo ulioufanya mji mtakatifu wa kanisa katoliki duniani kuwa mji pekee wenye mamlaka na utawala wake ndani ya nchi ya Italy, huku kiongozi mkuu wa mamlaka hiyo akiwa Papa. Baada ya majadiliano yaliyochukua miaka mingi, hatimaye mnamo tarehe 11 february 1929, cardinal Pietro Gaspari akimuwakilisha pope Pius XI na Benito Mussolini akimuwakilisha mfalme wa Italy wakati huo Emanuele III walisaini mkataba wa LATERAN TREATY kwenye chumba cha Papa katika makao ya Papa(lateran palace) mjini Roma(Rome) Italy. Mkataba huu ulitengeneza "the world's smallest sovereight state" yaani Vatican city, huku mji huu ukiwa na ukubwa wa 44 hectares.


THE LATERAN TREATY OF 1929
Katika mkataba huu ulioufanya mji wa Vatican kuwa sovereight state ndani ya mji mkuu wa Italy yaani Roma una articles 27, ila hapa nimeweka articles 4 zenye mambo ya muhimu sana kati ya pande mbili yaani serikali ya Italy na Vatican.

Article 1: Italy recognizes and reaffirms the principle established in the first Article of the Italian Constitution dated 4 March 1848, according to which the Catholic Apostolic Roman religion is the only State religion.

Article 2: Italy recognizes the sovereignty of the Holy See in international matters as an inherent attribute in conformity with its traditions and the requirements of its mission to the world.

Article 3: Italy recognizes the full ownership, exclusive dominion, and sovereign authority and jurisdiction of the Holy See over the Vatican as at present constituted, together with all its appurtenances and endowments, thus creating the Vatican City.

Article 4: The sovereignty and exclusive jurisdiction over the Vatican City, which Italy recognizes as appertaining to the Holy See, forbid any intervention therein on the part of the Italian Government, or that any authority other than that of the Holy See shall be there acknowledged.


View attachment 2209928
Mussolini akishuhudia Cardinal Gaspari akitia sahihi mkataba Lateran Treaty wa mwaka 1929. Mkataba huu uliipa mamlaka kamili Vatican na kufanya utawala wa Papa uliokuwa ukitengwa na serikali ya Italy Zaidi ya miaka 60 kufika mwisho.

View attachment 2209976
Katika picha hii kushoto ni Mussolini akitoa heshima na kusalimiana na mfalme Emanuele III(kulia) Roma 1922


Katika thread hii vyanzo vikuu vya taarifa na habari ntakazozileta kwenye uzi huu ni Padre MICHAEL COLLINS & BRENDA RAIPH LEWIS. Thread hii ina muendelezo kutokana na habari zinazohusu siri, utajiri na hazina ya Vatican kuwa nyingi sana , hivyo ningependa tuzijadili zote.

Vile vile katika thread hii kila mtu anaweza kushare na wana JF anachokijua au kukisikia kuhusu Vatican, lakini itapendeza zaidi ikiwa kile utakachokiandika hapa kitakuwa na uthibitisho.

Kama ulikuwa unasikia tetesi au habari za Vatican juu juu tu basi nikukaribishe katika thread hii ufahamu kinagaubaga kuhusu VATICAN (the Holy City).
Wengi tunaijua Vatican juu juu tu na kwa stori za kwny kahawa. Naamini ktk uzi huu ntajua mengi kuhusu Vatican nikanogeshe vijiwe vyangu vya kahawa.

Subscribed
 
Back
Top Bottom