Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
MAPINDUZI YALIYOFELI CC F. BUYOBE from Twitter THE FAILED NKURUNZINZA’s COUP D’ETAT Rais Nkurunzinza aliondoka Dar Es Salaam majira ya saa 12 na robo jioni kurundi nchini kwake Burundi akiwa...
20 Reactions
46 Replies
7K Views
Yes Isaack Newton yule yule wa ma-law of motion,law of cooling,gravitation calculus na malupulupu mengine alithibitisha uwepo wa Mungu. Kabla sijasema alithibitishaje napenda kusema kuwa kwangu...
9 Reactions
19 Replies
4K Views
Reincarnation (kuzaliwa mara pili) ni ile imani/filosofia kuwa mtu anapofariki, basi roho yake inazaliwa upya kuwa mtu mwingine au mnyama mwingine au kiumbe cha kiroho (mzimu,malaika etc.)...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Hii ni thread maalumu kwa ajili ya kukufahamisha/kufahamishana juu ya siri na hazina, bila kusahau mambo mbali mbali ya mamlaka ya mji wa Vatican nchini Italia. Kwa wakristu VATICAN ni mji...
28 Reactions
701 Replies
46K Views
Ukipewa uenyekiti wa chama kaa ukijua chama chote sio chako, ukipewa suti sio kila kona unaweza kuivaa na ukipewa Gwanda sio kila patuni ni yako! Lakini kuna Mnazareth wa Black African alipingana...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Andre Charles Stander alizaliwa November 1946 na kufariki Februari 1984 nichini Afrika Kusini ambapo alikuwa Polisi kuanzia mwaka 1963 hadi 1980 miaka ambayo alifanikiwa kuziibia benki zaidi ya 30...
9 Reactions
30 Replies
7K Views
Hili eneo lajulikana kama area 51 linapatikana katika jimbo la nevada uko Marekani, eneo hili ndiko kulipo na kituo kikuu cha ujasusi cha Marekani, na inaaminika kwamba Majajusi wa Marekani...
26 Reactions
664 Replies
203K Views
Za mchana wana JF. Natumaini mu wazima wa afya. Leo nataka kuongelea ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu ni wakutisha sana. Historia ya ukatili huo imefichwa watu wachache...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Amahoro? Kwa waliosomoa general chemistry au atomic physics au molecular biology watakuwa walishasikia mahali kutoka kwa ticha mwenye manywele machafu akisema kuwa kila kitu kilichopo kwenye huu...
14 Reactions
14 Replies
1K Views
Miaka ya 70’s 80’s Tanzania kutokana na sera yake ya ujamaa ilikuwa ana urafiki mkubwa na nchi ya Urusi, katika urafiki huo uliwezesha wanafunzi wengi wa Kitanzania kwenda kupata masomo kwenye...
7 Reactions
28 Replies
9K Views
Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya...
23 Reactions
647 Replies
26K Views
Kuna uhusiano gani kati ya cable tow (hii kamba ya utamburisho wa Freemason) na Spiritual chills kwa watu ambao sio freemasonry. Tafadhali soma hili na nisaidie kuelewa kinachotokea kwangu. Mimi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF siku chache nimekuwa nikiwaza na kuchambua mambo kadha wa kadha kuhusu nguvu ya kiuchumi ya nchi ya china na watu wake kusambaa karibia kona zote za dunia. Nimekuwa nikiwaza sana...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Get off X kwa tafsiri nyepesi unaweza kusema ni kuwa nje ya x, lakini katika ujasusi haina maana hiyo. Katika ujasusi ukisikia Get off the X, maana yake uwe nje ya tukio, shari au viashiria vya...
94 Reactions
75 Replies
20K Views
Wanabodi, Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors. Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina...
48 Reactions
133 Replies
15K Views
Moja kati ya sekta nyeti katika taifa ni ile tunaita "think tank". Sijajua kwa taifa letu watu hawa wanatoka angle ipi,ni aidha ni watu wa sili sana ama wanatoka mbele ya vyombo tunavyoviona ama...
2 Reactions
8 Replies
870 Views
Heri ya Pasaka? Heri ya Mfungo kwa WAISLAMU. Ndugu zangu wataalamu wa Masuala ya Biblia na Quran NAOMBENI MSAADA wa hili swali linalonisumbia Daima? JE ni KWELI QURAN ilishushwa kutoka...
10 Reactions
191 Replies
14K Views
Miaka ya nyuma kipindi cha mediaval na reformation of church, kanisa katoliki lilikumbwa na misuko suko mbali mbali iliyolitikisa kanisa kweli kweli. Mojawapo ikiwa ni kuanzishwa kwa kanisa la...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakuna kitu kimefanya nimuamini Mungu wangu kama maneno yake yaliyonenwa na yeye huyo huyo mungu kwenye moja ya vitabu vyake vitakatifu karne nyingi zilizopita na kwa uwezo wake usio kifani...
12 Reactions
94 Replies
27K Views
Kuna vyanzo vingi vinavyo elezea kuwepo kwa freemasonry Kabla ya 1717, vyanzo hivyo ni vingi, vinahitaji muda na uyakinifu ilikuweza kutofautisha baina ya almasi na vipande vya vioo. Kuna vilivyo...
10 Reactions
21 Replies
10K Views
Back
Top Bottom