Gwaiji wa molecular biology, ana miaka 94. Aalifanya ugunduzi muhimu kuhusu muundo wa DNA na usambazaji wa taarifa kupitia nucleic acids katika DNA mwaka 1953, akashinda tuzo ya Nobel mwaka 1962...
I
Kulikuwa na ukimya wa kutarajia. NILIWEZA KUHISI watu wakinitazama. Kisha swali fupi, kali, lenye kelele. Nyayo za mshikaji wangu zikija kwa kasi kuelekea kwangu. “Huoni?” Aliuliza...
Sijui why leo nipo kwenye mood ya kuongelea hii Topic , I hope itagusa watu na kuwasaidia kuchukua hatua. Mara nyingi tumekua tukiangalia Film’s za kutisha huko Hollywood kuhusu hizi haunted...
Habari wana Jf poleni na Majukumu ya kikazi, Niende moja kwa moja katika maada yangu kuwahusu Freemasons
Nadhani ni wakati mzuri juu ya hawa Masonic kuwa wawazi pengine wanaweza kua huru na kile...
Kila tokeo la kimwili bila kujali kama ni chanya ama hasi asili yake ni roho ama rohoni... Hakuna kitu kisicho asili na roho ama nguvu isiyoonekana.... Hata huyu Mungu mkuu anayebishaniwa kila...
THE GIANTS (SON OF GODS) MELANATED BEINGS ARE WAKING UP FROM THE GREAT SPELL.
MWANDISHI; JAMES LORDY KASHIRINA.
[emoji3544]TAFADHARI KAZA SURA USOMAPO POST HII
[emoji117]Kutambua siri hizi...
Miaka ya nyuma kipindi cha mediaval na reformation of church, kanisa katoliki lilikumbwa na misuko suko mbali mbali iliyolitikisa kanisa kweli kweli. Mojawapo ikiwa ni kuanzishwa kwa kanisa la...
Kwa Afrika, Ujasusi wa "Kidola", Tanzania ndio mwamuzi wa siasa za Afrika. Hil linatazamwa tangu vuguvugu la uhuru wa Afrika mpaka kunako Karne ya 21. Kwa lugha laini ni kuwa TISS ndio idara yenye...
Bonobo!
Canis Lupus Familiaris ndiyo jina la hii specie tunayoijua na kuipenda..Almaaruf kama Mbwa!!
Wengi mkiulizwa mbwa wametokea wapi kwa haraka haraka mtasema waliumbwa na Mungu.
Lakini...
ALIENS & EXTRATERRESTRIALS.
[emoji2936]Na Bro James Lordy Kashirina
UTANGULIZI
[emoji117]Kuna tofauti kati ya Aliens na Extraterrestrials.
Extraterrestrials inatokana na maneno "Extra" na...
MIMI; Hivi unajua unaibiwa sana kila siku, tena bila kujua?
WEWE; ‘Aaah wapi! Mimi ni mtoto wa mjini, siwezi kuibiwa kizembe, wewe unaongea tuu’
MIMI; Ni kweli wewe ni mtoto wa mjini, Lakini...
Unataka kuwa na akili?
Tena kimsingi sio kutaka kuwa na akili, bali ni je? Unataka kuzitumia akili ambazo tayari unazo?
Na je Unataka mwanao aweze kutumia akili alizojaaliwa kwa kuzaliwa tu...
Tsup! Leo tuzamishe kidole gumba kwenye bahari -bahari ambayo ni hii mada ihusuyo chanzo halisi cha binadamu.
Hii story (History😅) ni very complicated na ndefu ila nataka niandike kwa ufupi sana...
Habari wapendwa,
Kuna hizi theories zinazoelezea chanzo cha Ulimwengu, kwa uelewa wangu hakuna hata moja inayoelezea kikamilifu chanzo cha huu Ulimwengu, bali nyingi zinaelezea modifications na...
Habari wana JF.
Binafsi mgogoro wa wayahudi na wapalestina umenifanya nitafti vitu ambavyo hapo awali sikuwa na shida ya kuvijua.
Na hivyo vitu ambavyo nimetaka kuvitafti nimeishia njia panda tu...
Moja kati ya ushauri ambao walimu wengi wa kiimani wamekuwa wakituhamasisha ni kuwa "Kutosheka - ni utajiri mkubwa kuliko aina yoyote ya utajiri".
Mtu yoyote anaweza...
Majini na jinsi ya kuwakwepa:
Allah/Mwenyezi Mungu
Alisema katika kitabu chake kitukufu:
Chapter (51) sūrat l-dhāriyāt (The Wind that Scatter)
Sahih International: And I did not create the...
Mpaka mwaka 2017 huu au karne ya 21 waafrika tunahangaika na mambo madogo sana ambayo wazungu walihangaika nayo miaka kenda na kenda huko nyuma. waafrika tunapigania haki ya kutambulika duniani...
James Watson,mwanasayansi maarufu duniani na mshindi wa nishani ya noble katika tiba mwaka 1962, ameleta mjadala mkubwa kwa madai kwamba inaelekea mtu mweusi ana akili ndogo kuliko mtu mweupe...