Ufunuo wa Vita vya Crusades: Safari Kupitia Historia
Zekaria 12:1-3
Hili ni neno la Bwana kuhusu Israeli. bwana, yeye azitandaye mbingu, awekaye misingi ya dunia na aiumbaye roho ya mwanadamu...
Nikiitazama dunia na mwenendo wa hiki kiumbe kinachojiona kina maarifa ya ziada kushinda viumbe wengine,bado naona safari ndefu sana yenye kujifunza,ujinga,maarifa na ajali za kila namna!.
Labda...
Wapendwa wana JF nimekuwa nikitafakari sana kuhusu mambo yalivyo. Nimesoma vitabu vya dini nikasoma sayansi, nimefanya meditation na kufanya mambo ya kila namna. Lengo lilikuwa kupata kujua...
Naamini wote ni wazima wa afya, ila kama kuna mtu yeyote mwenye changamoto basi Mwenyezi Mungu/Allah amfanyie wepesi.
Nimekuwa mdau wa Jamii Intelligence kwa muda sasa, Na hakika ukiwa serious...
Kila mmoja na ajiulize swali hili kwa dhati yake tokea moyoni; je ni halali kupangiwa maisha yako na kiumbe mwingine asiye wewe tokea kuzaliwa kwako mpaka kifo na kama haitoshi mpaka na adhabu pia...
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI:
Kuna watu wamepata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao kwa sababu ya matumizi ya mchanga wa makaburini bila kuzingatia au kufuata maelekezo...
Afya ya akili-Usomaji wa vitabu
Afya ya mwili-Lishe bora na mazoezi
Afya ya roho-soma kitabu chako cha imani, maombi, dua na kushiriki na ibada.
SIMPLIFIED.
Kuongezea iko tafauti ya ubongo na...
Natumai wote humu ndani mu wazima wa afya njema,mliofunga poleni kwa swaumu kali na wale wakristo poleni kwa Artificial swaumu kutokana na mfumo wa maisha ulivyo,,
Leo nitagusia kidogo juu ya...
Salute
Mnamo mwaka wa 4BC jijini Galilaya katika kitongoji kiitwacho Nazareth kulikuwa na familia ya Bw. Joseph na mkewe Maria; walipata mtoto wa kiume wakamwita Jina Yeheshua au Yesu.
Ilikua ni...
Kitabu cha kwanza kutafsiriwa kwenda kwenye lugha nyingi ni Biblia, Ambayo ilitafsiriwa kwenda kwenye lugha takribani 3589.
Kitabu cha pili kutafsiriwa kwa lugha nyingi ni Don Quixote, riwaya...
Hii vita ina mambo mengi Sana na huu ndo mwanzo wa Taifa la Israel kwenda kijitanua ili kuwa kwenye ramani halisi ambayo Mungu aliwapa Wana wa Israel kuptia mtumishi wake Musa na badae Yoshua...
Namaanisha yaani serikali ya Palestina yenyewe haimiliki jeshi wala polisi ama ni ile nchi inaendeshwaje yaani nchi nzima ya Palestina ni kweli haina jeshi wala polisi ama kikosi maalumu cha...
Awali Ya Yote Poleni na majukumu ya kujenga Taifa
Nlipata Nafasi ya kwenda kijiji kwetu kumsalimia Babu ndipo wakati tukiwa tukiongea aliniambia history ambayo kwa sehemu kubwa ilinifikirisha ma...
Nafasi au space kwa lugha nyepesi ni urefu, kina,upana,eneo au ujazo wa sehemu ambamo vitu vyote ulimwenguni vinakaa.
Muda (time) ni muendelezo wa matukio. Huu mwendelezo ni continous ukitokea...
Habar wanazengo
Mm huwa najiuliza sisi wanadamu tunaamini katika uwepo wa Mungu na malaika zake.
Sasa Mungu aliumba kila kitu vinavyoonekana na visivyoonekana Tuurudi kwenye mada jua na dunia...
Kama ni Muundo wa Ubongo ni Uleule kwa WANAADAMU wote ...kama ni vyakula pengine Afrika tunakula Vizuri zaidi more natural(organic) kuliko wao ...
Swali Langu ni Kwamba ..Hizi artificial...
Kabla ya kuja Kwa Ukristo na hatimaye Uislamu Afrika, watu wa Afrika walikuwa wanaabuduje?
Jee na wao walikuwa wana siku, wiki, mwezi na mwaka Kwa mfumo huu uliopo Sasa au ilikuwaje?
Walimini...
Habari wadau wote wa JF
Hakuna kitu kibaya kama kumwacha mtu akufafanue au kukuelezea kama vile ww mwenyew hujijui.
Don't let anyone define you and don't let anyone define your beliefs.
Kuna...