Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Reading from 'Business Times', a weekly News Paper, there is a a report that there an event arranged in Moscow in 2014, Winter Olympic, which neighbour, Republic of Georgia is lobbing for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je, suala la ajira kwa wataalamu hasa wa afya (matibabu) ikoje ndani ya jeshi letu, mpaka inafikia kuwa na wataalamu wachache mno, hali ambayo inapelekea taifa kupoteza pesa nyingi kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Closed
Wakati nchi ikiendelea kuelea katika mawimbi na Kimbunga cha misukosuko ya kiuchumi, kimaadili, usalama, na kitaaluma, watu tumekujikuta tukiwa katika hamaki kubwa, hatua mbali mbali...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wanajamii, Nimekutana na hii report ya one of the detailed research kuhusu hali ya maisha ya watanzania na utulivu tulionao. Kwa kweli hii report inazungumzia ukweli wa hali halisi ambao hata...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
  • Closed
Salaam wanaJF! Pata nakala ya sheria ya Tanzania Intelligence and Security Service (TISS) namba 15 ya mwaka 1996. Someni kwa makini. Asante!
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Wadau Hayo ndiyo mambo ya Libya, someni afu mtafakari jinsi hii dunia ilivyo na UN yenye wenyewe (Americans and British aka World Bank na International Monetary Fund,) Lazima viongozi wa Afrika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wana JF mliokatikati ya Jiji la Dar es salaam tujuze, nimekutana hapa TAZARA na magari manne ya wazee wa kazi yaani Field Force Unit a.k.a Fanya Fujo Uone (FFU) na Washa washa moja yakielekea...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Kuna kiwanda cha kutengeneza Chupa kinaitwa Kioo Limited, Kipo jijini Dar es Salaam, hiki ni kiwanda kikubwa tu hapa nchini, kinatengeneza chupa, na kinauza ndani ya nchi na Afrika Mashariki na...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Wandugu, Leo (Juni 30 2010) ndio mwisho wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama tunavyoifahamu, kwani kuanzia kesho (Julai mosi 2010) Tanzania itakuwa chini ya "Soko la Pamoja" la EAC. EAC...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
With each passing day comes the inevitable cementing of JK's presidency. On his way to what is poised to become the worst presidency in Tanzania's young history, is the president a product of the...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
  • Closed
A MODEST PROPOSAL Na. M. M. Mwanakijiji Kuna vumbi la chuki, fitina, wivu, kisasi, na hisia za kibaguzi dhidi ya jamii ya Wachagga nchini. Kuna kila dalili kuwa jamii ya Wachagga nchini siyo tu...
2 Reactions
637 Replies
87K Views
It's a blue Monday buddies!
0 Reactions
73 Replies
18K Views
  • Closed
Mikataba yote ya UFISADI DUNIA NZIMA inawekwa hapa: http://wikileaks.org/wiki/Wikileaks Wikileaks, a wiki-based information clearinghouse for whistleblowers that TIME said "... could become as...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Katika pita pita vi inzi vinadokeza kuwa balozi wa TZ huko Canada anatarajiwa kuhamishiwa UK na yule ambaye tulidokeza miezi michache nyuma kuwa ameshindwa kupelekwa kule Scandinavia anaweza...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
HII NI KWA MUJIBU WA TOVUTI YA CIA KUHUSU TZ: Tanzania Chiefs of State and Cabinet Members of Foreign Governments Pres.Jakaya Mrisho KIKWETE Vice Pres.Ali Mohamed SHEIN, Dr. Prime...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Wadau wa Umoja House salaam! Nimeona nisilifumbie macho suala hili maana linaharibu uzuri wa Mjengo mzima na kitendekacho humo ndani. Awali ya yote napenda kuzipongeza balozi za Uingereza...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
  • Closed
Looks like it sasa kabla hamjaanza kumshambulia R.O tuanze kwa kuangalia hao wazungu walikuwa ni akina nani na je walipewa security clearance na nani? Na kwa nini walikuwa wanaopiga picha wakati...
1 Reactions
244 Replies
48K Views
Kama mliona ya Loliondo ni makubwa basi makubwa zaidi yanakuja, Watanzania tuwe tiyari kupokonywa ardhi. ============= Tanzania farmers in key arable areas face eviction by multinational...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Natafuta "Africa Peer Review Mechanism -Country Review Report Tanzania". Not sure kwamba hii review haijafanywa Tanzania au imefanywa lakini ripoti haipatikani katika website yao hapa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
  • Closed
Baada ya salamu nina ujumbe kwenu: Stand down. Makuwadi na vikaragosi vyenu viambieni virudi nyuma. Miti mingine haikwewi na milima mingine inatosha kuiangalia kwa mbali tu. Mlifanyalo lifanyeni...
1 Reactions
85 Replies
19K Views
Back
Top Bottom