Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,925
Kabla ya kuja Kwa Ukristo na hatimaye Uislamu Afrika, watu wa Afrika walikuwa wanaabuduje?
Jee na wao walikuwa wana siku, wiki, mwezi na mwaka Kwa mfumo huu uliopo Sasa au ilikuwaje?
Walimini Kuna dhambi? Au kwao dhana ya dhambi haikuwepo??
Mtu akizaliwa ama kufa walikuwa anatafsirije. Akifa ndiyo inakuwa mwisho wake au Kuna maisha baada ya kifo??
Wao walikuwa na mitume Kama ilivyo kwa Waislamu au Wakristo?
Jee na wao walikuwa wana siku, wiki, mwezi na mwaka Kwa mfumo huu uliopo Sasa au ilikuwaje?
Walimini Kuna dhambi? Au kwao dhana ya dhambi haikuwepo??
Mtu akizaliwa ama kufa walikuwa anatafsirije. Akifa ndiyo inakuwa mwisho wake au Kuna maisha baada ya kifo??
Wao walikuwa na mitume Kama ilivyo kwa Waislamu au Wakristo?