Ukubwa au udogo wa kichwa una uhusiano gani na kiwango cha akili?

Magari Aina Zote

JF-Expert Member
Jul 31, 2012
2,880
491
Heshima kwenu wakuu,

Naomba kufahamu hili, kutokana na maumbile ya binadamu.

Kuna wengine wamezaliwa kuwa na vichwa kikubwa na wengine wana vichwa vidogo.

Katika maumbile haya, je kuna uhusiano wowote na kiwango cha akili kichwani, yaani labda mwenye kichwa kidogo kuwa na akili kidogo kuliko mwenye kichwa kikubwa na kinyume chake.

Maana mtu anayefanya vizuri darasani, utasikia ana akili sana na mengine kama haya.

Nawasilisha.
 
Kama tukiangalia hili swala katika angle ya Evolution tutakubaliana kua ukubwa wa kichwa unamaanisha ubongo mkubwa umehifadhiwa katika fuvu la kiumbe husika na anakua ana maarifa kushinda kiumbe cha kabla yake.

Hivyo kwa angle hii ni dhahiri kua inaona mwenye kichwa kikubwa atakua mwenye akili kushinda mwenye kichwa kidogo.
 
Kama tukiangalia hili swala katika angle ya Evolution tutakubaliana kua ukubwa wa kichwa unamaanisha ubongo mkubwa umehifadhiwa katika fuvu la kiumbe husika na anakua ana maarifa kushinda kiumbe cha kabla yake.

Hivyo kwa angle hii ni dhahiri kua inaona mwenye kichwa kikubwa atakua mwenye akili kushinda mwenye kichwa kidogo.
MTU kwenye kichwa kikubwa mwili Mdogo IQ yake ni ndogo sana, vile vile MTU kwenye kchwa kidogo mwili mkubwa IQ yake ni ndogo sana.
 
MTU kwenye kichwa kikubwa mwili Mdogo IQ yake ni ndogo sana, vile vile MTU kwenye kchwa kidogo mwili mkubwa IQ yake ni ndogo sana.
Mkuu hii observation ni ya kisayansi au ya maisha yetu ya kila siku?
 
Mmehamia kwenye vichwa!!basi nawanyama tuwaingize maana kuna walio na vichwa vikubwa na wengine tuvichwa tudogo
 
Kama tukiangalia hili swala katika angle ya Evolution tutakubaliana kua ukubwa wa kichwa unamaanisha ubongo mkubwa umehifadhiwa katika fuvu la kiumbe husika na anakua ana maarifa kushinda kiumbe cha kabla yake...
Mkuu sio evolution mwenye kichwa kikubwa anakua na akili chache maaana ukiangalia binadamu na wale mababu zetu zinjathropus c tun akili kuliko wao
 
"Kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa" MITHALI 1:7.

Akili ya mtu hutegemea ni kwa kiasi gani anamcha Mungu.
Mfano ikiwa umetumia huo mstari unamaanisha wanaomuabudu Mungu ambaye hatetewi na huo mstari hawana akili?

Freemasons unazungumziaje hapa?

Daudi Bashite anaabudu kila mungu wa dini anayemuona mbele yake mpaka wa Wahindi, unazungumziaje hekima yake?
 
Mkuu sio evolution mwenye kichwa kikubwa anakua na akili chache maaana ukiangalia binadamu na wale mababu zetu zinjathropus c tun akili kuliko wao
Mkuu Lakini aliyeanza kufanya ubunifu akaweza kuzunguka kwenye mabara ubongo wake ulimzidi aliyepita...
 
Back
Top Bottom