Boss aliyetumbuliwa naye atupiwe jicho

Lavan Island

JF-Expert Member
Oct 24, 2015
2,377
2,041
Tunapozungumzia idara ya Usalama wa Taifa na jinsi imeiangusha serikali yetu na kuweka usalama wa taifa letu hatarini nafasi ya Bw ...haiwezi kupuuzws Baadhi ya matukio yaliyotokea na kuruhusu ufisadi nchini yalitokea wakati wa "ulinzi" wake na hatujui ni kwa kiasi gani alisimamia idara hiyo katika Usalama wa Taifa.

Wakati umefika na huyu naye ajibu, alifanya nini kuiimarisha idara hiyo na kuhakikisha inajijenga sawasawa kukabiri matishio ya ulimwengu wa utanda wazi?

Kwa vile Rada ilinunuliwa wakati wa uongozi wake wananchi wana haki ya kujua ni kwa kiasi gani idara yake ilishiriki katika kuhalalisha mauzo ya kurushwa kwa Vithlani? Zaidi ya yote binafsi ningependa kujua mambo yafuatayo kuhusu idara ya TISS enzi zake

a. Walijua nini kuhusu Saileth Vithlani yule Dalali aliyetoweka kwa kupanda ndege baada ya kuwaaga?
b. Idara ya Usalama wa Taifa ilijua nini kuhusu Jeetu Patel na uanzishaji wa banki ya Azania wakati Bw. Patel alishawahi kufilisi moja ya makampuni yake na sheria ya Fedha ilikuwa hairuhusu mtu aliyefilisiwa kuingia katika sekta ya Fedha? Kwanini Patel alipewa exception?
c.alijua nini kuhusu cha kitendo cha aliekuwa mkurugenzi wa mradi we Bot kutumia vyeo vyao kujinufaisha, Je upigaji was mafuta ya pantoni pale kivukoni hawaja uona?
Je yawezekana matatizo yetu mengi ya kiusalama yametokana na uongozi wa ndugu huyu na wakati wake wa kujibu umefika ili kina RO wajifunze kutokana na makosa?
 
Tunapozungumzia idara ya Usalama wa Taifa na jinsi imeiangusha serikali yetu na kuweka usalama wa taifa letu hatarini nafasi ya Bw ...haiwezi kupuuzws Baadhi ya matukio yaliyotokea na kuruhusu ufisadi nchini yalitokea wakati wa "ulinzi" wake na hatujui ni kwa kiasi gani alisimamia idara hiyo katika Usalama wa Taifa.

Wakati umefika na huyu naye ajibu, alifanya nini kuiimarisha idara hiyo na kuhakikisha inajijenga sawasawa kukabiri matishio ya ulimwengu wa utanda wazi?

Kwa vile Rada ilinunuliwa wakati wa uongozi wake wananchi wana haki ya kujua ni kwa kiasi gani idara yake ilishiriki katika kuhalalisha mauzo ya kurushwa kwa Vithlani? Zaidi ya yote binafsi ningependa kujua mambo yafuatayo kuhusu idara ya TISS enzi zake

a. Walijua nini kuhusu Saileth Vithlani yule Dalali aliyetoweka kwa kupanda ndege baada ya kuwaaga?
b. Idara ya Usalama wa Taifa ilijua nini kuhusu Jeetu Patel na uanzishaji wa banki ya Azania wakati Bw. Patel alishawahi kufilisi moja ya makampuni yake na sheria ya Fedha ilikuwa hairuhusu mtu aliyefilisiwa kuingia katika sekta ya Fedha? Kwanini Patel alipewa exception?
c.alijua nini kuhusu cha kitendo cha aliekuwa mkurugenzi wa mradi we Bot kutumia vyeo vyao kujinufaisha, Je upigaji was mafuta ya pantoni pale kivukoni hawaja uona?
Je yawezekana matatizo yetu mengi ya kiusalama yametokana na uongozi wa ndugu huyu na wakati wake wa kujibu umefika ili kina RO wajifunze kutokana na makosa?

Kwa wakat uliopo TISS sidhan kama n chombo huru
TISS wengi ni watu wa CHAMA so usitegemee wafanye kinyume na CHAMA na amiri jeshi mkuu
 
Kama mpaka Sasa tunaidara ya usalama inayoyumbishwa na viongozi basi tujue tunasafari ndefu.. Njaa ni msingi mkuu wa mtu mwenye nacho kumuhadaa asienacho!,na Kama idara ya Tiss inanjaa basi ni rahisi kupelekwa mputamputa.. Kama wao wanambinu na ni watu wanaojiweza nafikiri wanaweza kutumia walichonacho kupata vyengine ili wajiimalishe.. TISS wanatakiwa wajue wao ni watu wakwanza kwa uzalendo kwani ni wao wanaweza kuharibu,kujenga,kuumbua,kurekebisha n.k
Haya yanayotokea waichukulie Kama chachu ya kujiimarisha kwao.
 
idara ya usalama wa taifa kazi yake ni kukusanya taarifa na kupeleka sehemu inayohusika inawezekana taarifa zikifika lakini hawakuzifanyia kazi
Kuhusu Jeetu Patel kuruhusiwa kufungua benki wakati alishafanya uhalifu sehemu nyingine hilo swala linawahusu BOT wao ndio wasimamizi wa mambo yote yanayohusisha mambo ya fedha
 
Back
Top Bottom