leonardo da vinci ni moja ya wanasayansi waliojaribu kufanya kila aina ya ubunifu . Aliweza fanya ubunifu wa mwanzo kabisa wa baroon, aliweza kubuni aina ya mwanzo kabisa ya kifaru [kifaa cha vita] na vingine vingi…lakini pia alikua na kipaji cha ajabu cha uchoraji mfano picha maarufu ya monarisa. Lakini kitu kilicho amsha umakini juu ya mtu huyu ni suala lake la kudai ya kuwa yesu kristu alimuoa marry magdalena na alikua na watoto wawili ambao kizazi chao kipo huko ulaya..kwa ufupi ni hayo tu
kinachonishangaza kuhusu mchoro wa monalisa ni madai kuwa hauna chochote cha maana, bali ni mchoro tu.
Pia kuna ubishani zile picha hakuchora yeye binafsi bali wafanyakazi wake.
​monalisahebu uwekeni hapa ili tujielimishe hata ambao hatujawahi kuuona mkuu.
Ni kipi kimekuchanganya?Wakuu nimesoma vimakala vifupifupi kuhusu huyu mtu, sio siri vimenichanganya.
Kipi ni hatari?Aliyemsoma kiundani naomba ufafanuzi tafadhali, maana amegusa imani, yani hatari...! Natanguliza shukran.
leonardo da vinci ni moja ya wanasayansi waliojaribu kufanya kila aina ya ubunifu . Aliweza fanya ubunifu wa mwanzo kabisa wa baroon, aliweza kubuni aina ya mwanzo kabisa ya kifaru [kifaa cha vita] na vingine vingi…lakini pia alikua na kipaji cha ajabu cha uchoraji mfano picha maarufu ya monarisa. Lakini kitu kilicho amsha umakini juu ya mtu huyu ni suala lake la kudai ya kuwa yesu kristu alimuoa marry Magdalena na alikua na watoto wawili ambao kizazi chao kipo huko ulaya..kwa ufupi ni hayo tu
Huyo jamaa angetafiti kwanza ili ajue kuwa hata inayodaiwa kuwa "sura" ya Yesu ilikuwaje hasa ikawa maarufu angejua jambo kubwa sanahaya sasa_mchungaji eiyer & co....wanayajua haya....!
Ukiachana na picha ya monarisa pia Leonardo alichora picha maarufu ya "the last supper" ambayo pia ilizua utata kwani inadaiwa kuna siri kubwa iliyofichwa kwenye picha hiyo. Inadaiwa ya kuwa huyo mtu aliyekaa pembeni ya yesu kristu upande wa kushoto alikua ni marry magderena
Huyo jamaa angetafiti kwanza ili ajue kuwa hata inayodaiwa kuwa "sura" ya Yesu ilikuwaje hasa ikawa maarufu angejua jambo kubwa sana
Huyo Da Vinch mwenyewe alikuwa anabuni hizo mambo zake hazina ukweli wowote,siku moja nilikuwa natazama National Geographic Channel walikuwa wanazungumzia huu upuuzi wa kizazi cha Yesu
Kuna mambo mengine hata ukitumia akili za mtoto w chekechea tu utagudua ni uji.nga!
Well argument mchunga kondoo wa bwana,...hata mimi nilikuwa najiuliza amewezaje kuchora picha ambayo ime_draw attention ya ulimwengu as if ni ya kweli wakati hata hakuwepo vizazi na vizazi vimepita,...lazima kuna jambo limejificha nyuma ya huyu jamaaIngekuwa hayo ni maandishi ya Marko au Luka kungekuwa na cha maana
Hivi si u-google tu ili ujue huyo jamaa aliishi mwaka gani?
Halafu jiulize ni kwanini michoro yake ichukuliwe serious kiasi hiki?
Kwani Da vinch ni nani?
Kila mtu anajua hiyo ni picha ya kubuni ni sawa na yule jamaa aliecheza filam ya Yesu aitwe au kuchukuliwa ndie Yesu!
Pathetic!!
Well argument mchunga kondoo wa bwana,...hata mimi nilikuwa najiuliza amewezaje kuchora picha ambayo ime_draw attention ya ulimwengu as if ni ya kweli wakati hata hakuwepo vizazi na vizazi vimepita,...lazima kuna jambo limejificha nyuma ya huyu jamaa
google last supper/davinci code.......wanafalsafa wa kale wamekuwa wakidadisi kwa muda mrefu sana uhusiano tete kati ya yesu na Marry Magdalena...kuna waandishi wengi ambao waluigusia uhusiano huu na wakaishia kupotezwa na Romani empire ikiwamo Leonanardo davinci...baada ya mchoro huo Davinci alihama nchi yake kwa kuhofia maisha yake ambayo yaliwekwa rehani na utawala wa Roma wa kipindi chake...kisa chake kinamambo meni ..lakini simulizi ambazo zimeendelea kuzikwa ni ukweli kuhusu maisha ya Yesu...
1)..nini position ya Marry Magdalena b4, during & after jesus christ.
2) mbona alivuma ghafla katika biblia na kupotea ghafla baada ya kifo cha yesu..ni sawa na maisha ya Yoseph mme wa mama yake yesu nayo ni kizungu mkuti.
3) alegations kwamba yesu alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Merry Magdalena na walipata watoto wawili ni za kale even b4 Leonardo who is did put the thing in public via drawings..na inasemekana baada ya kifo chake watoto na familia yake ilitoroshewa ulaya magharibi inasemekana hasa parts za Ireland/UK
nilitazama mkuu ni ya kitoto sana, hata haileweki, ila mwisho wa siku hakukuwa na ushaidi, ilikuwa ni hisia tu.
Well argument mchunga kondoo wa bwana,...hata mimi nilikuwa najiuliza amewezaje kuchora picha ambayo ime_draw attention ya ulimwengu as if ni ya kweli wakati hata hakuwepo vizazi na vizazi vimepita,...lazima kuna jambo limejificha nyuma ya huyu jamaa