Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

kama dunia inavyozunguka kwenye mhilimili wake pia jua hujizungusha kwenye mhimili wake kwa kuwa yenyewe sio kubwa ni ndogo wenzake stars zipo kubwa zaidi yake bila shaka na wanasema tunaiona...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
"Usiache maandishi yako yaufichue uhalisia wako" Sababu kuu ya thread hii na tafiti hii ni uchunguzi rahisi sana wa kimatokeo na ukweli ufichwao. Katika robo fulani ya Dunia hii ya maarifa...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Sijajua kama na hapa Tanzania na nina uhakika wa 100% kuwa hakipo kwamba kwa Siku za hivi karibuni nimekuwa nikishuhudia mno nikiwaona Walinzi wa Marais wa Marekani, China, Korea Kaskazini, Urusi...
5 Reactions
122 Replies
16K Views
  • Redirect
Capitalist niger by Chika onyeani. Wakuu msaada kwa mwenye pdf ama ebook ya hiki kitabu . Asanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
Replies
Views
Brace yourself for some of the world's biggest unsolved mysteries! Sometimes it is hard to believe that unsolved mysteries still exist in this day and age. In the last century, humankind has...
7 Reactions
8 Replies
3K Views
Ushahidi upo kuwa watu wasiotahiriwa huwa na uwezo mkubwa darasani ukilinganksha na waliofanyiwa tohara,mfano ni Mimi mwenyewe kabla ya kufanyiwa tohara nilikuwa mzuri was hesabu darasani na...
3 Reactions
57 Replies
9K Views
Najua Mods wataitoa tu lakini kujua ya wengine ni vizuri. Msitoe. Written by Steve Pavlina on his site www.stevepavlina.com | While consciously pursuing your spiritual development is...
6 Reactions
14 Replies
4K Views
Ottoman empire ambayo kwasasa inajulikana kama Uturuki(Turkey). kipindi hicho mnamo karne ya saba Ottoman iliundwa na watu ambao kwa asili walikua wahamiaji kutoka maeneo mbalimbali ya nchi za...
5 Reactions
35 Replies
15K Views
*Uhusiano wa Ardhi na maisha*17* Asalaam ndugu zangu,Hii ni jumatatu nzuri kubwa. - Kuna siku moja katika andiko langu na pia katika kitabu changu kipya *Mgodi kati kati ya masikio* nilielezea juu...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Wafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia...
3 Reactions
243 Replies
20K Views
Kuna baadhi ya maswali huwa nakosa majibu yake. Naomba waelewa waweke mambo wazi; hii dunia tunaishi inatawaliwa na nani? Je ni Mungu, Taifa fulani au ni MTU mwenyewe?
6 Reactions
174 Replies
18K Views
Hi, today i would like to share the refresh of our ways of looking at things. MULTIDIMENSIONAL UNIVERSE How our nature as human beings limits and decide what we should know, and what not to over...
6 Reactions
78 Replies
7K Views
nchini Marekani wiki ijayo, kuna vitu vya kawaida kama vile maktaba, barabara na shule ambavyo vimepewa jina lake kama heshima kwake. Kutakuwa na Maktaba ya Rais Barack Obama mjini Chicago...
4 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimeipata katika nchi jirani iliyokua na vita ya maneno na Tanzania, miaka ya karibuni kumekuwa na hujuma kubwa inafanywa ndani ya JWTZ hasa katika mfumo wa mafunzo kwa kada chini yaani JRN NCOs n...
16 Reactions
55 Replies
18K Views
Ndugu wanaJF, naomba mwenye taarifa ya hali ya rushwa nchini aiweke hapa ili wananchi tuweze kuisoma na kuelewa kilichomo katika taarifa hiyo!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
naomba kueleweshwa kwa mwenye ufahamu na hili ni katika kueleweshana Naomba lisiwe na chembe za udini japo source yake imetoka kwenye bible bible hivi.. Nikiwa nimekulia na kulelewa katika...
2 Reactions
64 Replies
37K Views
  • Redirect
Wakuu, Nilisikia habari za kuungua kwa jengo la NASACO nikiwa mdogo sana kiwango cha elimu ya msingi au kidato cha kwanza. Miaka 20 baadae bado huwa nawaza nataka kujua zaidi. Isitoshe tu kujua...
0 Reactions
Replies
Views
Habarini wana ndugu..... Nimepata msukumo wa kuandaa thread hii kutokana na nyuzi mbalimbali nilizozisoma kwenywe jukwaa, pamoja na kuona umuhimu wa kushare information. Ni uzi wangu wa kwanza...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi vi nchi ni vidogo ila majina yao duniani yamekuzwa kutokana na migogoro ya ndani sasa swali langu je wakizipiga Leo wao kwa wao bila taifa jingine kuingilia upande mmoja wapo Nani atapewa...
4 Reactions
90 Replies
10K Views
Habari wakuu! Mungu wa kweli, mwenye uweza wote, na aliyeumba kila kitu hahitaji mambo yafuatayo:- 1. Hahitaji Zaka wala Sadaka Mungu wa kweli si mhitaji, uhitaji ni karba ya viumbe. Mungu hana...
17 Reactions
300 Replies
22K Views
Back
Top Bottom