kama dunia inavyozunguka kwenye mhilimili wake pia jua hujizungusha kwenye mhimili wake kwa kuwa yenyewe sio kubwa ni ndogo wenzake stars zipo kubwa zaidi yake bila shaka na wanasema tunaiona...
"Usiache maandishi yako yaufichue uhalisia wako"
Sababu kuu ya thread hii na tafiti hii ni uchunguzi rahisi sana wa kimatokeo na ukweli ufichwao.
Katika robo fulani ya Dunia hii ya maarifa...
Sijajua kama na hapa Tanzania na nina uhakika wa 100% kuwa hakipo kwamba kwa Siku za hivi karibuni nimekuwa nikishuhudia mno nikiwaona Walinzi wa Marais wa Marekani, China, Korea Kaskazini, Urusi...
Brace yourself for some of the world's biggest unsolved mysteries!
Sometimes it is hard to believe that unsolved mysteries still exist in this day and age. In the last century, humankind has...
Ushahidi upo kuwa watu wasiotahiriwa huwa na uwezo mkubwa darasani ukilinganksha na waliofanyiwa tohara,mfano ni Mimi mwenyewe kabla ya kufanyiwa tohara nilikuwa mzuri was hesabu darasani na...
Najua Mods wataitoa tu lakini kujua ya wengine ni vizuri. Msitoe.
Written by Steve Pavlina on his site www.stevepavlina.com |
While consciously pursuing your spiritual development is...
Ottoman empire ambayo kwasasa inajulikana kama Uturuki(Turkey). kipindi hicho mnamo karne ya saba Ottoman iliundwa na watu ambao kwa asili walikua wahamiaji kutoka maeneo mbalimbali ya nchi za...
*Uhusiano wa Ardhi na maisha*17*
Asalaam ndugu zangu,Hii ni jumatatu nzuri kubwa.
- Kuna siku moja katika andiko langu na pia katika kitabu changu kipya *Mgodi kati kati ya masikio* nilielezea juu...
Wafilisti walikuwa kabila la watu wa Ulaya ambao walivuka Bahari ya Kati na kisha kushindwa kuvamia Misri waliteka pwani ya Kanaani (1175 KK hivi) wakifaidika na silaha za chuma walizozitumia...
Kuna baadhi ya maswali huwa nakosa majibu yake. Naomba waelewa waweke mambo wazi; hii dunia tunaishi inatawaliwa na nani?
Je ni Mungu, Taifa fulani au ni MTU mwenyewe?
Hi, today i would like to share the refresh of our ways of looking at things. MULTIDIMENSIONAL UNIVERSE
How our nature as human beings limits and decide what we should know, and what not to over...
nchini Marekani wiki ijayo, kuna vitu vya kawaida kama vile maktaba, barabara na shule ambavyo vimepewa jina lake kama heshima kwake.
Kutakuwa na Maktaba ya Rais Barack Obama mjini Chicago...
Nimeipata katika nchi jirani iliyokua na vita ya maneno na Tanzania, miaka ya karibuni kumekuwa na hujuma kubwa inafanywa ndani ya JWTZ hasa katika mfumo wa mafunzo kwa kada chini yaani JRN NCOs n...
naomba kueleweshwa kwa mwenye ufahamu na hili ni katika kueleweshana
Naomba lisiwe na chembe za udini japo source yake imetoka kwenye bible bible hivi..
Nikiwa nimekulia na kulelewa katika...
Wakuu,
Nilisikia habari za kuungua kwa jengo la NASACO nikiwa mdogo sana kiwango cha elimu ya msingi au kidato cha kwanza.
Miaka 20 baadae bado huwa nawaza nataka kujua zaidi. Isitoshe tu kujua...
Habarini wana ndugu..... Nimepata msukumo wa kuandaa thread hii kutokana na nyuzi mbalimbali nilizozisoma kwenywe jukwaa, pamoja na kuona umuhimu wa kushare information.
Ni uzi wangu wa kwanza...
Hivi vi nchi ni vidogo ila majina yao duniani yamekuzwa kutokana na migogoro ya ndani sasa swali langu je wakizipiga Leo wao kwa wao bila taifa jingine kuingilia upande mmoja wapo Nani atapewa...
Habari wakuu!
Mungu wa kweli, mwenye uweza wote, na aliyeumba kila kitu hahitaji mambo yafuatayo:-
1. Hahitaji Zaka wala Sadaka
Mungu wa kweli si mhitaji, uhitaji ni karba ya viumbe. Mungu hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.