Salaam,Wana-GREAT THINKERS...
--Ni muda tena tukutane katika ukurasa huu tuweze kukumbushana kuhusu MISEMO YA WATU MAARUFU iliyosemwa kwa malengo ya :-Kuelimisha,kufariji,kuleta hamasa na...
Ndege ya kijeshi ya Israel F-35I iliyonunuliwa kutoka Lockheed huko Marekani ilidhihirisha kwamba kweli,haionekani kwenye radar yeyote, pale March 2018 ilipopenya na kuingia anga la Iran.
Ndege...
USHAURI;Huu ni mwendelezo wa thread ya kwanza yenye title sawa na hii kama hujaisoma ni bora uitafute ili upate mtiririko wa matukio.Asante
**Sehemu ya kwanza: Toka vita ya vietnam mpaka rais...
RUJA Ignatova alijiita Malkia wa sarafu ya kidigitali al maarufu Crptocurrency, aliwaeleza watu kuwa amebuni sarafu ambayo itatoa ushindani kwa Bitcoin na kuwashawishi kuwekeza mabilioni ya fedha...
Wakuu habarini za asubi nina imani wengi tu wazima wa afya nani wape pole wote wale ambao siku ya leo kwao hajaanza vema .
Wakuu swali langu ni juu ya umiliki wa silaha za kikemikali.
Je ni...
Habarini great thinkers. Kabla ya yote natanguliza shukrani kwa members wote wa hili jukwaa kwa michango yao iliyojaa maarifa na elimu kubwa. Hili jukwaa ni moja ya majukwaa ninayoyapenda sana...
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu...
Uko ndani ya ndege. Kukiwa na utulivu mkubwa ambapo watu wengi wanaonekana kusinzia. Umejiegemea kwenye seat yako ukitafakari hili na lile.. Ghafla unaskia sauti ya kilio cha mtoto mchanga kwa...
Ni familia zipi zina migogoro? Ni Jamii zipi zina migogoro? Ni Mataifa yapi yana migogoro? Kwa nini?
Swali linakiri kwa upande mmoja kuwa kuna migogoro na kwa upende mwingine lina uliza kwa nini...
Revealed: Kingpin behind `hateful` text messages
The hateful text messages widely circulated throughout the country from mobile numbers registered in Finland were part of an election smear...
Tangu yalipo anza machafuko Rwanda 1990, Washington walikuwa na ajenda ya siri ya kusimamisha NGOME YA MAREKANI ndani ya Afrika ya kati, eneo ambalo kihistoria lilimilikuwa na Ufaransa na...
heko kwenu wadau wa hili jukwaa la wachache,
Mimi binafsi huwa natumia spiritual intelligence kuweza kutambua kama niko salama, nitakuwa salama kesho au kuna jambo baya laweza nitokea baadae ama...
Hi Guys,
Kuna uvumi kwamba Adolf hitler wakati akiwa na miaka minne January,1894 akiwa anacheza na watoto wenzake alitumbukia kwenye mto mmoja uko Passau,German ambapo kijana mdogo wa rika yake...
Uzoefu wa maisha: tunapoanza maisha, tukiwa bado tumboni, kuzaliwa, kukua na badae kujitambua kwetu maishani, mtu hugundua ndani yake, moyoni mwake wakati unaotakiwa sauti inayomwita kutenda...
Isaac Newton, anayejulikana kwa kufanya uvumbuzi wa aina mbalimbali na muhimu katika sayansi, hesabu, na elimu ya anga, kwa kweli, “hufikiriwa na wengi kuwa mwanasayansi mkuu kabisa na mwenye...
UPANDE wa kushoto namuona Chinua Achebe, gwiji wa fasihi ya kiafrika ambaye vitabu vyake vinatumika kwenye shule na vyuo mbalimbali ulimwenguni. Lakini kwa upande wa kulia macho yangu yanatua kwa...
HUU NDIO MUUNDO WA KIJESHI KWA MAJESHI YOTE DUNIANI
Katika ulimwengu wa Kijeshi kuna mfanano mkubwa sana ambao watu wengi hasa 'Raia Wema' hawafahamu.
Labda tu niseme tu wazi kuwa mimi...
Miezi kadhaa iliyopita tulishuhudia 'ziara ya kihistoria' ambapo *Kim Jong-Un*, Rais wa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (Korea Kaskazini) akikutana na Rais wa Jamhuri ya Korea...
Ndugu WanaJamii, nadhani tu wazima sisi ni jambo la kumshukuru manani. Mwenye ujuzi nilikuwa nataka atufafanulie maana ya Philosophy (Falsafa). na vipi mtu awe Philosopher (MwanaFalsafa) kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.